mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mda mwingine hadi unashang'aa elimu yetu ilivyo close minded. Yaani mtu kawaza business model yake kwa nini namtaka wasimwekee watu wao kwenye usimamizi hili wafanye monitoring na consultations inapodi? Nawaza tu angekua mzungu tungekua tunasoma hadi vitabu vyake. Wengine eti wanalalamika kukaa ushuani sasa ukiwa na hela tena ukae mtaani tena?
Napozungumzia dhambi brother sizungumzii dhambi ya dini..Dhambi ni kwako wewe unayeamini dini,serikali haina dini
Watu walishaambiwa Mr.Kuku ni deci au D9 yani ni pyramid scheme na kuna siku wataliaa...!! Leo jamaa kapelekwa mahakamani kwa utapeli...Sawa tuzungumzie Mrkuku kwani watu waliambiwa nini ??
Haya makampun ya kitapeli yamejaa,kuna moja inaitawa VKP INVESTMEST wauza viwanja kwa mkopo,watu tuliwaamini sababu ni registerd tumemaliza mikopo hakuna cha viwanja,mashamba wala kurudishiwa hela mwaka wa tatu kesi ipo mahakamani zaidi ya bilioni moja watz tumepigwa watu zaidi ya 300.Mmiliki wa kampuni hana pesa wala kiwanja cha kumpa mtu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah Pesa haramu tena wanazitaifisha na kutumiaa..Zilitaifishwa ZOTE na Serikali na kwenda MFUKO MKUU WA SERIKALI
Hata hayo Magari nayo hatayaona tenaaAlisema muokote ndinga kwa mwenye 240M awahi jamaa sahizi atauza hata kwa 100M
View attachment 1533682View attachment 1533689View attachment 1533690
Hicho ndicho kilichompeleka mahakamani kweli ??Watu walishaambiwa Mr.Kuku ni deci au D9 yani ni pyramid scheme na kuna siku wataliaa...!! Leo jamaa kapelekwa mahakamani kwa utapeli...
Kwanini mzee baba!Hata hayo Magari nayo hatayaona tenaa
Wewe ndio nimeona ukomavu wako kati ya waliochangia uzi mzima.
Watu wanachangia kimkumbo sijasikia mtu aliye taperiwa mpaka sasa watu wanaulizia kuwekeza hawa GT wasikuhizi wameshilia tu kupigwa kupigwa nani kagipwa.
Kama ishu ilikuwa njia ya kutakatisha pesa hapa ndio nakupata maana nimehoji sana kesi yake ni nini.
Mteremkooo ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwani viwanja nyie wenyewe hamvioni?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndo swali hata mm najiuliza ....alishindwa kukimbilia hata Namibia?
Kilichompeleka ni Kukusanya pesa za watu bila Leseni wala kibali cha kufanya hivyoo...!! Na hicho ndicho wanachofanya pyramid scheme zote sasa wewe endelea kupiga nduluu hapaa...[emoji1787]Hicho ndicho kilichompeleka mahakamani kweli ??
Be serious jifunze kuhoji Mkuu ukondoo sio mishe.
Huyu kijana ni balaa.Kawa bilionea kwa sababu ya kuwalaghai watu wengine wazima na mvi zao.Hivi mtu uweke laki saba halafu ndani ya miezi mitatu una million na laki nne.Tena kwenye kuku😪.Jamani watu wanapenda slope.
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.
Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
Mteremkooo ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishakuwa na Kesi ya Uhujumu uchumi ukashindwaa amini nakwambia mali zako ulizochuma kwa kutumia hizo pesa ni za serikali..Kwanini mzee baba!
Watanzania hatutatoboa kwa majungu. Mtu ameanza kidogo kodogo, sasa ametoboa na anasaidia wengi, badala umfanyie promo watu wainuke, unamwekea vikwazo.Duuh..
17 BTsh.. Kweli ukiwa mjinga unakua mtaji wa wajanja
Duh, hii ndio bongo! Hatimae jibu limepatikana, kwa mnaokumbuka nilileta bandiko kuulizia uhalali wa ile biashara. Michango ilikuwa ya kutosha but all-in-all bwana alitoa na bwana ametwaa!!!
Ili kuuita ni utapeli, njoo na takwimu halisi.Nakumbuka hiyo thread uliyoanzisha. Nilichangia na kusema huu ni utapeli lakini walikuwepo watu wengi walionitukana. Hili wala halihitaji u-genious kuelewa. Kwangu naona waliotapeliwa ni wajinga sana.
Dah from Hero to Zero real quick!imeisha hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!!....wazee wakazi walikuwa wanasubiri mzigo ufike wa kutosha ndo waanze wenge.....