mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mwingine huyu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mda mwingine hadi unashang'aa elimu yetu ilivyo close minded. Yaani mtu kawaza business model yake kwa nini namtaka wasimwekee watu wao kwenye usimamizi hili wafanye monitoring na consultations inapodi? Nawaza tu angekua mzungu tungekua tunasoma hadi vitabu vyake. Wengine eti wanalalamika kukaa ushuani sasa ukiwa na hela tena ukae mtaani tena?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app