Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mwingine huyu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mda mwingine hadi unashang'aa elimu yetu ilivyo close minded. Yaani mtu kawaza business model yake kwa nini namtaka wasimwekee watu wao kwenye usimamizi hili wafanye monitoring na consultations inapodi? Nawaza tu angekua mzungu tungekua tunasoma hadi vitabu vyake. Wengine eti wanalalamika kukaa ushuani sasa ukiwa na hela tena ukae mtaani tena?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Dhambi ni kwako wewe unayeamini dini,serikali haina dini
Napozungumzia dhambi brother sizungumzii dhambi ya dini..

Nazungumzia human morals...ambazo haziangalii dini....

To kill somebody ni morally wrong,to take somebody's property by force is morally wrong,etc....haziangalii dini...

Infact mimi ni atheist,siamini mungu wala shetani....

Too bad serikali haina dini ila inaongozwa na watu wenye dini...no difference to me!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwani viwanja nyie wenyewe hamvioni?
Haya makampun ya kitapeli yamejaa,kuna moja inaitawa VKP INVESTMEST wauza viwanja kwa mkopo,watu tuliwaamini sababu ni registerd tumemaliza mikopo hakuna cha viwanja,mashamba wala kurudishiwa hela mwaka wa tatu kesi ipo mahakamani zaidi ya bilioni moja watz tumepigwa watu zaidi ya 300.Mmiliki wa kampuni hana pesa wala kiwanja cha kumpa mtu.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Zilitaifishwa ZOTE na Serikali na kwenda MFUKO MKUU WA SERIKALI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah Pesa haramu tena wanazitaifisha na kutumiaa..
 
Watu walishaambiwa Mr.Kuku ni deci au D9 yani ni pyramid scheme na kuna siku wataliaa...!! Leo jamaa kapelekwa mahakamani kwa utapeli...
Hicho ndicho kilichompeleka mahakamani kweli ??

Be serious jifunze kuhoji Mkuu ukondoo sio mishe.
 
Si ushaambiwa kesi yake ni kuchezesha UPATU ambao haujasajiliwa.unaweka laki 3 Zina rudi laki 6.sasa omba arudishe kweli zisiporudi imekula kwako.
Wewe ndio nimeona ukomavu wako kati ya waliochangia uzi mzima.

Watu wanachangia kimkumbo sijasikia mtu aliye taperiwa mpaka sasa watu wanaulizia kuwekeza hawa GT wasikuhizi wameshilia tu kupigwa kupigwa nani kagipwa.

Kama ishu ilikuwa njia ya kutakatisha pesa hapa ndio nakupata maana nimehoji sana kesi yake ni nini.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 



Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.

Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.

Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Huyu kijana ni balaa.Kawa bilionea kwa sababu ya kuwalaghai watu wengine wazima na mvi zao.Hivi mtu uweke laki saba halafu ndani ya miezi mitatu una million na laki nne.Tena kwenye kuku😪.Jamani watu wanapenda slope.
 
Duuh..
17 BTsh.. Kweli ukiwa mjinga unakua mtaji wa wajanja
Watanzania hatutatoboa kwa majungu. Mtu ameanza kidogo kodogo, sasa ametoboa na anasaidia wengi, badala umfanyie promo watu wainuke, unamwekea vikwazo.

Ameajiri wangapi?
Kodi kiasi gani kinalipwa?
Maisha ya wangapi yamenyooka kwa juhudi zake?

Kama halipi kodi ipasavyo, aelimishwe alipe kodi hizo siyo kumfunga.

Ujinga na kukomoana. Halafu sisi watumishi wa serikali tunaotegemea mishahara na rushwa za wananchi hatuwawazii mema wahangaikaji. Wakitoboa tunanuna.

Tuanzishe kazi za mikataba tu, nadhani tutaheshimiana
 
Duh, hii ndio bongo! Hatimae jibu limepatikana, kwa mnaokumbuka nilileta bandiko kuulizia uhalali wa ile biashara. Michango ilikuwa ya kutosha but all-in-all bwana alitoa na bwana ametwaa!!!

imeisha hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!!....wazee wakazi walikuwa wanasubiri mzigo ufike wa kutosha ndo waanze wenge.....
 
Nakumbuka hiyo thread uliyoanzisha. Nilichangia na kusema huu ni utapeli lakini walikuwepo watu wengi walionitukana. Hili wala halihitaji u-genious kuelewa. Kwangu naona waliotapeliwa ni wajinga sana.
Ili kuuita ni utapeli, njoo na takwimu halisi.

1. Watanzania wangapi wameweka pesa zao kufuga kuku na baada ya kufikisha miezi sita hawakulipwa?

2. Wangapi wamelalamika kudhurumiwa?
 
Back
Top Bottom