Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Ontario ashajua wajinga hawaishi kwasasa Twitter anaendelea kuwajaza ili awaingize kwenye 18 ,technic ya kugawa pesa target awakusanye nyumbu wengi ili akianza projects zake za kuwapiga within short time awe ashawatapeli na kusepa...Once a tapeli always tapeli ,Sitajuka kumuamini Ontario hata siku moja hata akisema anipe pesa nitamwambia lipa bank hakawaii kukupa pesa feki.
Haa ha ha..Jamaa yule hapana aisee yani ukimwamini umeenda walahi...!! Ana story kama mil za mafanikioo na ujasiriamali wa kutapeli watu yani ile ishu ya laki ni mpango kabambe kabisaa pale kuna manyumbu watalia tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
GT wa JF sikuhizi wa hovyo hawawezi ku Reason, kuhoji mkumbo ukianza na mmoja wote.

Kupigwa kupigwa nani kapigwa mtu haelewi kesi ni nini na ahoji yumbishwa kama kondoo.
Hamna aliepigwa, watu wametoa hela kwa hiari zao.
 
Haya makampun ya kitapeli yamejaa,kuna moja inaitawa VKP INVESTMEST wauza viwanja kwa mkopo,watu tuliwaamini sababu ni registerd tumemaliza mikopo hakuna cha viwanja,mashamba wala kurudishiwa hela mwaka wa tatu kesi ipo mahakamani zaidi ya bilioni moja watz tumepigwa watu zaidi ya 300.Mmiliki wa kampuni hana pesa wala kiwanja cha kumpa mtu.
Na wewe ukapigwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa labda alikataa kuhonga wakaamua kumchomaa
 
Haa ha ha..Jamaa yule hapana aisee yani ukimwamini umeenda walahi...!! Ana story kama mil za mafanikioo na ujasiriamali wa kutapeli watu yani ile ishu ya laki ni mpango kabambe kabisaa pale kuna manyumbu watalia tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha jamaa na mradi gani sahivi baada ya kuwatwanga wana JF kwenye kipengele cha Forex? Ina maana kahamia mtaa wa twitter huko?
 
Haa ha ha..Jamaa yule hapana aisee yani ukimwamini umeenda walahi...!! Ana story kama mil za mafanikioo na ujasiriamali wa kutapeli watu yani ile ishu ya laki ni mpango kabambe kabisaa pale kuna manyumbu watalia tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nini kinachokufanya umfatilie tangu aondoke humu ??
 
Hahaha jamaa na mradi gani sahivi baada ya kuwatwanga wana JF kwenye kipengele cha Forex? Ina maana kahamia mtaa wa twitter huko?
Kaja kaleta story ilikuwaje Alikawazima mil 50 wabongo wenzie aliowafundisha Forex na mastory kibao ya kufanya wenzie waonekane walimzunguka so pesa alichukua lakini baada ya kuzungukwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu wanampa polee na masympath kama yote wamesahau ONCE A TAPELI ALWAYS TAPELI...wale wa twitter wataliaaa nasema watalia..
 
Kaja kaleta story ilikuwaje Alikawazima mil 50 wabongo wenzie aliowafundisha Forex na mastory kibao ya kufanya wenzie waonekane walimzunguka so pesa alichukua lakini baada ya kuzungukwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu wanampa polee na masympath kama yote wamesahau ONCE A TAPELI ALWAYS TAPELI...wale wa twitter wataliaaa nasema watalia..
Jamaa kwahio ana deal na mradi gani? Niliwahi kumuona Instagram kuna darasa kaanzisha tena sijui la kufanya nini bana ila kuna kiingilio kama kawaida.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama upo twitter kitu kikitrend utakiona tu kijanaa...!! Au unataka uanze vita ya kumtetea hapaa???
Nikihoji imekuwa dhambi GT wasikuhizi mbona munatengeneza kizazi cha kondoo kufata mikumbo.
 
Jamaa kwahio ana deal na mradi gani? Niliwahi kumuona Instagram kuna darasa kaanzisha tena sijui la kufanya nini bana ila kuna kiingilio kama kawaida.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo pia itakuwa kuna manyumbu walijaa Jf hawezi rudi tenaa
 
Sasa yule ana nini cha kufanya afatiliwe??? Tapeli nimfatilie ili shida ni kuona wengine wanataka kuingizwa mkenge akati unaweza wasaidia manyumbu wachache kama hii ya Mr.Kuku watu waliambiwa lakini wabongo sikio la kufa
Sawa tuzungumzie Mrkuku kwani watu waliambiwa nini ??
 
Rugemalila na seth wamejaza mawakili kibao wazuri,ila kwenye utakatishaji ni ngumu kuchomoa mana hapo unakuta anakesi karibia 20 kapewa
Nimekusoma mkuu, issue siyo kuchomoa ni to do a small amount of time kujifunza siku nyingine usifanye mistake,ndiyo maana nimeweka mifano kama kina Don king na Aden Rage.Rage leo yupo kitaa freekwa hiyo akuiba pesa za FAT au TFF?
 
Alisema muokote ndinga kwa mwenye 240M awahi jamaa sahizi atauza hata kwa 100M

Screenshot_20200811-090550.png
Screenshot_20200811-090914.png
Screenshot_20200811-090931.png
 
Back
Top Bottom