Tatizo kwa aina ya kosa lake, hata mtu wa kujitolea amsaidie hio 5M ni ngumu.Ubaya ni kwamba alikua na makosa ya sh bil17 so kwa muda wote huu wako wananegotiate ni pamoja na kuuza kila kitu alichonunua kwa hiyo hela. Ndo wamebahatika kupata hiyo bil5.4
Wakaona sasa inatosha hakuna kitu tena alichoficha basi mnakubaliana wanazikwapua
Swala la Million 5 wanaacha upambane nalo mwenyewe huko na ndugu zako. Dogo kakosa hio hela saizi karudi kulala na nyapala. Kulala kugeuka kwa filimbi
Zinaitwa pyramidal scheme, ni kosa kisheria kuendesha shughuli hizo. Haijalishi watu wamehiyari au lah.Hizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.
Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Nasikia jamaa alikuwa na magari ya kifahari, akitoka ndio kitakuwa kianzio chake mtaaniNajua hilo ndio maana nikaandika
"Hata kama wamepita na hizo za kwenye account,inamaana hakua na upande wa pili"
Hii sheria ni aidha haina sifa za kuwa sheria au inakuwa-abused. Haifai kabisa, haina staha na inajenga taswira kuwa imelenga kupora watu hela zaoHizi kesi sa kukubali mashitaka na kulipa fine ni mbinu za kuibia watu pesa.
Binafsi mpaka leo sijaelewa kosa la mr kuku. Maana kama mradi ulikuwa active na watu wanawekeza kwa free consent sasa kosa lipo wapi?
Hawa ni wale wale sema Govt intervention haipo. Wanasubiri kilio ndiyo wajitie wanakamata. Na hii michezo huwa inafanya na watu wa huko huko majuu ninavyoamini mimiHivi wale wanaopokea pesa kuwatradia watu kwenye Forex wao hii sharia haiwahusu
Thubutu kwenda kudai kwamba wewe ni mhanga uone utakavyofunguliwa kesi yako fasta! 😅Sasa pesa BOT ikafanye nini??....si walipwe waliotapeliwa
Naunga mkono hoja aisee, what is 5 years over 5b, pia kumbuka mashtaka yanaonyesha alikusanya zaidi ya 17 b. My comfort option is 5 years.Mr kuku leo hii ameshindwa lipa faini ya 5million?
Hata kama wamepita na hizo za kwenye account,inamaana hakua na upande wa pili ...
Aisee, bora asingekubali maana unatoka jela unaanza moja du!Hio ni FIDIA faini kashindwa kulipa ndomaana kaenda jela.
Mtu alikuwa na bil5.4 ila kashindwa kulipa mil5
Hahahaaa raha sana saivi yani wanakwangua kila kitu
Kinachofanywa na DPP ni jambo ambalo ni inhumanNyie ni wale watu ambao mpaka wakutane na madhara ndiyo waelewe somo.
Bora angekomaa tu, yaani unalambwa unabaki bila kitu na kifungo juuMzigo unakwenda na anatakiwa alipe nyingine.
Labda mleta mada kakosea kuandika
Zile a Desi uliwahi kusikia zimerudishwa.Sasa pesa BOT ikafanye nini??....si walipwe waliotapeliwa
Sisi Watanzania bhana! Ina maana hadi leo hujui lengo la serikali/lengo la hiyo sheria? Nia ya serekali ni kukusanya mshiko mkubwa kutoka kwa watu wenye hela ndefu na wala siyo kulinda sheria. Sasa hao wa forex wana hela gani ambazo ni significant kwa serekali?Hivi wale wanaopokea pesa kuwatradia watu kwenye Forex wao hii sharia haiwahusu
🤣🤣🤣Kwa maelekezo kutoka juu!Iyo pesa DPP kaishaikwapua mapema na imeshaingia bank kuuu kwa maelezo kutoka juu
Kwani hana ndugu au marafiki wa kumsaidia kulipa hadi aende jela?Hapo sawa.. aende tu kutumikia hana namna
Hakika wewe umemuelewa vizuri.Choice aliyopewa ni alipe faini ya 5million au jela 5years
Hiyo 5billion ya fidia kuilipa ni lazima;Bila kujali aende jela asiende ndomaana account zake wamezifreeze