MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hahaahaha mimi naona pia dogo kwasababu raia kibao wanamdai kaona ajifanye hata 5m hana.🤣🤣🤣🤣🤣 hamna namna ingine, mzigo anao DPP sasa mwenye uchungu akamfungulie kesi DPP ili tupate la kujifunza😁