Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Kimsingi CCM haina heshima yoyote, bali imeogopwa kwa vitendo vya kikatili vya Bashite na kundi lake la watu wasiojulikana. Hivyo j3 kwenye ujio wa Lisu, kiongozi wao atakuwa hayuko kwenye nafasi yake.
Angekuwa madarakani Bashite angeshatoa tamko kuhusiana na ujio wa Lisu. Au angemfosi Siro apige biti
 
Uzuri Makonda alishapata Neema, ni kwa mwema tu ya Bwana Yesu kujua kuwa Mlinzi wa Kweli ni Mwenyezi Mungu.

Hakuna aliyekuwa na mbwembwe za ulinzi wa binadamu kama Khadaffi. Kiko wapi hali ilipokuwa ngumu wakamtelekeza chini ya kalvati. Ima yule sheikh wa ulinzi usio onekana aka majini. Ulisha msikia tena??'!!
 
Ehehehehehee.
Vipi ana platoon inamlinda au yuko na Bible tu?
Anakwenda kushindana na Gwajyboy uchungaji wa kondoo Nanukuu "...misikiti yote itakuwa sunday school" na kisha "...amani ya Tanzania inaletwa na kanisa!!"
Wajumbe....
 
Juz nlipita koromije hapo nkitokea sumve,hakika DAB asingestahili kujimwambafai kuwa n miongon ya watu wala bata kwan uhalisia wa maisha ya wanakoromije n mgumu sanaa,barabara mbove,maji ndo shidaa kubwa,angestahil kuungana na mwenzie gwajima japo atatue kero za wanakoromije na c kusimama majukwaan na kujitangaza kuwa anakula starehe
 

Makonda ni muuaji. R.I.P Akwilina.
 
Nilifikiri tumeshafunga ukurasa huu.

Mwenyewe yuko huku anaendelea na ukurasa mpya we endelea na makombo
 

Attachments

  • VID-20200727-WA0046.mp4
    2.2 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…