Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Maisha kweli ni mzunguko mkali, toka walinzi 10 wanakuzunguka asbh hadi ucku na mashine zao mabegani na viunoni ... Leo hata mgambo mmoja wa jiji no...aaaahhh
Daaaahhh.
Kulipa posho walinzi 10 kwaajili ya kumlinda mtu mwenye vyeti feki ni uharibifu wa rasilimali fedha za taifa
 
Habari wakuu!

Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.

Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.

Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.

Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.

Hakufukuzwa kazi/hakutumbuliwa na Rais ila aliacha kazi yeye mwenyewe!
 
Uzuri Makonda alishapata Neema, ni kwa mwema tu ya Bwana Yesu kujua kuwa Mlinzi wa Kweli ni Mwenyezi Mungu.

Hakuna aliyekuwa na mbwembwe za ulinzi wa binadamu kama Khadaffi. Kiko wapi hali ilipokuwa ngumu wakamtelekeza chini ya kalvati. Ima yule sheikh wa ulinzi usio onekana aka majini. Ulisha msikia tena??'!!
Unasema ana neema??!! Neema toka kwa nani? Neema hutoka kwa Mungu tu. Na Mungu hatoi neema kwa muuaji anayewanyima watu haki ya kuishi.

Laana humwandama muuaji, yeye na kizazi chake. Hata kama si leo, kuna siku asiyoijua ataishuhudia laana ya matendo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri Makonda alishapata Neema, ni kwa mwema tu ya Bwana Yesu kujua kuwa Mlinzi wa Kweli ni Mwenyezi Mungu.

Hakuna aliyekuwa na mbwembwe za ulinzi wa binadamu kama Khadaffi. Kiko wapi hali ilipokuwa ngumu wakamtelekeza chini ya kalvati. Ima yule sheikh wa ulinzi usio onekana aka majini. Ulisha msikia tena??'!!
Unasema ana neema??!! Neema toka kwa nani? Neema hutoka kwa Mungu tu. Na Mungu hatoi neema kwa muuaji anayewanyima watu haki ya kuishi.

Laana humwandama muuaji, yeye na kizazi chake. Hata kama si leo, kuna siku asiyoijua ataishuhudia laana ya matendo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu!

Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.

Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.

Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.

Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Ya Mungu sii ya binadamu mipango yake ni mikuu mno na imeenda mbali.
Utajua je kama Mungu amemweka mbali na amri ya kimamlaka ili Tundu Lissu aliyeondolewa nchini akidhaniwa mfu, arudi tena nyumbani kwa amani?
 
Back
Top Bottom