hana washauri wazuri siamin sana kwenye ndumbaNdumba mbaya sana hasa ikiexpire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana washauri wazuri siamin sana kwenye ndumbaNdumba mbaya sana hasa ikiexpire
Yule wa Hai alitaka kutumia bashite style kuwapiga matajiri wa mabus eti wamehujumu miundombinu akastukiwa.alitumia mwanya wa wauza ngada na bureau de change kupiga pesa kwa kuwatishia aliowaita 'watuhumiwa' over!
Ukikosa malezi Bora huwezi jua do and don't dohana washauri wazuri siamin sana kwenye ndumba
Daaaahhh.Maisha kweli ni mzunguko mkali, toka walinzi 10 wanakuzunguka asbh hadi ucku na mashine zao mabegani na viunoni ... Leo hata mgambo mmoja wa jiji no...aaaahhh
Habari wakuu!
Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.
Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.
Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.
Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Unasema ana neema??!! Neema toka kwa nani? Neema hutoka kwa Mungu tu. Na Mungu hatoi neema kwa muuaji anayewanyima watu haki ya kuishi.Uzuri Makonda alishapata Neema, ni kwa mwema tu ya Bwana Yesu kujua kuwa Mlinzi wa Kweli ni Mwenyezi Mungu.
Hakuna aliyekuwa na mbwembwe za ulinzi wa binadamu kama Khadaffi. Kiko wapi hali ilipokuwa ngumu wakamtelekeza chini ya kalvati. Ima yule sheikh wa ulinzi usio onekana aka majini. Ulisha msikia tena??'!!
Unasema ana neema??!! Neema toka kwa nani? Neema hutoka kwa Mungu tu. Na Mungu hatoi neema kwa muuaji anayewanyima watu haki ya kuishi.Uzuri Makonda alishapata Neema, ni kwa mwema tu ya Bwana Yesu kujua kuwa Mlinzi wa Kweli ni Mwenyezi Mungu.
Hakuna aliyekuwa na mbwembwe za ulinzi wa binadamu kama Khadaffi. Kiko wapi hali ilipokuwa ngumu wakamtelekeza chini ya kalvati. Ima yule sheikh wa ulinzi usio onekana aka majini. Ulisha msikia tena??'!!
Tukubaliene kutokukubaliana hasa hapo kwenye viongozi usijefanya thread ifungwekuhubiri akitoka hapo anakwenda kuuwa watu.Viongozi wa Kikristo ndio wamechangia uwepo wa udikteta Afrika
Ndo laana zenyewe hizoHakufukuzwa kazi/hakutumbuliwa na Rais ila aliacha kazi yeye mwenyewe!
Yule yupo holiday, atarudi kwa njia tofauti.Dont talk too much,,that man is a comeback kid...
Siku hizi Dar iko poa kabisa. Hatimaye wana-Dar es Salaam tumepata kiongozi anaye anyejua kazi yake.Mlinzi wa nini wakati sio kiongozi tena?
Anaitwa Mchungaji Paul Makonda kwa sasa
Ya Mungu sii ya binadamu mipango yake ni mikuu mno na imeenda mbali.Habari wakuu!
Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.
Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.
Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.
Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Kawa Nabii tena 🤣🤣🤣Nilifikiri tumeshafunga ukurasa huu.
Mwenyewe yuko huku anaendelea na ukurasa mpya we endelea na makombo
Yule ana msongo wa mawazo , ukizinguana naye kuwa makini anaweza kukulima bastola ya kichwa.Huu ndio wakati mwafaka wa kumlamba japo makofi ya kishikaji!
Ila vyeo vya kuteuliwa ni shida sana, yaani ndani ya sekunde tu unakuwa mweupe!!Yule ana msongo wa mawazo , ukizinguana naye kuwa makini anaweza kukulima bastola ya kichwa.