Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema ana neema??!! Neema toka kwa nani? Neema hutoka kwa Mungu tu. Na Mungu hatoi neema kwa muuaji anayewanyima watu haki ya kuishi.
Laana humwandama muuaji, yeye na kizazi chake. Hata kama si leo, kuna siku asiyoijua ataishuhudia laana ya matendo yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Deep state at work!Habari wakuu!
Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.
Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.
Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.
Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
De
Deep state at work!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna mtu aliyefurahia anguko la bashite kama Mambosasa sababu alikua anaendeshwa kama gari bovu.Angalau Mamboleo amepumua Sasa.
[emoji1787][emoji1787] aje makutupora apa kuna tendaMheshimiwa Paul Makonda aje huku tumpe kazi ya uenyekiti wa sungusungu wilaya ya misungwi, ale Raha zaidi ya watu wote
Because of the common denominator they share together, the son and the dad will never fall apart! Use a golden mark to maintain my words in this wallDaudi Bashite was a pathetic ruler if not a leader who was getting 100% support from his dad until their long-term relationship & friendship broke apart.
Oyaaa hii ndo ile ya zamani au jana taifa kachomolewa betri tena?[emoji848]
View attachment 1519735
Songa mbeleSiku hizi Dar iko poa kabisa. Hatimaye wana-Dar es Salaam tumepata kiongozi anaye anyejua kazi yake.
Tutaziacha iwe archive ya kizazi kijachoMuda ndo utakao fanya mje kufuta post zenu
Hiyo siyo shida.Mboni nasikiaga eti analindwa na mgambo mwenye rungu?!