Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Ile dhambi ya uuaji ameitubia lini mpaka aruhusiwe kuwawekea mikono watu kichwani?
Mikono iliyomwaga damu
Nani aliyechora mstari unaotenganisha kilicho dhambi na kisicho dhambi?
 
Habari wakuu!

Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.

Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.

Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.

Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Huyu mpuuzi alindwe kwa lipi?
 
Habari wakuu!

Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.

Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.

Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.

Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.

Watz si watu wa visasi,hizo roho zimeletwa na wakuja. Atahukumiwa na mahakama ya Jamii.
 
Maisha kweli ni mzunguko mkali, toka walinzi 10 wanakuzunguka asbh hadi ucku na mashine zao mabegani na viunoni ... Leo hata mgambo mmoja wa jiji no...aaaahhh
 
Nilifikiri tumeshafunga ukurasa huu.

Mwenyewe yuko huku anaendelea na ukurasa mpya we endelea na makombo
Hapa ndipo UKristo unapodharaulika,haya makanisa ya kuchezeachezea wanayatoa wapi?
Nkurunziza alikuwa jumapili anaimba kwaya na kuhubiri akitoka hapo anakwenda kuuwa watu.Viongozi wa Kikristo ndio wamechangia uwepo wa udikteta Afrika
 
Back
Top Bottom