Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

Kumbe zile pesa za maboss wa madawa ndizo zinatumika sasa kumpigania arudi kwenye chati!!!
 
Kumbe zile pesa za maboss wa madawa ndizo zinatumika sasa kumpigania arudi kwenye chati!!!
Blackmail nyingi zilifanywa na hao wapambe wake hata Unga uliokamatwa kimya kimya ulipelekwa kuuzwa South Africa na china wakagawana pesa na hao hao ambao amefanya nao maovu mengi likiwemo kwenda nao Dodoma kwenye shambulio la Tundu lisu, ukitaka taarifa za siri za Bashite mtafute Le mutuz mpe Demu mzuri mfundishe jinsi ya kumchimba chimba utazipata taarifa zote kwani Le mutuz ni mdhaifu kwa wanawake haijapata kutokea Tanzania na ndiyo maana magufuli hataki kumpa uteuzi wowote.
 
Hakuna Mtanzania mwenye hasira na Daud Bashite kama Yusuph manji, Mbowe na Gwajima hao wakisikia karejea madaraka watakonda ghafra
 
Le mutuz na cyprian Musiba wanamlia pesa wakmdanganya kuwa watamsaidia kupata madaraka tena
Huyo musiba kakataliwa na wana mwibara, katumia wachawi wa kule lkn kumbe walikuwa wanamdanganya tu
 
Kiukweli matendo yake ya kichuki chuki yaliwatesa sana hasa Manji
Hakuna Mtanzania mwenye hasira na Daud Bashite kama Yusuph manji, Mbowe na Gwajima hao wakisikia karejea madaraka watakonda ghafra
 
Mi nategea siku akiwa mtaani anatembea zake nakodi boda boda nikifika karibu nae namkung'uta bonge la konzi af hao masaa tunapotelea mitaani
 
Mbona huyu jamaa safi tu, acheni chuki za kibongo, ambaye simpendi jiwe bana jiwe! pamoja na kashule kake hako huyu jamaa simtaki hata kumsikia Mungu anisamehe!, hajanifanyia mabaya mimi binafsi ila nasikia vibaya anapotajwa ndiyo amesababisha Makonda atukanwe nchi nzima, sababu tu dogo anatetea unga, ila makonda mtu sana, na waje waniulize
 
Mwacheni ajiadhibu mwenyewe kwa ulimbukeni wa vyeo aliouishi
 
Dunia inazunguka haraka sana tukipata vyeo tuwe na akiba ya maneno.
 
Mwacheni kijana asome apate degree,,
Huwezi kuwa na urais kama una diploma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…