Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Katika harakati za Mh.rais Samia za kumtua mama ndoo kichwani, leo mradi mkubwa wa maji utakao maliza kabisa tatizo la maji jijini mbeya na viunga vyake umesainiwa mbele ya waziri wa maji Mh.Jumaa aweso huku mbunge wa jimbo hilo Dr.
Tulia akidokeza kuwa ujenzi wa barabara ya njia nne kuanza muda mfupi ujao.
HONGERENI WANA MBEYA KWA KULETEWA MAENDELEO.
Tulia akidokeza kuwa ujenzi wa barabara ya njia nne kuanza muda mfupi ujao.
HONGERENI WANA MBEYA KWA KULETEWA MAENDELEO.