Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Huelewi!Ni kama umedandia mtulinga?
Nauliza kabla ya kudandia kujenga hiyo bandari kwa nini tusiboreshe kwanza hizi zilizopo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelewi!Ni kama umedandia mtulinga?
Mipasho ndo mbayo weza hakuna kitu kingine. Ndo uwezo unapo kita kwenye mipasho.
Msha lemazwa akili myu ana leta hoja ntia mnaanza tukana.
Pangua hoja kwa hoja kama unaweza. Ingawa najua huwezi kitu
ZZK anatueleza mkakati wa Bandari ya Bagamoyo kuwa ni gateway ya imports.
Kwa mchumi yoyote ningetegemea angekuwa na in-depth analysis ya how do we strengthen production ya mazao ghafi na processing ili kuwa na certain ya exports.
JK toka 2013 mpaka 2015 anatoka madarakani alisita kusaini a go ahead. Unadhani kwanini year 1 imepita hakusaini,
Year 2 imepita hakusaini
Year 3 anatoka madarakani early November bila kusaini. Nini alikiona kama sio favourable clauses ya mkataba mpaka 3 years zikakatika hakutia mkono.
Dr. Mpango waziri wa Fedha alikuwa mkuu wa Tume ya Mipango wakati wa JK; bila shaka alikuwa sehemu ya walimshauro JK asiwe "fasta" kusaini.
ZZK uliponda sana initiative za JPM na Prof. Kabudi kukaa na Barick na kushikilia makanikia in the name of tutashitakiwa. Leo hii uongo wako umeonekana wazi mchana peupe.
By the way; show by numerical projections namna gani Bagamoyo port could make a difference kwenye kuongeza revenues ambapo Mtwara, Tanga na Dar zime-fail ili ku-justify hoja yako
Wacha bwana! Kwa hiyo sasa Ethiopia itategemea bandari kubwa kutoka Dola la Djibout! Una undugu na Magufuli? Isije kuwa siyo kosa lako!Kwanza hiyo bandari ni white elephant, waliijenga ili kuhudumia shehena ya Ethiopia na Sudan ndio maana mradi unaitwa lapsset lakini cha kushangaza Ethiopia imejenga railway to Djibouti
Wangefaidi kama kipindi kile Ethiopia ilivyokua haina mahusiano mazuri na Djibouti lakini baada ya kusameeana na kuungana mpaka Rais wa Ethiopia kapewa nobel maana yake hiyo Lamu haitapata hata container moja la Ethiopia
Bandari Ya Mombasa ni kubwa na haijatumika yote kiasi cha kuhitaji bandari nyingine ya ziada
Bado magati zaidi yanaendelea kujengwa, yatajengwa magati zaidi ya 15 na mpaka sasa yamejengwa manne kwa hiyo yakikamilika hutoona meli zikiwa pending japo hata saivi sio kama zamaniM
Mbona bado zinakwamia salalah?
huwa huyu jamaa simuamini amini,lakini kwa kuwa nina akili timamu alichoongea kwa mtu yeyote anaefanya reasoning kwa umakini,jamaa kaongea point,ila kwa kuwa kaongea yeye basi hakuna atakaejisumbua kulifanyia kazi,NAUNGA MKONO KIKWETE ALICHEZA FAULO AMBAYO HAIIHITAJI VAR KUJUA NI PENATI,KWA KUTOSAINI ULE MKATABA WA BAGAMOYO NA KUACHA MRADI USHAANZA KUFIKIA A POINT OF NO RETURN,MAANA KAMA INGEKUWA IPO KANDA YA ZIWA NA SIO BAGAMOYO, MRADI UNGEENDELEA BILA WASI WASI,HAYA SASA TUSHAKULA HASARA YA BILIONI 56 KULIPA ZILE FIDIA WAKAZI WA BAGAMOYO NA MRADI KUSHNEI
![]()
Lamu Port Maybe the Whitest of all White Elephants – Jaindi Kisero | BUILDesign
According to theory, grandly designed infrastructure projects tend to pose high corruption risks. Corrupt influence may be brought to bear especially atbuildesign.co.ke
Wasome wakenya wenye akili wanavyouona huo ni mradi wa kipumbavu kuwahi kutokea Kenya, mimi Siwezi kushabikia huyu zumbukuku anaetaka tuuze nchi yetu kisa kushindana na Kenya, huyu hafai kabisa kuwa kiongozi sababu atafanya maamuzi kimihemko badala ya kutumia weledi
Sio tu kutumia, Ethiopia ina hisa kwenye bandari za DjiboutiWacha bwana! Kwa hiyo sasa Ethiopia itategemea bandari kubwa kutoka Dola la Djibout! Una undugu na Magufuli? Isije kuwa siyo kosa lako!
Bado magati zaidi yanaendelea kujengwa, yatajengwa magati zaidi ya 15 na mpaka sasa yamejengwa manne kwa hiyo yakikamilika hutoona meli zikiwa pending japo hata saivi sio kama zamani
Hivi hata aibu huoni?!! Mruma si alisema tumeibiwa madini yenye thamani ya Shilingi Trilioni 425, na hadi sasa hatujalipwa hata senti 5 zaidi ya kuahidiwa kulipwa 700 Billion kwa mikupuo 7!!Mheshimiwa, wewe ulikuwa mmoja wa wale walionanga serikali kuhusu makemikia na ukatoa sababu mbalimbali za kisheria na uchumi kuhusu hilo. Mwisho wa siku mmebaki midomo wazi.
Wewe endelea na ACT na ubunge wako ila hadhi yako kitaifa inautata kiasi wengine tunaanza kuamini pengine wewe siyo mwenzetu.
Watu wanajibu kishabiki badala wapinge kwa hoja ili tujue upande wa pili wa shilingi kwa kina.Nondo zilizo enda shule. Shida kuu ni nchi kujaa washabiki hilo ndo tatizo mkuu
Story ndeefu wkt lengo la thread yako ni hapa tu ulipoandika.
'Tanzania ikabadili mpango wake wa Kujenga Reli kutoka Dar es Salaam kupitia Uvinza mpaka Musongati nchini Burundi'
Reli kutopitishwa Kigoma imekua Nongwa.
Ethiopia imejenga railway to Djibouti mpaka bandarini, hiyo Lamu haina barabara ya kupeleka mzigo Ethiopia, itaanzaje biashara na Ethiopia?Wakenya wa wapi? Acha uzushi wako kuuza Nchi kivipi? Zumbukuku ni wewe uliyekula pesa za kenya kuja kutengeneza propaganda za kishamba toka kolomije.