Ilovemamajb
Member
- Sep 1, 2017
- 7
- 4
Jamaa hawa wanatumika kwa propagations nyingiMheshimiwa, wewe ulikuwa mmoja wa wale walionanga serikali kuhusu makemikia na ukatoa sababu mbalimbali za kisheria na uchumi kuhusu hilo. Mwisho wa siku mmebaki midomo wazi.
Wewe endelea na ACT na ubunge wako ila hadhi yako kitaifa inautata kiasi wengine tunaanza kuamini pengine wewe siyo mwenzetu.
Nimesoma bandiko lako Zitto, lakini umeshindwa kumuelewa Rais Magufuli. Ni kwamba Mh Magufuli hajakataa maradi wa bandari ya Bagamoyo. Alichokikataa Magufuli ni mkataba haujakaa kwa maslahi ya watanzania. Umekaa kwa maslahi ya wanaoujenga. Kitu ambacho hata sisi watanzania tunamuunga mkono kama mkataba umekaa kiunyonyaji hauna maslahi kwetu kuna haja gani kuendelea nao?
Mradi gani huo ambao serikali haitapata kodi, mradi gani huo ambao kama nchi haturuhusiwi kuendeleza au kujenga bandari nyingine yoyote kwa karne nzima hivi tumelogwa au?
Hapana tuendeleze tu bandari yetu ya Dar, Tanga na nyinginezo taratibu kwa maslahi yetu, badala ya kuwa na miradi feki isiyo na tija kwa nchi.
Huu ni ukoloni kama ukoloni mwingine tu, kama tutauza nchi kirahisi hivi. Kwa hili tumuunge mkono Rais Magufuli kwa maslahi ya nchi yetu. Huu ukoloni mamboleo tuukatae, chochote ambacho hakina maslahi kwetu tukatae.., hivyo hivyo watatuelewa tu.
Mambo ya kuuza rasilimali zetu tunajikuta tu watumwa hapana, hatutaki ya Zambia hapa..
Zitto kwa hii hoja yako itakushushia heshima na malengo yako ya mbeleni. Washauri wenye huo mradi uwe kwa maslahi ya wote. Kama haipo win win hiyo siyo biashara tena ni unyonyaji.
Propaganda hao Kenya maisha yao magumu wana lala kwenye vibanda hela ina ishia kwa wakubwa kila mwaka ni vilio vya njaa nadhani unge zungumzia haya
We tambua kwamba bandari ya Dar ipo kwenye upanuzi wenye gharama ya zaidi ya trillion 1 kwa sasa na tayari mradi upo zaidi ya 60% usikaririKina cha maji ya Bandari ya Dsm ni kifupi meli kubwa haziwezi kuja hata zinazokuja hulalamika injini kuvuta tope uchafu chini.
Unajua hasara gani imepatikan kwenye makinikia?Mheshimiwa, wewe ulikuwa mmoja wa wale walionanga serikali kuhusu makemikia na ukatoa sababu mbalimbali za kisheria na uchumi kuhusu hilo. Mwisho wa siku mmebaki midomo wazi.
Wewe endelea na ACT na ubunge wako ila hadhi yako kitaifa inautata kiasi wengine tunaanza kuamini pengine wewe siyo mwenzetu.
Hawa huwa ni wepesi tu wa kuongea mkuu! Ila JPM angeamua kweli huo mradi uendelee hungemuona Zito akiunga mkonoZZK anatueleza mkakati wa Bandari ya Bagamoyo kuwa ni gateway ya imports.
Kwa mchumi yoyote ningetegemea angekuwa na in-depth analysis ya how do we strengthen production ya mazao ghafi na processing ili kuwa na certain ya exports.
JK toka 2013 mpaka 2015 anatoka madarakani alisita kusaini a go ahead. Unadhani kwanini year 1 imepita hakusaini,
Year 2 imepita hakusaini
Year 3 anatoka madarakani early November bila kusaini. Nini alikiona kama sio favourable clauses ya mkataba mpaka 3 years zikakatika hakutia mkono.
Dr. Mpango waziri wa Fedha alikuwa mkuu wa Tume ya Mipango wakati wa JK; bila shaka alikuwa sehemu ya walimshauro JK asiwe "fasta" kusaini.
ZZK uliponda sana initiative za JPM na Prof. Kabudi kukaa na Barick na kushikilia makanikia in the name of tutashitakiwa. Leo hii uongo wako umeonekana wazi mchana peupe.
By the way; show by numerical projections namna gani Bagamoyo port could make a difference kwenye kuongeza revenues ambapo Mtwara, Tanga na Dar zime-fail ili ku-justify hoja yako
Sawa mkuu nimekuelewa. Nadhani uzi huu uendelee na nondo nyingine zaidi kama; Expected return from Investment ya Bagamoyo port ili tujue tungeanza kuneemeka baada ya miaka mingapi ya uwekezaji. Pia Sikubaliani sana na wewe kwenye suala zima la kuamini kuwa uamuzi wa kusitisha Bagamoyo Economic zone ni uamuzi wa raisi peke yake. Bila shaka majasusi wa kiuchumi waliokuwa kazini kabla ya kusaini mkataba huu ndio chanzo cha kuukataa.
China ni rafiki yetu hilo sikatai, lakini China wa enzi za baba wa taifa (Socialist China) sio huyu China wa sasa (capitalist China).
CCM wanachojua ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani kwenye chaguzi mbalimbali tu vinginevyo vya kiuchumi hawataki kushiriki wamekariri zidumu fikra binafsi za mwenyekiti wa CCM Taifahakuna majasusi wa kiuchumi Tanzania,Tungekuwa nao tusingekuwa yunaingia mkenge then tunaanza kuhangaika,kama tulishindwa tu kusoma upepo wa mahindi 2016/2018 wakulima wa mhindi tukaingizwa kwenye hasara kubwa,tutawezaje kuyajua yaliyo magumu na yenye kuhitaji akili.Tunachoweza sisi ni kujua intelijensia ya mkutano wa Msigwa,Mbowe na kutafuta wamiliki wa akaunti za Twiter,Facebook,au Jamiiforum tu.
Hawa huwa ni wepesi tu wa kuongea mkuu! Ila JPM angeamua kweli huo mradi uendelee hungemuona Zito akiunga mkono
Zito hata ukiongea vya maana unaonekana BWEGE siku hizi
We jamaa huwa una koment kama una stress sana! Hivi Magufuli ale pesa za Kenya kisa nini hasa?Wakenya wa wapi? Acha uzushi wako kuuza Nchi kivipi? Zumbukuku ni wewe uliyekula pesa za kenya kuja kutengeneza propaganda za kishamba toka kolomije.
Sidhani kama uko vzr kichwani, kwani ulichoandika hakina uhusinao hata kdg na hoja ya mwandishi. Ni vzr ukawa unatulia na kusoma kilichoandikwa badala ya kukurupuka kama kile kitu'.Mheshimiwa, wewe ulikuwa mmoja wa wale walionanga serikali kuhusu makemikia na ukatoa sababu mbalimbali za kisheria na uchumi kuhusu hilo. Mwisho wa siku mmebaki midomo wazi.
Wewe endelea na ACT na ubunge wako ila hadhi yako kitaifa inautata kiasi wengine tunaanza kuamini pengine wewe siyo mwenzetu.
Kwani na sisi ni MASOCIALIST au CAPITALISTS?Sawa mkuu nimekuelewa. Nadhani uzi huu uendelee na nondo nyingine zaidi kama; Expected return from Investment ya Bagamoyo port ili tujue tungeanza kuneemeka baada ya miaka mingapi ya uwekezaji.
Pia Sikubaliani sana na wewe kwenye suala zima la kuamini kuwa uamuzi wa kusitisha Bagamoyo Economic zone ni uamuzi wa Rais peke yake. Bila shaka majasusi wa kiuchumi waliokuwa kazini kabla ya kusaini mkataba huu ndio chanzo cha kuukataa.
China ni rafiki yetu hilo sikatai, lakini China wa enzi za baba wa taifa (Socialist China) sio huyu China wa sasa (capitalist China).