Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Sijawahi kumwita mheshimiwa ZK kuwa bogus hata siku moja. Ila nimekuwa nikipitia mambo mengi anayoandika mengine ninakubaliana naye lakini mengi sikubaliani na mitizamo yake na hasa hii ya kipindi hichi ambacho hayumo kwenye kamati za bunge.

Kwa hili la Bandari wewe upo Lamu Kenya? au upo Rwanda kwa rafiki wa Magufuli? maana Bagamoyo haupo
 
Man, kwenye hili la bandari unatakiwa ukajipange upya manake maelezo yako yana mapungufu kadhaa!!!

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba, kupitia China's Belt & Road Initiative, Mchina alijipanga kuwekeza kwenye miundombinu sehemu kadhaa duniani. Hili nalifahamu vizuri kwa sababu nilikuwa mbeba mikoba wa Beberu moja la Kimarekani wakati wa kufanya research, na moja ya case study ni Bandari ya Bagamoyo!!!

Katika kufikia hilo, Mchina akawa ameigawa dunia kwa mafungu... kule Ulaya akawekeza pesa ya kutosha kwenye Bandari ya Piraeus nchini Greece!!!

Kama alivyo beberu langu lile la Kimarekani linavyopinga hii miradi including mradi wa Bagamoyo, Mabeberu ya Ulaya yakaanza kumwekea figisu figisu Mchina kwenye Bandari ya Piraeus! Kuna wakati EU, huku Italy wakiwa ndi viherehere zaidi, wakaanza kusema kwamba China inaitumia Bandari ya Piraues kufanya biashara haramu!!

Cha ajabu, miezi kadhaa baadae, Italy ile ile ikaingia mkataba wa kibiashara na bandari ile ile!! Na bandari ile ile ambayo walikuwa wanaisemanga, leo hii imeingia kwenye Top 10 of largest terminal ports in Europe wakati uendelezaji wala hujafika ukingoni!!

Hilo ni la Ulaya! Mchina huyo huyo akataka kwenda kumchezea sharubu Marekani kwa kutaka container terminal ya South California! Hadi mara ya mwisho nafuatilia, Senate likaanza kutoa povu hawataki Mchina achukue terminal pale South Port!!

Hilo ni la Marekani!!

Tukija Africa sasa, Mchina anafahamu fika kwamba Africa ni emerging market.Strategy yake ikawa kuigawa Afrika kwa blocks! Kwenye Horn of Africa, akawekeza Djibouti ili hatimae mizigo yake itakayoenda ukanda wa Horn of Africa ipitie Djbouti!

Afrika Mashariki tukawa na competition kati ya Kenya na Tanzania huku Kenya akimkaribisha Mchina ajenge Lamu!!! Kenya walitoa incentives kibao lakini Mchina akachomoa na kuchagua Bagamoyo!

Unlike Djibouti na sehemu zingine Africa, Mchina alitaka kuifanya Bagamoyo iwe ndo central unit! I wish ungeiona ile plan, ambayo in the long run, makao makuu ya mkoa wa pwani yangehamishwa kutoka Kibaha to Bagamoyo!!

Ili kuifanya Bagamoyo kuwa Central Unit kwa kufuata mfumo ule ule wa Shenzhen Uchina, ikapangwa kujengwa not just a port but a megaport! Pamoja na hii megaport, pia na industrial complex pamoja na railway network to connect Bagamoyo na nchi zingine za ukanda wa maziwa makuu pamoja na kusini... Malawi, and Zambia in particular!!

Awamu ya 4 ya nne watu wamekula posho na kusafiri hadi Shenzhen kujifunza jinsi Shenzhen ilivyogeuzwa kuwa a fishing village like Bagamoyo!!

So, what was the idea?! Mega ships kutoka China zingekuwa zinafaulisha mzigo Bagamoyo na mzigo huo kuchukuliwa na meli za kawaida na kusambazwa sehemu zingine za Africa, na mali zingine zingetumia reli kwenda landlocked countries.

Pale Industrial Complex kungetokea mambo mawili!! Hivi sasa Uchina labor cost inapanda kila uchao! Kutokana na hilo, kulikuwa na uwezekano mkubwa Mchina akaifanya Bagamoyo Free Economic zone kama sehemu ya kuzalisha baadhi ya bidhaa zake za kulisha Afrika na maeneo mengine!

Kutokea Bagamoyo, bidhaa hizo zingesafirishwa kwa meli na zingine kwa reli kwenda landlocked countries!!!

Sasa unadai kwamba Kenya hatapata mizigo... man, unajidanganya!!! Salama yetu ni Mchina kurudi Bagamoyo vinginevyo, ile plan ya Bagamoyo anaweza kuihamishia Lamu ambako Kenyatta tangia mwanzo alisema msipojenga, tutajenga wewe!!!

Yule Beberu wangu kwavile sawa na mabeberu wenzake wanaipinga hii miradi ya Uchina, Bagamoyo Port included, moja ya hoja yake ilikuwa eti Bagamoyo Port will be too big for Tanzania's Economy, na kwahiyo Bandari ya Dar es salaam inatosha sana!!

Nilipomuuliza ikiwa na umaskini wetu wote huu pamoja na majirani zetu bado wakati mwingine Bandari ya Dar es salaam huwa inaelemewa! What if uchumi wa Tanzania na majirani zake ukipanda angalau kwa mara mbili tu hasa tukizingatia hata ukipanda mara mbili bado tutakuwa maskini!!
"Pale Industrial Complex kungetokea mambo mawili!! Hivi sasa Uchina labor cost inapanda kila uchao! Kutokana na hilo, kulikuwa na uwezekano mkubwa Mchina akaifanya Bagamoyo Free Economic zone kama sehemu ya kuzalisha baadhi ya bidhaa zake za kulisha Afrika na maeneo mengine"

Tumekosa tu viongozi makini ili kutatua hali ya uchumi wetu ila Tz ingekua industrial superpower katika Africa hi Ndege flyover zingekuja kama mahitaji ya industriazation
 
Bandari uenye uwezo wa kuingiza meli kubwa
Kwanza hiyo bandari ni white elephant, waliijenga ili kuhudumia shehena ya Ethiopia na Sudan ndio maana mradi unaitwa lapsset lakini cha kushangaza Ethiopia imejenga railway to Djibouti

Wangefaidi kama kipindi kile Ethiopia ilivyokua haina mahusiano mazuri na Djibouti lakini baada ya kusameeana na kuungana mpaka Rais wa Ethiopia kapewa nobel maana yake hiyo Lamu haitapata hata container moja la Ethiopia

Bandari Ya Mombasa ni kubwa na haijatumika yote kiasi cha kuhitaji bandari nyingine ya ziada
 
Sijawahi kumwita mheshimiwa ZK kuwa bogus hata siku moja. Ila nimekuwa nikipitia mambo mengi anayoandika mengine ninakubaliana naye lakini mengi sikubaliani na mitizamo yake na hasa hii ya kipindi hichi ambacho hayumo kwenye kamati za bunge.
Kila Mbunge ni mjumbe kwenye Kamati za Bunge.....Kwa hiyo Zitto yupo kwenye Kamati za Bunge
 
Kuna Meli gani kubwa duniani kwa sasa ambayo haziwezi kutia nanga kwenye bandari ya Dar?

Sikiliza hiyo video, kina cha bandari ya Dar Ni kikubwa zaidi na kinao uwezo wa kuhudumia meli ya ukubwa wowote duniani


Zitto anafikiri Watanzania wajui kitu. Yeye ndiye anaye jua. Bandari ijengwe Bagamoyo yote iwe chini ya wamiliki kwa miaka 99yrs. Aturuhusiwi kufanya chochote Kule ata ulinzi ni wao muda huo wote
 
Kagame aliwahi kumwambie Kikwete yafuatayo:-

" I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, "

MWISHO WA KUNUKUU.
This is the hit he was waiting for
 
Hakuna majasusi wa kiuchumi Tanzania,Tungekuwa NAO tusingeshindwa angalau kujua soko la mahindi tukaingia kichwa kichwa eti tunataka kuuza unga ilihali wenzetu wanauza mahindi karibu dunia nzima,wakulima wa mahindi wamehangaika na kupoteza mitaji na nguvu 2016-2018 ,tutawezaje kuyajua yaliyo magumu na yenye kuhitaji akili.Tunachoweza sisi ni kujua intelijensia ya mkutano wa Msigwa,Mbowe na kutafuta wamiliki wa akaunti za Twiter,Facebook,au Jamiiforum tu.
Ni ngumu sana ku recruit watu kuwa majasusi wa kiuchumi wakati hata hawaelewi uchumi na mambo ya biashara.Leo hii ukiuliza mtu yeyote kuhusu uelewa wao wa Tiss watakwambia ni kuteka na kulinda rais sasa unaokoteza uvccm na waganga njaa wengine huko vyuo vya ajabu ndio wanakuwa washauri nchi itapata nini kama sio makombo?
Mimi binafsi namlaumu sana Jk kwa kutoyapa msukumo mkubwa mambo ya mradi wa bagamoyo sez,mradi mji mpya kigamboni,katiba mpya na kuachia nchi kwa wajamaa wasio na exposure ya biashara,uchumi wala mabadiliko yanayoendelea duniani
 
Kwanza nataka kukutahadhalisha kuwa Tanzania ya leo inaupungufu mkubwa wa wajinga.

  1. Mradi wa bandari ya Bagamoyo umewekwa katika hali ambayo sisi tunauza ardhi yetu kwa miaka 99.
  2. Hatuna mamlaka na bandari hiyo kiuendeshaji, kimapato na hatuna nafasi ya kufanya mabadili hata kama yako wazi kwa miaka 33.
  3. Na kama wao wamekekosea katika business plan yao ni sisi tutalipa gharama za mradi ambazo ni bilion 10 USD.
  4. Hatutokuwa na nafasi ya kukagua mapato au kodi zozote kwa miaka 33, tutapokea kadiri watakavyo tangaza wao.
  5. Tutaweka dhamana ya taifa letu kwa mradi huo.10 Billion USD.
  6. Kutakuwa tunalipa interest ya 3% ( 300 million USD) kwa mwaka kama hautoenda inavyotakiwa, au kinyume na matarajio.
  7. Ajira haina kipengele chochote wakati mradi ukijengwa na hata utakapo anza kutoa huduma.
  8. Viwanda vitakavyo jengwa kuusadia biashara ya eneo ( free economic zone) leseni watatoa wao. Hata ikiwa viwanda vya kutengeneza silaha.
  9. Ukubwa wa eneo linalo husika kwa kujenga bandari pamoja na maeneo ya kuweka mizigo na reli na viwanda unalijua ? karibu nusu ya Bagamoyo distric ya leo.

Ingewezekana sana wakati wa zamani. Kuna upungufu mkubwa wa viongozi wajinga na wenye kukosa uzalendo Tanzania ya leo.
Ongezeko la kukosa uzalendo lipo sasa na wajinga CCM ndiyo kwanza wamezidi, hiyo mikataba kwani si ingeweza kurekebishwa haraka kama kweli siyo kusaka 10% wakagoma kutoa, miradi yote ya CCM siyo mawazo ya watanzania ndiyo maana haina uzalendo na imejaa 10% za wajanja wachache, hivi visingizio vyako hapa havina mashiko watanzania wa sasa siyo wajinga wanajua sinema zote za CCM wanafahamu hakuna mzalendo huko kila mmoja yupo kwa masilahi yake binafsi ingawa sasa CCM ipo hata kwa masilahi ya Kenya, Tambua kuwa huo mradi magufuli hautaki na kama angeutaka hataka angekaa chini na Wachina na hao waarabu wangerekebisha mikataba na kuwekana sawa mradi uanze mara moja.
 
Zitto ni kichaa. Anafikiri Watanzania wajui kitu. Yeye ndiye anaye jua. Bandari ijengwe Bagamoyo yote iwe chini ya wamiliki kwa miaka 99yrs. Aturuhusiwi kufanya chochote Kule ata ulinzi ni wao muda huo wote

Watanzania wapi unawasemea? Kama ni watanzania hawa basi wao wanajua mikataba ikiwa na mapungufu au kasoro hujadiliwa na kukubaliana kile chenye masilahi kwa pande zote.
 
Ni ngumu sana ku recruit watu kuwa majasusi wa kiuchumi wakati hata hawaelewi uchumi na mambo ya biashara.Leo hii ukiuliza mtu yeyote kuhusu uelewa wao wa Tiss watakwambia ni kuteka na kulinda rais sasa unaokoteza uvccm na waganga njaa wengine huko vyuo vya ajabu ndio wanakuwa washauri nchi itapata nini kama sio makombo?
Mimi binafsi namlaumu sana Jk kwa kutoyapa msukumo mkubwa mambo ya mradi wa bagamoyo sez,mradi mji mpya kigamboni,katiba mpya na kuachia nchi kwa wajamaa wasio na exposure ya biashara,uchumi wala mabadiliko yanayoendelea duniani

Bandari ya Bagamoyo iikianza hakuna mtu ataenda Dubai Darban Lamu kutoa mizigo yake Nchi nyingi zitaitumia hiyo Bandari na ina faida kuliko Ndege za kununua kwa cash wajanja wakala 10% kimya kimya.
 
Kuna Meli gani kubwa duniani kwa sasa ambayo haziwezi kutia nanga kwenye bandari ya Dar?

Sikiliza hiyo video, kina cha bandari ya Dar Ni kikubwa zaidi na kinao uwezo wa kuhudumia meli ya ukubwa wowote duniani
Kwenye hiyo video sijasikia hata neno moja kuwa kina cha bandari ya dar ni kirefu na meli yeyote kubwa dunian inawez Kutia nanga

HAKUNA
 
Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi hata ZK hajui return ya bandari, na risk ya Bagamoyo kuwa chini ya muwekezaji yeyote yule; awe China, USA, UK, France.

Serikali ya Tanzania hasa taasisi rais wamefanya jambo la msingi kuliko mtu yeyote anavyoweza kueleza na kuandika.

Mfano, Hapo Bagamoyo pakijengwa kwa China kumiliki atakachokifanya ni sabotage to Dar Port hapo Tanzania inakosa mapato yote ya Tanga, Mtwara na Dar Ports.

Viva Taasisi ya Rais, TISS na wote waliohusika kupindua meza.

Kwa hili naipongeza sana Tanzania.
 
TUSUBIRI ZITTO ATAKAPOKUWA RAIS WA TANZANIA ATAJENGA BAGAMOYO. JPM AJUI KITU KABUSA. 2035 TUTAMPA NCHI

Moshi wa Ruangwa umeisha? maana sidhani hao wamiliki wa huo moshi watakubali afike 2035 huku Bashite kipindi hicho ni waziri mkuu
 
minyoo

Hujachungulia mikataba iliyokuwa mezani labda ungeelewa au ukatoa machozi.

Viva Taasisi ya Rais , TISS na wote waliohusika kupindua meza.
 
Man, kwenye hili la bandari unatakiwa ukajipange upya manake maelezo yako yana mapungufu kadhaa!!!

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba, kupitia China's Belt & Road Initiative, Mchina alijipanga kuwekeza kwenye miundombinu sehemu kadhaa duniani. Hili nalifahamu vizuri kwa sababu nilikuwa mbeba mikoba wa Beberu moja la Kimarekani wakati wa kufanya research, na moja ya case study ni Bandari ya Bagamoyo!!!

Katika kufikia hilo, Mchina akawa ameigawa dunia kwa mafungu... kule Ulaya akawekeza pesa ya kutosha kwenye Bandari ya Piraeus nchini Greece!!!

Kama alivyo beberu langu lile la Kimarekani linavyopinga hii miradi including mradi wa Bagamoyo, Mabeberu ya Ulaya yakaanza kumwekea figisu figisu Mchina kwenye Bandari ya Piraeus! Kuna wakati EU, huku Italy wakiwa ndi viherehere zaidi, wakaanza kusema kwamba China inaitumia Bandari ya Piraues kufanya biashara haramu!!

Cha ajabu, miezi kadhaa baadae, Italy ile ile ikaingia mkataba wa kibiashara na bandari ile ile!! Na bandari ile ile ambayo walikuwa wanaisemanga, leo hii imeingia kwenye Top 10 of largest terminal ports in Europe wakati uendelezaji wala hujafika ukingoni!!

Hilo ni la Ulaya! Mchina huyo huyo akataka kwenda kumchezea sharubu Marekani kwa kutaka container terminal ya South California! Hadi mara ya mwisho nafuatilia, Senate likaanza kutoa povu hawataki Mchina achukue terminal pale South Port!!

Hilo ni la Marekani!!

Tukija Africa sasa, Mchina anafahamu fika kwamba Africa ni emerging market.Strategy yake ikawa kuigawa Afrika kwa blocks! Kwenye Horn of Africa, akawekeza Djibouti ili hatimae mizigo yake itakayoenda ukanda wa Horn of Africa ipitie Djbouti!

Afrika Mashariki tukawa na competition kati ya Kenya na Tanzania huku Kenya akimkaribisha Mchina ajenge Lamu!!! Kenya walitoa incentives kibao lakini Mchina akachomoa na kuchagua Bagamoyo!

Unlike Djibouti na sehemu zingine Africa, Mchina alitaka kuifanya Bagamoyo iwe ndo central unit! I wish ungeiona ile plan, ambayo in the long run, makao makuu ya mkoa wa pwani yangehamishwa kutoka Kibaha to Bagamoyo!!

Ili kuifanya Bagamoyo kuwa Central Unit kwa kufuata mfumo ule ule wa Shenzhen Uchina, ikapangwa kujengwa not just a port but a megaport! Pamoja na hii megaport, pia na industrial complex pamoja na railway network to connect Bagamoyo na nchi zingine za ukanda wa maziwa makuu pamoja na kusini... Malawi, and Zambia in particular!!

Awamu ya 4 ya nne watu wamekula posho na kusafiri hadi Shenzhen kujifunza jinsi Shenzhen ilivyogeuzwa kuwa a fishing village like Bagamoyo!!

So, what was the idea?! Mega ships kutoka China zingekuwa zinafaulisha mzigo Bagamoyo na mzigo huo kuchukuliwa na meli za kawaida na kusambazwa sehemu zingine za Africa, na mali zingine zingetumia reli kwenda landlocked countries.

Pale Industrial Complex kungetokea mambo mawili!! Hivi sasa Uchina labor cost inapanda kila uchao! Kutokana na hilo, kulikuwa na uwezekano mkubwa Mchina akaifanya Bagamoyo Free Economic zone kama sehemu ya kuzalisha baadhi ya bidhaa zake za kulisha Afrika na maeneo mengine!

Kutokea Bagamoyo, bidhaa hizo zingesafirishwa kwa meli na zingine kwa reli kwenda landlocked countries!!!

Sasa unadai kwamba Kenya hatapata mizigo... man, unajidanganya!!! Salama yetu ni Mchina kurudi Bagamoyo vinginevyo, ile plan ya Bagamoyo anaweza kuihamishia Lamu ambako Kenyatta tangia mwanzo alisema msipojenga, tutajenga wewe!!!

Yule Beberu wangu kwavile sawa na mabeberu wenzake wanaipinga hii miradi ya Uchina, Bagamoyo Port included, moja ya hoja yake ilikuwa eti Bagamoyo Port will be too big for Tanzania's Economy, na kwahiyo Bandari ya Dar es salaam inatosha sana!!

Nilipomuuliza ikiwa na umaskini wetu wote huu pamoja na majirani zetu bado wakati mwingine Bandari ya Dar es salaam huwa inaelemewa! What if uchumi wa Tanzania na majirani zake ukipanda angalau kwa mara mbili tu hasa tukizingatia hata ukipanda mara mbili bado tutakuwa maskini!!
Sasa kwa nini viongozi wetu wasingekaa kujiridhisha tuu na strategic plan ya mradi na nini china anataka,kama wewe umefahamu mpango mkakati wa china kwa bagamoyo hao tisa hawayajui haya kumueleza mkuu? Tumepoteza moja ya fursa kubwa ya kuwa kama Singapore na shenzen

Mimi nilitegemea kama unaona kuna shida mnarekebisha sio ku abandon,afu kwani hii nchi haina tume ya mipango ili kuratibu mipango mikakati na miradi ya kitaifa ambayo kila rais akija ni lazima waitekeleze kwa mujibu wa mipango badala ya kila mtu kutekeleza atakachoota usiku? Haya mambo ya zima moto hadi lini?
 
Back
Top Bottom