minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kwenye hiyo video sijasikia hata neno moja kuwa kina cha bandari ya dar ni kirefu na meli yeyote kubwa dunian inawez Kutia nanga
HAKUNA
Bandari ya Dsm ni kichochoro ni Bandari ya wilaya kule South Africa hata huko Nchi zingine ni kabandari kalikojibana sana hakafai kwa usitawi wa uchumi kina cha maji ni kifupi sana.