Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

China wanajua Tanzania ndio ufunguo Gateway to East, Central, Southern Africa and the whole Africa in General.
Endeleeni kujidanganya kwamba Tanzania ndio gateway to East and Central Africa wakati kuwa gateway it means miundombinu!! Ni hivi viburi ya kizamani kama vile vya kusema gas haiozi ndiyo iliyomfanya Mkurugenzi wa Bandari, Kakoko aseme "our new terms ni hizi, they should accept it or leave"!

Or leave kwa sababu na mwenyewe anaamini Tanzania ndie gateway huku akisahau huwezi kuwa gateway kama huna miundombuni!

Mchina anaweza kujenga Lamu, akapiga railway network across the region na hatimae Lamu kuwa ndio Gateway!!

Kama unadhani just by geography, Tanzania tayari inastahili kuwa gateway to East and Central Africa; kwanini basi ni Jomo Kenyatta International Airport ndiyo inatambulika kama "gateway" na sio Julius Nyerere International Airport?!
 
Chige,
Huo uthubutu ndiyo umeigharimu Tanzania wanachelewa kufanya maamuzi kila mara na hata CCM wakifanya wenyewe wakati mwingine hubugikwa na mapungufu mengi, mikataba iwekwe wazi mjadala wa kitaifa uanze watanzania wachambue wapate fursa ya kuja na mapendekezo yao kila kitu kiwe wazi isiwe kama kujenga Chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge.
 
Atuwezi kurudia makosa ya mkapa
Kwahiyo biashara ya ubuyu ambayo haina faida kabisa ndio tuifanye? Tuna invest bilioni dollars kwa fedha zetu wenyewe kununua ndege halafu faida tunakuja kuiona baada ya miaka 50 kama hizo ndege zitakuwa nzima ndio vizuri?

Hivi uwekezaji wa Mcity wa miaka 99 sie hatupati faida? Biashara zinazofanyika mle hazina impact kwa jamii? Serikali haipati kipato chochote?

Kama tungejenga bandari bagamoyo serikali isingepata faida yeyote kwa mda wote wa mkataba wa miaka 100? Ebu nifafanulie ufisadi uliopo kwenye ujenzi wa bandari bwax ambao Jakaya hajauona?
 
Sasa tutabishana na serikali? Wao ndo wapo kwenye majadiliano na wajitetea kwa vipengele ivyo vya miaka 99, na bandari za dar tanga, mtwara tusizitumie
Wewe umesema
Faida baada ya miaka 99 kupita,tokea tupate Uhuru miaka 99 haijafika halafu tuwape wachina miaka 99
Hiyo miaka 99 sio ya faida bali umiliki wa ardhi!!

Hilo la bandari za wapi sijui ndo uongo wenyewe ninaouzungumza!! Bandari ya Mtwara, ipo reserved kwa ajili ya usafirishaji wa gas... sasa Mchina akataze uendelezwaji wa bandari ya Mtwara kwa lipi wakati Bandari ya Bagamoyo haitahusika na suala la meli za gas?!

Btw, ina maana hamkuona wakati ule bandari ya Mtwara ilivyokuwa inaendelezwa kama maandalizi ya kushughulikia meli za gas?! Kama Mchina alizuia, mbona serikali ile ile iliyokuwa imekubaliana na Mchina ndio hiyo hiyo ilikuwa inaendeleza Bandari ya Mtwara?

Mbona suala la Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga lilifikiwa tangia awamu ya 4...! Kama Mchina alikataza kuendeleza Tanga, kwanini basi JK alichangamkia fursa ya bomba la mafuta?!

Kila wakati hapa nimekuwa nikihoji lakini hakuna aliyewahi kujibu! Hizo bandari ambazo leo hii serikali ndo inajifanya itashindwa kuziendeleza ni bandari zipi?! Za Kilwa na Lindi, au ni zipi hasa?

Hata upanuzi wa bandari ya Dar es salaam kwa kujenga gati zingine, mpango ulianza tangia wakati wa JK, na watu wa Kurasini wanafahamu kwa sababu ni wakati ule ndio walibomolewa nyumba zao kupisha upanuzi!

Sasa kama Mchina alizuia, how come tena JK yule yule aliyekuwa amekubaliana na Mchina wasifanye uendelezaji wa Bandari ya Dar es salaam, ndiyo huyo huyo aliyeivunja Kurasini yote?!

Isitoshe, Bandari ya Dar es salaam yenyewe imefikia point ambayo ni ngumu sana kuiendeleza zaidi!!
 
Hii Tabia ya watetezi za CCM kutumia maneno ya nyerere kupinga vitu vya maendeleo ya kweli ilaaniwe kwani ni matumizi mabaya ya maneno ya marehemu baba wa Taifa.

CCM Tambueni kuwa sasa ni ulimwengu wa Digital watanzania wengi wameamka wanajua sinema zote za CCM, wanafahamu CCM wasipopewa kitu hukwamisha maendeleo.

wanajua vibaya na vizuri na wapo tayari kuchangia mawazo vyenye kasoro vikarekebishwa ingawa utawala huu wa awamu ya tano haupendi kukosolewa kabsa.
 
Huo uthubutu ndiyo umeigharimu Tanzania wanachelewa kufanya maamuzi kila mara na hata CCM wakifanya wenyewe wakati mwingine hubugikwa na mapungufu mengi, mikataba iwekwe wazi mjadala wa kitaifa uanze watanzania wachambue wapate fursa ya kuja na mapendekezo yao kila kitu kiwe wazi isiwe kama kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge.
Na hilo la mikataba ni serious problem kwa hii nchi... lakini inaeleweka! There's no way wanaweza kuweka uwazi kwa hayo mambo kwa sababu wanajua mambo wanayofanya ni magumashi matupu!
 
Kwahiyo biashara ya ubuyu ambayo haina faida kabisa ndio tuifanye? Tuna invest bilioni dollars kwa fedha zetu wenyewe kununua ndege halafu faida tunakuja kuiona baada ya miaka 50 kama hizo ndege zitakuwa nzima ndio vizuri?? Hvi uwekezaji wa Mcity wa miaka 99 sie hatupati faida? Biashara zinazofanyika mule hazina impact kwa jamii? Serikali haipati kipato chochote? Kama tungejenga bandari bagamoyo serikali isingepata faida yeyote kwa mda wote wa mkataba wa miaka 100? Ebu nifafanulie ufisadi uliopo kwenye ujenzi wa bandari bwax ambao Jakaya hajauona?

Bandari ya Bagamoyo ingeleta faida haraka kuliko Ndege, kwanza mji wa Bagamoyo utakuwa kiuchumi mzunguko wa pesa ungeongezeka na hata ndege za mizigo zingeanza kumiminika kuja kupakia.

Reli wangefanya biashara zipo faida nyingi sana kuliko huko kwenye Ndege ambapo kuna ufisadi mkubwa kwenye service zake na ujanja ujanja mwingi ikiwemo 10% kwenye ununuzi wa cash nk
 
Na hilo la mikataba ni serious problem kwa hii nchi... lakini inaeleweka! There's no way wanaweza kuweka uwazi kwa hayo mambo kwa sababu wanajua mambo wanayofanya ni magumashi matupu!

Wachina na waarabu wapo tayari mda wote kukaa meza ya majadiliano kurekebisha kila kitu kuleta faida kwa pande mbili, Tatizo ni jinsi magufuli atawageuka Odinga na kenyata ambao aliwakubalia kuunga mkono Bandari yao ya Lamu.
 
@="Chige,

Bandari ya Dsm ni uchochoro kina cha maji ni kifupi na mfumo wake wa utendaji ni wa usumbufu mwingi hakuna mgeni anaipenda Bandari hiyo tena ndiyo maana wengi hutumia Bandari ya msumbiji na Mombasa ambapo hakuna usumbufu mwingi kila kitu kimewekwa vizuri kwa mpangilio bora.
 
Bandari ya Bagamoyo ingeleta faida haraka kuliko Ndege, kwanza mji wa Bagamoyo utakuwa kiuchumi mzunguko wa pesa ungeongezeka na hata Ndege za mizigo zingeanza kumiminika kuja kupakia , reli wangefanya biashara zipo faida nyingi sana kuliko huko kwenye Ndege ambapo kuna ufisadi mkubwa kwenye service zake na ujanja ujanja mwingi ikiwemo 10% kwenye ununuzi wa cash nk

Mh Rais angekuwa anapitia maoni ya wananchi hasa humu JF hakika mradi wa ndege asingeupa kipaumbele, mradi wa ndege unashangiliwa na CCM wenyewe tu lakini wataalamu wengi wanaupinga maana kuendesha ndege ni hasara sana bora hata tungelifufua shirika kwa bond na sio kutoa fedha zetu moja kwa moja zote.
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa zitto ni mnafiki kuliko wale wenye phd za unafiki aliowasema Musiba ?
Kwakweli Zitto amewandika mazito ila tu sio mtu wakuaminika... lazima kuna kitu nyuma sio kwa maandalizi ya maandishi hayo, Zitto asingekua mnafiki angekua the best presidential material wa nchi hi, anaupeo mwingi
 
Tatizo hii mikataba inakuwa imeandikwa kwa lugha ya mabeberu hivyo inakuwa ngumu kuekewa tunasaini nini
 
@"macho_mdiliko,
Kutojua vya Moshi wa Ruangwa siyo kigezo cha kutojua vya Odinga
 
@"macho_mdiliko,
Kutojua vya Moshi wa Ruangwa siyo kigezo cha kutojua vya Odinga
Wewe muungwana kweli kwani umejitokeza mwenyewe. Sikubaliana na wewe. Umefananisha vitu viwili tofauti. Atakuwa amelishwa tena wrong info na hizo source zake. Lile tukio la kushangilia uvumi wa rais kuugua ni tukio ambalo lilikuwa rahisi zaidi kwake kulijua kuliko la eti Odinga kumrubuni rais. Na inaonyesha kabisa Zitto hafanyii research umbea anaolishwa bali hukurupuka tu.
 
@="minyoo,
]Magufuli halisha kataa kulipa fidia , yeye kashasema muhekezaji yoyote hanayetaka kuwekeza bagamoyo hanatakiwa haende mojakwamoja kwa wenye maeneo na serikali haiusiki tena kwenye kulipa fidia.
 
Chige,

Tulichelewa tulikuwa wajamaa, wenzetu mapebari, we are a bit wiser, we ll catch up soon enough.
 
Chige,

Inaamanisha wanatumia pesa za ndani na za nje.

Ila uchumi utakua na hili deni bado ni sustainable ukilinganisha na madeni ya nchi nyingi duniani.

Kama hauwezi kulipa deni wajanja hawakupi mkopo, wanaangalia indicators, trajectory, return on investment, wapi una-invest.
 
Kwani wote serikalini ndiyo wamekataa Bandari ya Bagamoyo? wengi wanaitaka Bandari hiyo lakini mmoja tu magufuli haitaki mpaka China wakae nae chini kama kampuni za madini ashibe kwanza ndipo mengine yafuate

Uhuru wa maoni, kufikiri tunavyotaka ndio huu.
 
Ndiyo maana kuna wachangiaji hapo juu wameponda sana logics alizozieleza Zito. Kila kitu toka kwa mpinzani kwao ni batili na hii inafanya Tanzania kubaki maskini wa kila kitu. Anyway, tumeshapoteza na tunapaswa kukubaliana na ujinga wetu, maana hata tulivyozindua vinaondoka huku tumekodoa macho tuu(refer bomba la mafuta toka Hoima)
Hopely watawala wetu wakisoma hapa wataelewa but the problem is alieongea ni Zitto (mpinzani), so watachukulia poa kwani kila wazo la mpinzani ni rubish!! Too bad.
 
Back
Top Bottom