Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

Torero

Senior Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
122
Reaction score
138
1617781214155.png
Wandugu, sasa ni muda muafaka wa kurejesha ule mradi wetu mkubwa wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi na kwa faida za kichumi.

Yafanyike maandalizi mapema na washirika wote wakae katika mazungumzo ili hatimae mradi uanze kazi mara moja.

Ikumbukwe mradi huu ukikamilika utakuwa ni miongoni mwa miradi mikubwa sana Afrika Mashariki na utaleta manufaa makubwa sana siyo tu kwa watanzania na watu wa ukanda wa Pwani bali pia hata nchi jirani zitanufaika.

Habari sijui za kusema mradi utaua bandari ya Dar es salam hazina mantiki kabisa kwa sasa. Tusonge mbele tujenge taifa letu.

Pia soma:

 
Kama aliyoyasema Hayati JPM juu ya huumradi ni ya Hakika kwakweli HAPANA acha tuendelee na ile ya kimkakati aliyoiacha ila kama terms zitabadilishwa na kuwa win win situation hapo SAWA.
Magufuli ameshaondoka! Tutaurudisha tu ule mradi. Kodi itakayo patikana, itatumika kuboreshea huduma mbalimbali za kijamii. Mtake msitake. Ccm ni ile ile.

Mbona gesi asili mmewapa! Iweje muwanyime hiyo Bandari?
 
Mazungumzo yapo.
Acheni bagamoyo yangu nayo itambe.
Hata kama ni miaka 50 hapana!!!!.....labda miaka 2!!!

Kama mnavyojua, hawa Wachina are sliperly by character [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kama walivyo Wahindi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Yani tuue Bandari ya Dar kwa Bandari isiyokuwa na faida? Huo ni uzwazwa.
Nani kakwambia ni Bandari isiyo na faida??? Kwa Unajua mradi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa unahusisha mambo gani??? Au ndo tapeli wenu magufuli aliwalisha matango pori???
 
Back
Top Bottom