Torero
Senior Member
- Dec 22, 2017
- 122
- 138
Yafanyike maandalizi mapema na washirika wote wakae katika mazungumzo ili hatimae mradi uanze kazi mara moja.
Ikumbukwe mradi huu ukikamilika utakuwa ni miongoni mwa miradi mikubwa sana Afrika Mashariki na utaleta manufaa makubwa sana siyo tu kwa watanzania na watu wa ukanda wa Pwani bali pia hata nchi jirani zitanufaika.
Habari sijui za kusema mradi utaua bandari ya Dar es salam hazina mantiki kabisa kwa sasa. Tusonge mbele tujenge taifa letu.
Pia soma: