jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Kwa utawala huu ni utawala wa kukaribisha wawekezaji, waje tu!Mleta mada ulisoma masharti ya huo mkataba au kwa kuwa umeshiba visheti ndo unaamua kuropoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utawala huu ni utawala wa kukaribisha wawekezaji, waje tu!Mleta mada ulisoma masharti ya huo mkataba au kwa kuwa umeshiba visheti ndo unaamua kuropoka
Hivi mlimwamini Magu kuhusu masharti ya huu mradi? Kumbe kuna watu walikuwa wanamwamini kiasi hiki?Yaani miaka 50 nchi haichukui Kodi, haiendelezi bandari nyingine, haina mamlaka ya kuhoji na kukagua vitabu vya mapato na matumizi vya mchina.
BIG NOOOOO
Only and only if the terms are reviewed in favour of economical benefits, viablity and sustainability to the country. Nothing else !!!!WANDUGU, SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUREJESHA ULE MRADI WETU MKUBWA WA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO KWA MASLAHI
Yani tuue Bandari ya Dar kwa Bandari isiyokuwa na faida? Huo ni uzwazwa.
Huo mradi ni wa kufutilia mbali haufaiView attachment 1745616
Wandugu, sasa ni muda muafaka wa kurejesha ule mradi wetu mkubwa
Hata 50 nakataa katakata. Bandari ya Dar inalipa kodi kubwa ikitokea mradi wa Bagamoyo kukamilika Dar itakosa wateja na hela zote kwa Mchina wa Bagamoyo. Kwa hiyo tukae miaka 50 tukisubiri waachie hasara yote hii?Sio 99.
Ni 50.mazungumzo yapo.
Hata 50 nakataa katakata. Bandari ya Dar inalipa kodi kubwa ikitokea mradi wa Bagamoyo kukamilika Dar itakosa wateja na hela zote kwa Mchina wa Bagamoyo. Kwa hiyo tukae miaka 50 tukisubiri waachie hasara yote hii?
Kama wanataka tugawane 50/50 hapo sawa
Nani kakwambia ni Bandari isiyo na faida??? Kwa Unajua mradi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa unahusisha mambo gani??? Au ndo tapeli wenu magufuli aliwalisha matango pori???
Hata ikiwa 10,Sio 99.
Ni 50.mazungumzo yapo.
Wewe ulisoma huo mkataba? Au ulilishwa matango pori na watu wanaowaza kizamani?Mleta mada ulisoma masharti ya huo mkataba au kwa kuwa umeshiba visheti ndo unaamua kuropoka
ANGALIA NA FAIDA NYENGINEZO! HAKUNA LISILOZUNGUMZIKA NDUGU.
Nani kakwambia ni Bandari isiyo na faida??? Kwa Unajua mradi wa Bandari ya Bagamoyo ulikuwa unahusisha mambo gani??? Au ndo tapeli wenu magufuli aliwalisha matango pori???