Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ivi China alivyo na tekinolojia yakee
Ivi Bandari hii ya Dasalama ,Itatoboa??.
Ivi Bandari hii ya Dasalama ,Itatoboa??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseeee uwekeni mezani tuuone.Hivi mlimwamini Magu kuhusu masharti ya huu mradi? Kumbe kuna watu walikuwa wanamwamini kiasi hiki?
Ukweli ni kwamba Magu ali exaggerate masharti terms za huu mradi. Tafuteni ukweli mtajua
Umeambiwa hatutakiwa kuendeleza bandari nyengine yoyote hata hiyo da itbidi iamie tuu hukoIvi China alivyo na tekinolojia yakee
Ivi Bandari hii ya Dasalama ,Itatoboa??.
Matapeli huwa wanapenda sana kusema mazungumzo yapo. Nilimpinga Magufuli kwa vingi lakini huu mradi ni big NO. Huku ni kuuza nchi.Umeambiwa mazungumzo yapo
Mbona mna WIVU na bagamoyo?
Bila kutumia reference yoyote ya Magufuli, huu mradi jinsi wachina wanavyotumia nguvu kubwa sana kuufukuzia inaonyesha bila shaka ni ulaji mkubwa kwao. Tanzania itapata kitu kidogo sana. Huku ni kuuza nchi. Tunajua kina Ndungai wameahidiwa mamilioni ya fedha iwapo watafanikisha kupisha mradi. Hatutaki kuuza nchi yetu.Hivi mlimwamini Magu kuhusu masharti ya huu mradi? Kumbe kuna watu walikuwa wanamwamini kiasi hiki?
Ukweli ni kwamba Magu ali exaggerate masharti terms za huu mradi. Tafuteni ukweli mtajua
Sio 99.
Ni 50.mazungumzo yapo.
Tusipokuwa makini na hivi vitu tutakuja kushtuka tumeshiriki kuwasaidia watu kupiga pesaWanao unga mkono huo mradi ni either hamnazo au watu wa Bagamoyo tu, sasa wameingia na wagogo wa Dodoma, the rest tunasema BIG NO kwa mradi wa Bagamoyo
Umeusoma mkataba wote wa huo mradi?Hakuna kodi