Shark's Style
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 312
- 182
Nimekusoma ulichoandika mpaka pale uliposema nchi yetu ina siasa nzuri, huu upofu wa makusudi unaojitia unajidanganya mwenyewe, ni kama unajitekenya na kucheka peke yako.
Kuhusu hiyo LNG mtazipata wapi $30mil zinazohitajika kwenye huo mradi?
Kwa utoto ulioandika hapa, vipi kuhusu Nyerere Dam ndio pesa imeshachezewa pale kwa hiyo iachwe ipotee?
Kama hiyo ndio akili yenu, kwanini nisiamini mnataka kuanzisha mradi mpya wa LNG ili nanyi mpate nafasi ya upigaji ili kama ikitokea msipoukamilisha kama wa Nyerere Dam muwe mmeshaiba mnachotaka?
Naona umejaza uzi wako na yanayotokea ulaya kama vile hao wazungu wanatupenda sana sisi, unajidanganya tu, kwenye maslahi hakuna taifa litakalokubali kuwa nyuma ya lingine hata kama kila siku mtaenda kwao miaka kumi mfululizo.
Tusidanganyane, sharti mradi wa Nyerere Dam ukamilike kwanza kama kweli mnataka kuokoa pesa za walipakodi masikini wa Tanzania, badala ya kujitutumua na miradi mipya ya bei ghali ambayo hamuwezi kuikamilisha wenyewe, huu ujinga wa kujiona wajanja kwasababu mnakopesheka utaangamiza vizazi vya hili taifa.
LNG si ni mradi wa kuiprocess gas’s kupata products mbali mbali zaidi zaidi ni kuisafisha na kuondoa takataka na kuivadilisja form kuwa liquid ili iweze kuwa stored kwenye mitungi kama LPG does LNG and LPG rings a bell in your head? LNG has nothing to do with uzalishaji wa umeme Tafiti kwanza kabla haujakosoa, leo hii gas ya kupikia tunaagiza nje na inakuja kwa Meli ila kwa mradi wa LNG gas itakuwa inatoka lindi kuja nyumbani kwako ikiwa kwenye mtungi