Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

Kuna watu humu wanaongea kwa uchungu bila kuangalia hoja. Ila ukichunguza utakuta wana mbegu kali sana za udini.
Wao wakisikia Mwarabu wanaona ni sawa sawa tu na kutaja dini fulani.
 
Tuache utopolo lisemwalo laweza kuwapo, kufika eneo la mradi na kuongea na wafanyakazi haina gharama, anaebisha awe na facts, huyu mdau ni whistle blower tu pia ni wajibu na haki yake kuwasilisha hili jambo kwa maslahi mapana, wahusika wajipange na mkuu ajue hujuma ni popote pale kwa chochote na wakati wowote, beware all the time.
 
Hivi mwendokasi unauita mradi umefanikiwa
Kweli wewe ni andazi

Ova
 
Pumba tupu
 
Tangu lini mwarabu akawa na akili ya kufanya project zinazohitaji akili kubwa, mambo mengine yapo wazi kabisa.....hata huko kwao pamoja na utajiri wa mafuta mambo ya kitaalamu na hata project za utafiti na uchimbaji mafuta wanafanya watu kutoka nje...
 
Kuna watu humu wanaongea kwa uchungu bila kuangalia hoja. Ila ukichunguza utakuta wana mbegu kali sana za udini.
Wao wakisikia Mwarabu wanaona ni sawa sawa tu na kutaja dini fulani.
Duh
 
Tuache siasa hapa. Wahusika wasikie. Hiki ni kingo'ra.
 
Mkuu hilo linafahamika toka awali.
 
Asante sana manake kuna mambo ya hovyo mno awamu hii na yanafichwa kama corona. Ukweli utajulikana tu na watu wataumbuka sana.
 
Wale wengine wa Morocco walituahidi Kiwanja cha mpira cha nyota tano...tupo tunasubiri.
 


MKuu usichokijua ni kuwa Mwarabu ndio katukopesha hapo, kwahiyo vumilia tu.
 
Kajenge wewe basi ambayo kufunga solar tu nyumban kwenu umeshindwa wazaz wako wa nahangaika na umesomea mutu ya ajabu sana wewe unakuja kucrash kitu ambacho huna ujuz nacho
 
What???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hell of a kind! You must be kidding
 
Mradi kama huo mteja yeyote atangazi tender kama sandakalawe na mkataba upewi tu bila ya maelezo ya work break down structure, scope of work, muda wa kila task, quality yake ya ujenzi, usimamizi, report za progress etc with project management. Hizi ndio sababu mteja anajua mradi umefikia asilimia ngapi kwa sababu ana yardstick za kupima na kukagua walizokubaliana na contractor.

Vyote ivyo vina consequences kwenye mkataba contractor ukichelewa kufikia milestone kuna penalties, alikadhalika mteja ukivunja mkataba wakati contractor anatimiza wajibu wake ndani ya muda kwa quality mlizokubaliana kuna penalties.

Ni majungu ya kitoto kutoka kwa mtu ambae ni uninformed, but then unajiuliza hivi mtu anaweza soma engineering mpaka anamaliza aja cover ata ka module cha project management ya fani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…