Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana
Daaaaaah mbona unamshabulia mwenzio bila sababu, Yeye katoa maoni maana anaonesha jinsi gani mradi uishe kwa Ufasaha na ufanisi.
Au kama na wewe unaelewa chochote kuhusu hoja ya mwenzio tutoa tongotongo tusio elewa kitu
 
Naona wengi humu mnakuja na negativity kwa kutoa taarifa. Naishia hapo sina haja ya vijembe vya kijinga na ushabiki wa kipuuzi
Ndugu miradi yoyote mikubwa ina Main contractor na su-contractors. Mutu muhimu ni msimamizi wa mradi aliyeajiliwa na serikali kusimamia ubora wa kazi unaendana na matakwa ya mkataba na ujenzi na kuishauri serikali. Lakini pia usitegemee mradi kama huo hakuna EAGLES wanaorandaranda.
 
Lakin Arab contractors ya Misri ni kampuni kongwe iliojenga Aswan Dam miaka 1960 hadi 1970.
Kwa msaada wa Jumuiya ya Kisoviet wakati huo. Engineers wa kiarabu walishiriki kwa kuwezeshwa na kuachiwa utaalamu. Design ilifanywa na kampuni ya kirusi.
 
We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana
Unayumba ww
 
Sifa zetu kazini za awali, unafiki, uzandiki, uzabizabina, umbeya, kubwa lao FITINA NA MAJUNGU...

Mleta mada lengo mwarabu anyang'anywe kazi aliyogawana na mchina apewe nani??

Hapo watz tutakuwa tumebanwa uvivu wetu umedhibitiwa, kuingia na kutoka kiholela hakuna...rushwa haiwezekani!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Sounds like u have a grudge on this project.
 
Maji hayadhibitiwi ila ukienda kujenga bondeni au kwenye hifadhi ya maji , wewe unakuwa ni fala kabisa.


Kwa hiyo kwa utaalamu wako wewe usiye ,,fala'' ungependelea wajengee wapi?
 
Kama ni majungu asingeshauri kazi apewe mchina. Unaujua umakini wa Mchina katika kazi !? Hata ndoo ya rangi iliyoisha baada ya kutumika huwezi tu kuichukua bila kibali. Wako makini mno na kazi.
 
Waziri wa nishati alisema ametembelea huo mradi mara kumi na moja kama sikosei. Sasa lazima hapo kuna mtu ambaye hasemi ukweli, aliyeleta hii mada au Waziri anadanganywa. Je, mleta mada unaweza kuweka nyama kidogo kwenye uzi wako mfano pics kwenye huo mradi, wapi wanakosea/kuharibu. Kwenye programme of work hivi sasa ni kazi gani zinatakiwa kuwa zimeisha/kukamilika na zimefanyika kufuata BOQ na zimefanyika kwa ustadi au zimechelewa kiasi gani, nini mapungufu yake nk. Ili watu waingie kazini kutathimini hiso kasoro au ikiwezekana kujua nini kilicho ndani ya pazia.

Serikali haiwezi kutumia pesa za walipa kodi kuona kwamba raia wake wananyanyaswa ndani ya nchi yao na kutumika kama watumwa, hawatendewi haki katika fursa zilizopo nchini mwao nk. Kama unaweza weka facts zaidi ili tujue zipi ni mbivu.
 
Unajuaje kama Serikali ndivyo ilivyotaka pale patumike hivyo? Mjenzi anajenga kulingana na mlipaji anavyotaka, isitoshe ni mara ngapi kwa mwaka pale panafurika na kushindwa kutumika?
Ni vyema ungewauliza UDaRT gharama wanazoingia na usumbufu wanaoupata kipindi hiko cha mafuriko. Otherwise sijui unachojaribu kutetea hapa ni kipi!? Au wewe ndio wale wenye private car mnaopitia Ally Hassan Mwinyi road kipindi hicho na kutuachia wengine msala wa kuvuka jangwani na boxer?
 
Kajenge wewe basi ambayo kufunga solar tu nyumban kwenu umeshindwa wazaz wako wa nahangaika na umesomea mutu ya ajabu sana wewe unakuja kucrash kitu ambacho huna ujuz nacho
Kuandika tu yenyewe shida! Aisee!
 


Kwani ni nani hapati hasara kipindi cha mafuriko? Na ndiyo maana kuna Bima, au unafikiri kazi ya Bima ni ipi?
 
Unajuaje kama Serikali ndivyo ilivyotaka pale patumike hivyo? Mjenzi anajenga kulingana na mlipaji anavyotaka, isitoshe ni mara ngapi kwa mwaka pale panafurika na kushindwa kutumika?
Hata wewe mwenyewe unaona aibu kusapoti ujenzi wa barabara ya msimu katikati ya jiji. Kwa hiyo mlipaji alitaka mwendokasi iwe ya msimu? Kukwepa gharama? Halafu unajenga pedastrian bridge Ubungo kwa bei sawa au kuzidi gharama za ujenzi wa daraja nzuri kuliko hilo ambalo level zake zinaflash na Msimbazi river banks?
 
Unajuaje kama Serikali ndivyo ilivyotaka pale patumike hivyo? Mjenzi anajenga kulingana na mlipaji anavyotaka, isitoshe ni mara ngapi kwa mwaka pale panafurika na kushindwa kutumika?
Hata wewe mwenyewe unaona aibu kusapoti ujenzi wa barabara ya msimu katikati ya jiji. Kwa hiyo mlipaji alitaka mwendokasi iwe ya msimu? Kukwepa gharama? Halafu unajenga pedastrian bridge Ubungo kwa bei sawa au kuzidi gharama za ujenzi wa daraja nzuri kuliko hilo ambalo level zake zinaflash na Msimbazi river banks?
 
Hili haliitaji mjadara, wamisri hawana uwezo wa kujenga power plantS za megawatts 200, tutakuja laumiana mbele ya safari....

Hili haliitaji mjadara, wamisri hawana uwezo wa kujenga power plantS za megawatts 200, tutakuja laumiana mbele ya safari....
Wamisri hawana mito hata midogomidogo ya kujifunzia kujenga miradi midogomidogo wao mto Nile ndio pekee na lile Bwawa lao la Aswan, kubwa kuliko yote Afrika, halikujengwa na wao. Tanzania ingekuwa vigumu sana kupata mkandàrasi mwenye uzoefu kwa sababu nchini nyingi hazikutaka Bwawa hilo lijengwe mahali hapo kwa sababu zinazoeleweka kwa hiyo Misri ikatumia nafasi hiyo ili Tanzania iwe upande wao kwenye mazungumzo yoyote kuhusu matumizi ya maji ya mto Nile unaoanzia kwetu. Sasa hivi kuna mgogoro mkubwa kati Misri na Ethiopia inayojenga Bwawa la umeme kubwa kuliko yote Afrika katika tawi moja la mto Nile kwa hiyo Tanzania isingejenga hilo Bwawa hapo ingejenga Kagera chanzo Cha mto Nile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…