Mramba na Yona waongezewa adhabu. Sasa wapewa kazi za ofisini!

Kwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
Narcos
 
sasa hii adhabu imeongezwa na mahakama au uongozi wa hospitali una mamlaka hayo ? hii nchi inatia aibu sasa .
 
Hahahahaha!

Hii nchi bana! Naona Mkapa sasa anaendesha nchi kupitia kijana wake Magufuli!

Sasa hawa wezi wamegeuka ma consultants...?
Mambo yasiyowezekana duniani kote Tanzania yanawezekana.
 
Hiyo nayo adhabu???
 
Kweli hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu aiseeee[emoji15] [emoji15]
 
utasikia wiki ijayo wamepewa kazi nyingine ya kuwa mabalozi nchi za nje.
 
[emoji15] [emoji15] that's magumashi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Safi sana. Ni ujinga kumtumia watu wazoefu kama hawa kufagia wakati wanaweza kuchangia vingine...
Ni kweli,wana uzoefu wa kuitia serikali mabilioni ya pesa,uzoefu wa kuwadhihaki masikini,watanzania watakula majani lkn ndege tutanunua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…