Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 490
Well saidGari Kama hizo mgodi mpya utapifa Sana hela..mgodi ulopoa wengi wanatumia pikipiki..Bajaj succeed.etc!
Kama una 10m nunua kalasha kwa 4m,
Kodisha mwalo kwa 300k@yr.
Hela inayobaki Anza kufukizia kifusi..means nunua mawe yenye sample nzuri za dhahabu...ukitumia 4m uhakika wa kuuza 8-12m ni 95%kama kitasoma ppm nzuri...mfano kisome ppm 4-5! Hyo hela ni kugusa. Kama kitasoma 6-7 peleka mwenyew plant ukaozeshe.. hapa hukos grams za kutosha. ..mradi kifusi kiwe kikubwa..yasipungue Fao 5
kwa kalasha la hiyo 4m ni mfuko mmjo kusaga..kazi inaweza kwenda had 3mths...! Au pungufu ya hapo...!
Fao 1 ni tani ngapi?Gari Kama hizo mgodi mpya utapifa Sana hela..mgodi ulopoa wengi wanatumia pikipiki..Bajaj succeed.etc!
Kama una 10m nunua kalasha kwa 4m,
Kodisha mwalo kwa 300k@yr.
Hela inayobaki Anza kufukizia kifusi..means nunua mawe yenye sample nzuri za dhahabu...ukitumia 4m uhakika wa kuuza 8-12m ni 95%kama kitasoma ppm nzuri...mfano kisome ppm 4-5! Hyo hela ni kugusa. Kama kitasoma 6-7 peleka mwenyew plant ukaozeshe.. hapa hukos grams za kutosha. ..mradi kifusi kiwe kikubwa..yasipungue Fao 5
kwa kalasha la hiyo 4m ni mfuko mmjo kusaga..kazi inaweza kwenda had 3mths...! Au pungufu ya hapo...!
Kweli kabisa kuna tajiri mmja yupo Chunya anayo hiyo aisee anamipesa mingi mpka keroKaribu mkuu View attachment 1497738View attachment 1497739View attachment 1497740View attachment 1497741
Ukiwa na mojawapo kati ya hizo au ile ya juu kabisa karibu tuuage umaskini kwa style hii
Dhahabu vingepatikana kwa kupitia vifaa hivi,basi GGM kule Geita angemaliza dhahabu yote iliyopo Geita. Drilling ndio mwisho wa matatizo. Haya mengine ni utapeli tu wa kichinaKaribu mkuu View attachment 1497738View attachment 1497739View attachment 1497740View attachment 1497741
Ukiwa na mojawapo kati ya hizo au ile ya juu kabisa karibu tuuage umaskini kwa style hii
We mdanganye mwenzio tuMachine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.
Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.
Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.
Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.
Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.
Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.
Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.
Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.
Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.
Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.
Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
Kupata real ndio mtihani....wapi mtu anaweza kununua hiiMachine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.
Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.
Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.
Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.
Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.
Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
Upo sahihi mkuu,wengi wao wanaoingia mkenge kwenye hz detector,hata migodini hawajawahi kufika...Ningekua na muda ningekupa mpaka walalamikaji wanaozidai kampuni zilizowaingiza mkenge including GER DETECTOR.
Anyway nikwambie tu "natural mystic flows through the air" (if you listen carefully enough you will hear)
Nikwambie kwa lugha nyingine "UKWELI HAUPAMBWI"
0754397178 unaweza nipigia mkuu tukaongeaNimependa idea.
Wewe ndo utakaye tumia hiyo machine?View attachment 1497207View attachment 1497208
Walio wengi wachimbaji wadogo wenye vipato kidgo ndio wanasumbua na hiyo machine hapo juu na wanapiga hela sana je kwa machine kubwa kama ile itakuwa balaaa
Ndama vp unaendeleaje mkuu?Machine hii inauzwa kati milion 14 hadi 15 inategemea na inatoka nchi gani japo zipo ndogo 8m had 10m pia.
Machine hii kazi yake kubwa ni kudetect mahali ilipo dhahabu na kutoa mchoro wa 3d kama ambavyo geologist huwa wanaichora so ukiwa na hii machine utamaliza kila kitu, lakini pia utachimba mahali ambako tayri unauhakika na mali iko umbali gani na kuna mwamba wa aina gani au maji yapo ya ujazo upi na mali ipo ya ukubwa gani.
Faida kubwa ya hii machine ukiwa nayo hata mtu anaemiliki costar hapa hafui dafu maana wachimbaji wadogo wataacha kwenda kwa waganga wa kienyeji tayari wewe utakuwa mganga wao hivyo kwa week kutengeneza 5m sio shida kwa kuwapimia maeneo ya kuchimbia.
Faida nyingine wewe mwenyewe ukiwa na hii machine na unajuwa kuitumia ipasavyo na ukaunda kikundi cha kuchimba baada kupima hapa nahisi baada miezi leizer atakuja kukusalimia.
Mfano kigogo kuna jamaa ana machine moja ina uwezo wa kupima kwenda chini 1m tu lakini kwa mwezi hakosi 4m na kuendelea je hiyo ya 50m kwenda chini na mapana inapima 3000m huoni kuwa hapa hii italipa zaidi lakini bado itafanya vitu vingi kitaalamu.
Karibu sana kwa mtu yeyote mwenye mtaji sitaki hela ila naitaka hiyo machine tu kanunue mwenyewe uje nayo utakuja useme kwa nini nilichelewa namna hii
15 kama sikoseiFao 1 ni tani ngapi?
Tunasubiri mrejesho mkuu😊Wapambanaji wenzangu najiaandaa kuleta mrejesho wa biashara ya madini ya dhahabu msimu wa pili ( Gold business feedback second season). Hii ni baada ya Mimi kujitosa kwenye biashara hii, June twenty twenty nilikuja jukwaani kutaka kufahamu abc za hiyo biashara kutoka kwa experts. Miezi sita baadae yaaani December nilileta mrejesho wa wapi nimefikia. Wapo waliodhani ni promota niliyetumwa kuja kuibia watu. Sasa nikikaribia kukamilisha mwaka juni hii ya twenty twenty one nitaleta mrejesho wa ups and downs na wapi nilipo. Hii ni kutia hamasa miongoni mwa vijana kuona kila utakachodhamilia utakifikia panapo juhudi, nidhamu na kutokata tamaa.
Tamu sana....yaani kukamata faida ya 200k had 400k per day kawaida sana....mradi upate mzigo wa kutosha...ila inalevya sana.Biashara ya madini naitamani sana...one day yes...if i die i die
Dada watu wangu wakaribu almost wote wananikatisha tamaa...nitajilipua tu sina chakupoteza.Tamu sana....yaan kukamata faida ya 200k had 400k per day kawaida sana....mradi upate mzigo wa kutosha...ila inalevya sana.