ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Wajanja sana hao mabinti.
Huyu wa kwangu alijitambulisha kwamba anafanya kazi Duka la dawa, kumbe anafanya biashara ya kuuza mwili
Kwasasa sipangishi Binti Single
Hapa uli wahi mnoo, Kuna kifungu Cha muda wa majaribio Grahams.Nalipa
TRA wameshanikadiria
Siku hizi maadili yameshuka sana kwenye jamii zetu, sasa ukipangisha watu wa hivyo tegemea mmomonyoko wa maadili kuzidi kushuka.Wengine wamejipanga na pesa wanayo sababu jamaa aliongeza kodi mara kama kumfukuza akitegemea atasema siwezi kulipa.
Dada wala hakutetereka, akalipa siku hiyohiyo. Jamaa akaona isiwe case, ngoja akae hadi mwisho wa mkataba wake. Abadilishe matumizi ya nyumba.
Pia sio vizuri kama wanazungukwa na familia. Majirani wanakuwa hawana amani. Gari, wannaume wanapishana kuingia ndani mbalimbali muda wote 24/7 sehemu ya makazi.Siku hizi maadili yameshuka sana kwenye jamii zetu, sasa ukipangisha watu wa hivyo tegemea mmomonyoko wa maadili kuzidi kushuka.
Maana hawachelewi kuibiana Mabwana na kuleta ugomvi na pengine kuharibu hata nyumba
Pale kahama nilipo kutajia ni pa Moto mnoo, imagine ziko Lodge ka 5- na bado soko ni kubwa.Shukrani Kwa Elimu hii Mkuu
Kuna jamaa angu anataka kuwekeza Kigoma huko.
Nimemshauri aache, Kigoma haina muingiliano Mkubwa wa Wageni zaidi ya wale jama zetu wa Burundi
Sahihi kabisa, imagine anapelekewa moto Mchana muda ambao watoto wa wapangaji wenzake Wanacheza cheza njePia sio vizuri kama wanazungukwa na familia. Majirani wanakuwa hawana amani. Gari, wannaume wanapishana kuingia ndani mbalimbali muda wote 24/7 sehemu ya makazi.
Ila subiri ufaidike kwa kuwaambia uko muda wa majaribio.Hapa nataka niwawahi Kwa kuisajili hii biashara kama Kampuni ili nipate punguzo la Kodi japo Kwa miaka 4 hivi ijayo
Kuna Jamaa ana itwa choma zone, kapindua meza kibabe๐.Kahama nimefika mara kadhaa, pako moto sana....
Ukiwa mtu wa gambe ukienda pale Klabu 101 inakuwa unainjoi tu ๐ค
Nisha pre book meza๐๐, though sinywi ila tuombeane kheri mzee.Hiyo Choma zone imejengwa lini?
Mwezi April nitakuja huko, natamani nifike hapo kwaajili ya Kuchoma Kuku
Tuta agiza minute maid๐๐, maji cartoon zima.Nilidhani unakunywa ili ujaribu kuonja Pension ya Babu yako hapa ๐
Sahihi kabisa, imagine anapelekewa moto Mchana muda ambao watoto wa wapangaji wenzake Wanacheza cheza nje
Bora Chumba kibaki bila mpangaji kuliko kuwa na mpangaji wa hivyo
Hutumii hata Mvinyo?Tuta agiza minute maid๐๐, maji cartoon zima.
๐Nita kuonesha location fulani hivi, hii ni kwa ajili ya investing.
OkayNiliambiwa ilikuwa sio uswahili sana. kila mtu na geti lake. Sasa zipo massage bubu na zingine zina vibao kabisa. Anapanga Mwanamke mmoja wanashare wanne. Zimejaa kila sehemu hadi Masaki huko. Vigumu kuwatambua.