Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

hata English Medium hakuna connection. Connection unazo zizungumzia wewe zipo international kama IST. Hata hivyo kiuhalisia hazipo kwa sababu wanao soma huko wengi wametoka familia zinazo ishi kizungu ( kibepari) na ubinafsi.

St. Kayumba utapata network kubwa kwa sababu mnasoma watu wengi. Unlike English Medium darasa moja watu wanane hakuna connection yoyote ya maana.

Usisahau mkuu asilimia kubwa ya wazazi wanao somesha watoto wao hizo English Medium ni mahohehahe tu wenye hela za mawazo ambao hufuata mkumbo na kujionyesha kwamba na wao wanaweza kusomesha watoto English Medium lakini kiuhakika hawana lolote la maana kwenye maisha yao..

Wanaosomesha watoto English Medium ni masikini tu ambao wameamua kujipa matumizi ya sio ya lazima sawa na mfanyakazi mwenye mshahara wa laki nne ambae amenunua iPhone ya milioni mbili baada ya kujibana kwa miezi mitano.


English Medium ni Kayumba ambazo zinafundisha kwa KIINGEREZA.

Mkuu naongea suala nililoliona kwenye familia yangu mwenyewe na jamii iliyonizunguka..

Hizo English medium wengi wanaenda watoto kutoka middle income and elite class sio za wabangaizaji

Yaani mtu mlo tu umshinde ndo atoe millions kusomesha watoto

Na uelewe mtu middle income class wengi huwa wana connections nzito na hadi mtoto anamaliza anakuwa level ya juu zaidi

Nimesoma shule hizi hizi na ndugu zangu wengine wamesoma hizo hizo English medium.. Yaani classmate wao wa O'level na wangu ni mbingu na ardhi..

Halafu unaongelea shule za kata kuwa na watu wengi as if ufaulu huwa ni mzuri, huko tuulize sisi ambao ukisema ulifaulu shule flani watu wanakushangaa maana si ajabu watu chini ya kimi ndo mnafaulu, na hapo division one na two hazizidi hata tatu


Hilo grou la watu zaidi ya mia tatu wanakusaidiaje kwenye hizo exposure za states

Somo ni dogo tu quality over quantinty
 
Ha ha ha hatari saana mkuu. Ama kwa hakika kila kitu kina faida na hasara zake. Kila mtu aainishe hasara na faida za jambo lake analotaka kufanya kabla ya yote. Hakuna lenye faida lisilo na hasara.
Baobab nimesoma na watoto wa viongozi wengi kwelikweli ukiachana na wafanya biashara. Connections ziko nyingi sana aisee. Sema pia hizi shule za single sex daah, ulesbian upoo. Kama ya o level roomate alikua ndo mbanga zake. Sasa hv ameolewa yule dada. Walikua wanalala kitanda cha juu aisee. Niliwawashia moto balaa. Alikua na lidada lake la shule la form four amekaukiana kama mwanaume. Anakuja lala nae. Usiku unasikia watu wanaugulia. Aisee hapana. Yaan kila jambo lina hasara na faida.
Yeye alikuwa form ngapi? Yeye ndo alikuwa anasaga ama anasagwa?
 
Ukitaka ona ukweli kaangalie huku uswazi, wengi wamesoma na kumaliza shule ila hawajikomboi kuhama maeneo hayo, hivyo maisha yao yanaendelea kuwa vile vile. Mtu anaona ni sawa kuishi stoo
Mtu anaona ni sawa kujiuza
Mtu anaona ni sawa kunywa visungura etc
😭😭😭
 
Ni kweli mkuu ila Nina watoto wanasoma shule moja jijini 2M per each, Kwa mwaka 4.M yaani mkuu inanisononeshansana kuona wanakaririshwa tu. Nimewaza sans baada ya kusoma Uzi huu.

Kibaya zaidi mkurugenz ameweka burser/mhasibu Hana huruma.

Naendelea kuwaza lkn elim ni Bora kuliko kiwanja. Lkn wapi Sasa tunakwenda.


Mimi n mtumish wa imma. Serikalini ndio kumejaa walimu very professional. Lkn serikali inawakosea san na wao hawafanyi vema. Ila wapo vzr wakiwezeshwa.

Kwa Sasa naona si English Media Wala feza school hakuna lolote.


Huyu accountant ameniingiza kwenye matatizo makubwa mno.
Nakumbuka ilikuwa Januari nikiwa nimeandaa ada kama kawaida kianzio. Si akaikataa bana! Watoto wawili Kila mmoja laki Nne jumla laki nane, alidai Kila mmoja lazima owe 600K. Niliingia mkopo ambao unaniandama hadi sasa....


Mmiliki wa shule nilimuamini nikadamp wanangu lkn alitubadilia, alikataa hata end of Januari nikamilishe aligoma. Iliniuma Sana. Kwa hiyo mleta Uzi huu hili suala ni seriasi sana.
Wewe ni maskini. Acha ku-fake maisha. Kama hata laki 6 hadi ukakope ina maana huna uwezo wa kulipa 4m kwa mwaka. Mwisho wa siku utaanza kuiba kazini kwenu uende jela.
 
Barikiwa sana mkuu.

Wyatt Mathewson soma hiyo
I doubt nyie jamaa kama kweli mlipeleka watoto wenu kwenye hizo English Medium schools to begin with!

I really doubt

Maana huyo mjinga kaongea kitu na wewe umeshabikia as if ni kweli!

Kizazi changu tulisoma Kayumba kama wewe!

English medium schools zote,IB framework ,engagement ya mzazi na homework za watoto ni LAZIMA on the daily basis tofauti na nilipokua Kayumba mimi binafsi

Kayumba hazina homeworks nyingi kama English Medium,wote tumepita Kayumba tunalijua hili...Homeworks ilikua ni nadra

Kayumba mzazi analazimishwa kumfundisha mtoto kwa framework ipi maana hakunaga,ila English Medium kuna framework maalumu mtoto na mzazi kwa lazima ni lazima mfanye homework pamoja kila siku na kuna fomu mzazi unasaini sehemu yako na mtoto anarudi nayo shule asubuhi mnasahihishwa

Kayumba tulizosoma sisi kuna framework za namna hii za kumlazimisha mzazi kumsaidia mtoto kwa lazima kimfumo?

HAKUNA
 
Ha ha ha hatari saana mkuu. Ama kwa hakika kila kitu kina faida na hasara zake. Kila mtu aainishe hasara na faida za jambo lake analotaka kufanya kabla ya yote. Hakuna lenye faida lisilo na hasara.
Baobab nimesoma na watoto wa viongozi wengi kwelikweli ukiachana na wafanya biashara. Connections ziko nyingi sana aisee. Sema pia hizi shule za single sex daah, ulesbian upoo. Kama ya o level roomate alikua ndo mbanga zake. Sasa hv ameolewa yule dada. Walikua wanalala kitanda cha juu aisee. Niliwawashia moto balaa. Alikua na lidada lake la shule la form four amekaukiana kama mwanaume. Anakuja lala nae. Usiku unasikia watu wanaugulia. Aisee hapana. Yaan kila jambo lina hasara na faida.
Umeona sasa, si ajabu uliosoma nao baobab wengine wapo states, Europe huko na mkiongea mazungumzo yapo global. Sisi ngoja tupambane na kaliuwa na namanyere kama connections
 
Kipindi naanza maisha, nilimshirikisha jamaa yangu nilitaka kununua kisabufa. Bajeti ilikuwa 150k. Akaniambia acha kupoteza hela nunua sabufa ya 60k tu inatosha. Hakuna shida
Tv basi nikawaambia nataka nchi 32, akaniambia acha kupoteza hela, chukua ya nchi 15 au 21 tu inatosha.
Kuna baadhi ya marafiki ukiwa nao ndiyo kinakuwa chanzo chako cha umasikini. Nishakoma kushirikisha marafiki wenye mawazo ya kimasikini. Nilitegemea angeniambia, tatafuta hela uchukue muziki wa 800k. Ule maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] kwani wewe ulisoma shule yangu ya o level mkuu? Pumbavu sana ktk suala hilo. Yaan akili za kimaskini maskini. Hawataki kukua kbs. Wanaipenda elf 5 kama sala ya BABA YETU.
Kuna huyo mrembo aisee roho yake ni nyembamba kama mwili wake. Na hivi ameolewa kwa miujiza amekua kungwi kbs. Tulikua tunaweka katiba. Baadae kumeshapoa akaja kwa group anauliza kwamfano wale ambao wanachanga throughtout the year na hajanufaika na chochote kama kikundi kinafanyaje na yeye japo aone amenifaika? Ikabidi tuulizane ina maana watu wanatamani matatizo? Kuna wale wengine wameshafiwa baba na mama basi wao pia wanaonaga hawatopata hata rambirambi. Yaan tulichokaaa. Ingekua ni juu yangu ningemtoa. Hawawwzagi mengineyo zaidi ya kunufaika kwa mambo ya kijamii. Mtu amefiwa ikibidi mpeni mzigo unaoeleweka ukamsukume mbele siyo mnawaza elf 5 tena kwa mkeka. Mxieew. Katika suala hili ndo kayumba wanapofeli. Ndipo napokubali private. Huwa hawawezi kulima heka elf 1 ama 500. Anawaza heka 2 zake za familia. Tena hilo kubwa. Its very few huwa wamegrow. Na tuliotoka medium tulionekana tunaringa sana kwa kuongea kingereza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Kuwajengea nyumba ni Investment? Wewe akili huna.Ungesema unawaanzishia biashara ungeeeleweka .Nyumba na viwanja vyako vya kipuuzi vitawasaidia nini?

Wahindi maisha yao wanapanga wanadomesha watoto.best schools na watoto wao wana maisha mazuri mno.pamoja na watoto wao hawaishi uswahilini wanaishi katikati ya miji maisha mazuri mno wote wazazi na watoto kuliko wewe mwenye viwanja vya hovyo nje ya mji huko uswahilini

Nyumba na viwanja.navyo ni vitu vya kujivunia kuwa ume sacrifice watoto wasome Kayumba kisa ubaki na vihela koko vya kuwajengea nyumba na kuwanunulia viwanja koko nje ya mji huko uswahilini?

Wewe akili zimo kichwani kweli?
Unaelewa maana ya sacrifice?
Wahindi nchini kwao India hawajengi? Unajua kwanini wahindi hapa kwetu ndio hawajengi?
 
Big up mkuu kulifahamu hili mapema.
Tusomeshe watoto kulingana na vipato vyetu kama una pesa peleka wanao International school mitaala ya Cambridge, kipato cha kati peleka wanao english medium, kama ni mgonga ulimbo kama mimi mpeleke mwanao Kayumba.
Halafu suala la mtoto kufanya vizuri shuleni asilimia kubwa ni kumfuatilia mtoto kama humfuatilii mtoto imekula kwako.
Hapa umeongea la maana
 
International nyingi ni milioni 20 kwa mwaka ukiwa na watoto 3 utatumia Bilioni tu.
Hapo lazima uwe na kiwanda kinachoingiza faida ya kuanzia milioni 30 kwa mwezi
Yes. Actually wanaosomeshaga International ni big merchants. Ila kwa mimi mchagga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko international nako LGTB kwa sana. Ila elimu yao ni bora sana huo ndo ukweli..
 
Watu wanajipa tu moyo kijinga. Hata shule za serikali siku hizi zina matabaka. Kuna shule zinaitwa za kitaifa yaani hizo ni kali kuliko hata za private. Tena kwa jinsi JPM alivyoziboresha zimekuwa hatari. High school za kitaifa zina watoto wa kishua waliotoka private ndo maana zinapasua sana form six.
Ndio maana kuna comment nilisema mbadala wa private ni special schools. Huko kwanza miundombinu ni mizuri na kila mtoto anatamani kusoma kwa ajili ya prestige. Sasa toa mtoto wako private mpeleke kimbinji shule ya sekondari
 
Nenda uswahilini utaelewa, wengi wanaishi maeneo hayo hayo sababu ya fikea walizojengewa makwao
I agree aisee. Hapa tunaongelea hizi shule za kata siyo? Hizi sekondari eh? Hizo huwa hakuna kitu aisee. Inaniumaga. Na watoto wenyewe ni kuwatesa walimu wao tu. Ni wanakua wameharibikiwa zaidi kutokana na mazingira. Wengi bodaboda ni form 2 na form 4 leavers. Huwa naumia sana juu yao[emoji26] i wish ungekuwepo mbadala wa ajira badala ya hiyo. Watoto ni wadogo sana jamani. Wamefanya bora elimu na diyo ELIMU BORA
 
Ha ha ha hatari saana mkuu. Ama kwa hakika kila kitu kina faida na hasara zake. Kila mtu aainishe hasara na faida za jambo lake analotaka kufanya kabla ya yote. Hakuna lenye faida lisilo na hasara.
Baobab nimesoma na watoto wa viongozi wengi kwelikweli ukiachana na wafanya biashara. Connections ziko nyingi sana aisee. Sema pia hizi shule za single sex daah, ulesbian upoo. Kama ya o level roomate alikua ndo mbanga zake. Sasa hv ameolewa yule dada. Walikua wanalala kitanda cha juu aisee. Niliwawashia moto balaa. Alikua na lidada lake la shule la form four amekaukiana kama mwanaume. Anakuja lala nae. Usiku unasikia watu wanaugulia. Aisee hapana. Yaan kila jambo lina hasara na faida.
Yeye alikuwa form ngapi? Yeye ndo alikuwa anasaga ama anasagwa
I doubt nyie jamaa kama kweli mlipeleka watoto wenu kwenye hizo English Medium schools to begin with!

I really doubt

Maana huyo mjinga kaongea kitu na wewe umeshabikia as if ni kweli!

Kizazi changu tulisoma Kayumba kama wewe!

English medium schools zote,IB framework ,engagement ya mzazi na homework za watoto ni LAZIMA on the daily basis tofauti na nilipokua Kayumba mimi binafsi

Kayumba hazina homeworks nyingi kama English Medium,wote tumepita Kayumba tunalijua hili...Homeworks ilikua ni nadra

Kayumba mzazi analazimishwa kumfundisha mtoto kwa framework ipi maana hakunaga,ila English Medium kuna framework maalumu mtoto na mzazi kwa lazima ni lazima mfanye homework pamoja kila siku na kuna fomu mzazi unasaini sehemu yako na mtoto anarudi nayo shule asubuhi mnasahihishwa

Kayumba tulizosoma sisi kuna framework za namna hii za kumlazimisha mzazi kumsaidia mtoto kwa lazima kimfumo?

HAKUNA

Ahaa so unalipa mamilioni ili mtoto wako.akakaririshwe sio?
 
Back
Top Bottom