Muache afanye huo upuuzi, atakuta yeye ndo anashikishwa ukuta lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa akihama au ukimfanyia hivyo umeokoa nini? Ataenda kwa mwanaume mwingine na mwingine na mwingine. Hapo kosa lipo kwa Mke kama ni Malaya ni Malaya tu.
Ni tabia akiamua kuiacha bas lakini huwezi kumfuatilia kila Mwanaume wake, huna shughuli zingine za muhimu za kufanya?
mfano mungu angeweka PIN code kwenye mbususu ya kila mwanamke.kila mwanaume anapewa namba ya Siri ya mbususu ya mke wake.na PIN zisingeingiliana .
pale kwenye mbususu kwa juu kunakuw na sehem ya kujaza pin code,ukimaliza tuu inafunguka unajilia vyombo ukimaliza inajilock.nadhan usalit ungepungua kwa Kias kikubwa.
mfano mungu angeweka PIN code kwenye mbususu ya kila mwanamke.kila mwanaume anapewa namba ya Siri ya mbususu ya mke wake.na PIN zisingeingiliana .
pale kwenye mbususu kwa juu kunakuw na sehem ya kujaza pin code,ukimaliza tuu inafunguka unajilia vyombo ukimaliza inajilock.nadhan usalit ungepungua kwa Kias kikubwa.
Sasa huyo mwanaume ndo kaona huyo mwanamke anafaa kutimiza nae jadi ya kuchepuka lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanawake wasio wake za watu. Kwani hawapo?
Ndoa ipoPole ndugu hapo hakuna ndoa, kimeo hicho tafuta fedha walee watoto usikimbile kuoa kaa tulia tunza watoto jijenge upya
Mwanzo tulisogezana tu,ila sasa ndio ndoa kabisaSiombi initokee, ila ikitokea nimeachana na mke...
Sitaoa mwanamke mwingine....
Nitajipanga kivingine, nifurahie sehemu ya maisha iliyobaki hapa duniani..
Mke wa kwanza ni mke wa kwanza tu...hawezi kufanana na mwanamke mwingine atakayefuata..
DahMimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...[emoji3][emoji3][emoji3], Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
Sasa asiende jamani?Kaenda kazini?
Huyo konki ..
Sera ni kuwaHapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...
Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!
Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Ni kweli usemalo, lakini ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanamke akimfumania mume, mwanamke humpiga mwanamke mwenzie? Je, ulishajiuliza kwa nini mwanaume akimfumania
Mwanaume kuhofia watoto ni uboya mwengine kwanza huenda sio wako pili hujaenda wewe leba.Ukweli ndoo huo haya maswala ya kisema sijui watoto ndo yanatuua wanaume.kwani yeye wakati anachepuka hakuona watoto ujinga huo
Dah *****...ila nini maamuzi haya yanahitaji ushauri mkubwa....nilichojifunza kwenye ndoa mzee sana hizi za kikristo..inafikia kipindi unakua na mtu sio kwakua mapenzi..hayo huwa yanaisha...kikubwa ni malengo ambayo nyie wawili mngekua nayo...kuacha fasta fasta sio jibuNawewe mtolee simu yako password sasa
View attachment 1800950
anaujua mpaka mchepuko wako?!!!
Wewe nawe una ghubu na hila
Wewe si unamchepuko
Shida yako ninj mkeo nae akichepuka????
Hapo ni wewe chuku astyle mpya nje na yeye aje na style mpya mnogeshe penzi lenu
Nachofatilia sana as if wewe Huna mchepuko ni nini?
Kwani huyo jamaa kaacha alama au kaondoka nayo???
hii ni hatari sana kwa afya ya ndoa.Ndio anamuhis but nilimkatalia sio sina mchepuko but uhalisia alio nitajia mmoja ndio wengine sikufanikiwa kula