Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Achana nae tu ndg maana ukweli ni kwamba una uhakika ameliwa hiyo kitu itakuhunt maisha
Hutakuwa na hisia nae tena maana kila ukitaka kumtia unawaza jamaa nae katia so ham inaisha

Trust me wanawake wanaweza samehe cheating ila sisi wanaume hatuwe sababu inaishi kwenye mioyo yetu
 
pole sana mkuu , nimefatilia tokea jana na nimeona sasa na mimi angalau nikushauri kitu , nimejaribu kupitia comment almost zote na kila mtu kwa utashi wake na uzoefu amejaribu kukushauri .
mimi kwa upande wangu niseme tu wote mna makosa , wote mmekiuka viapo vya ndoa yenu hakuna mwenye haki ya kumhukumu mwenzake ilihali kila mtu ni mchafu mtenda dhambi mbele za mungu ,kiufupi ndoa yenu inanuka dhambi ya usaliti .
Pili ukisikia moja ya changamoto nyingi za ndoa, usaliti ni moja ya changamoto hizo , na kama kila aliekuwepo kwenye ndoa changamoto kama hii ikitokea suluhisho nikuachana basi dunia hii ingekuwa na mabachelor wengi na masingle mother wengi na pili watoto wangeumia zaidi .

Ushauri wangu kwako japo sio lazima kuufata , kwanza kabisa mheshimiwa kubali wewe ni mtenda dhambi , uliisaliti ndoa yako kabla hata ya hujagundua mkeo anachepuka hivyo basi hebu jichunguze wewe mwenyewe kama bado unajihisi wewe ni msafi na mkeo ni mchafu zaidi basi uamuzi unao .
sijui wewe ni dini gani , lakini ninachoamini hakuna dini inayokumbatia dhambi ikiwemo usaliti , iwe kwa mwanaume au kwa mwanamke kwa hio unapaswa kutubu .
Mwisho kabisa huyo ni mkeo bado na kama nilivyosema wote mna makosa kaeni chini kwa interest zenu ( kama mnapendana ) na za watoto kisha jadilianeni , mwisho kila mtu amsamehe mwenzake na muanze upya .
Lakini pia kama mmeshindwa kukubaliana , mnaweza jipeni muda , kila mtu ajitafakari , kwenda kwa mchepuko na kujipoza sio suluhisho la kudumu.
suluhisho ni kubaki njia kuu
 
Namshangaa mleta mada. Yeye hana usafi wowote. Kakiri mwenyewe anachepuka vizuri sana. Mke kachepuka anaumia, anapata na ujasiri wa kumpiga ngumi za uso. Kisa cha kupiga mtoto ngumi za uso ni nini. Kwa usafi gani ulionao. Huo ni unafiki mkubwa hata Mungu anakushangaa. Yaani kwa sababu wewe ni mwanaume basi kuchepuka ni haki yako? Sijui wewe dini gani. Katika Mithali kuna mstari unaosema mwanaume azinie na mwanamke hana akili.

Mke kakosa ila unamhukumu weee! wakati wewe mwenyewe mzinzi.

Sasa ukapiga chini mke wako ukaenda anza moja una uhakika gani na utakaekuwa nae ni wa kwako peke yako. What if ikawa worse.

Ushauri, Tubu dhambi yako ya uzinzi, tubu kwa ajili ya mke wako. Ombea familia. Ongea na mke wako. Sameheaneni. Maisha yaendelee.

Kila la heri.
Namshangaa mleta mada. Yeye hana usafi wowote. Kakiri mwenyewe anachepuka vizuri sana. Mke kachepuka anaumia, anapata na ujasiri wa kumpiga ngumi za uso. Kisa cha kupiga mtoto ngumi za uso ni nini. Kwa usafi gani ulionao. Huo ni unafiki mkubwa hata Mungu anakushangaa. Yaani kwa sababu wewe ni mwanaume basi kuchepuka ni haki yako? Sijui wewe dini gani. Katika Mithali kuna mstari unaosema mwanaume azinie na mwanamke hana akili.

Mke kakosa ila unamhukumu weee! wakati wewe mwenyewe mzinzi.

Sasa ukapiga chini mke wako ukaenda anza moja una uhakika gani na utakaekuwa nae ni wa kwako peke yako. What if ikawa worse.

Ushauri, Tubu dhambi yako ya uzinzi, tubu kwa ajili ya mke wako. Ombea familia. Ongea na mke wako. Sameheaneni. Maisha yaendelee.

Kila la heri.
Wapi amesema ni haki yake?hii adhabu ya kuacha inawahusu wote kwa sababu wote ni wa zinzi na wameshtukiana ni bora waachane kosa liko wapi?
 
Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.

1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...

nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi
Wako ushamfuma mara ngapi mkuu
Huenda na watoto sio wake mkuu kama wanaliwa sana.
Ni bora waachane kila mmoja aende kwa mchepuko wake hakuna atakaemfurahia mwenzie hapo
 
Hakika ndugu 99.99% tena matukio ya dharau. Ilinitokea 2016 nikatemana nae kwa shida sana....mpaka leo huwa ananikumbuka mana bado hajaolewa mimi nishaoa tayari
Dah bora ulijikaza maana mpaka demu anaenda kutiwa na bado unamng’ang’ania jua tu kuwa atakuona boya wa mwisho! Hilo kosa halina msalia mtume yani
 
una uhakika ameliwa hiyo kitu itakuhunt maisha
Hutakuwa na hisia nae tena maana kila ukitaka kumtia unawaza jamaa nae katia so ham inaisha

Trust me wanawake wanaweza samehe cheating ila sisi wanaume hatuwe sababu inaishi kwenye mioyo yetu

Hii assumption ya kwamba ukigundua mwanamke ameliwa wewe hutakua na hisia nae mi hua naona haina uhalisia wowote, ni jinsi tu unavyoi-tune akili yako, unless kama huyo mwanamke ulimkuta bikra.

Mfano: Kabla hujamuoa huyo mwanamke, si alishakua na wanaume wengine? Tena ukute wakati unaanza kumtongoza alikuambia kabisa ana mtu wake wewe ukakomaa kubembeleza mpaka ukampata. Pengine ulianza kumla hata kabla hajaachana na mtu wake huku ukijua kabisa jamaa nae anamega.....! Mbona hukupoteza hisia ilihali ulijua kabisa ameshaliwa?

Mbona wanaume tunachepuka na wake za watu /mademu za watu ambao tunajua kabisa jioni akirudi home jamaa nae anamega? Mbona hisia zinakuepo kali tu na shoo za uhakika tunapiga?

Wanaume tunasamehe vizuri kabisa na maisha yanaendelea
 
Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.

1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...

nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi
Wako ushamfuma mara ngapi mkuu
Huenda na watoto sio wake mkuu kama wanaliwa sana.
Ni bora waachane kila mmoja aende kwa mchepuko wake hakuna atakaemfurahia mwenzie
Inauma ee!Treat others the way you would like to be treated(kantian's law of reciprocity) wewe kuchepuka unaona sawa ila mwenzio siku moja ushapanga na talaka
Wajuaje huenda hata yeye angemfuma angeomba talaka hapo ni nani kamuwahi mwenzie
hapo
 
Ulichosahau kuelezea ni kwamba mwanaume mzinzi pia anamsababishia mkewe saratani ya shingo la kizazi (sio saratani ya kizazi kama ulivyoeleza); Kwa sababu anabeba hivyo virusi vinavyosababisha saratani hiyo kutoka kwa wanawake anaowagonga nje huko na kuvipeleka kwa mkewe.
Hivyo basi, hata mwanamke ambae ana mwanaume anaekitembeza nje kwa wanawake mbalimbali, anakua pia kwenye hatari ya kupata hiyo saratani kutokana na tabia za mumewe. Kama ambavyo umeeleza vizuri kabisa kuwa wanaume ni wabebaji "carriers" wa hivyo virusi. Kwa hiyo gharama iko pale pale, hakuna unafuu mkuu.
JABALI LA KARNE
Upo sahihi kabisa.
 
pole sana mkuu , nimefatilia tokea jana na nimeona sasa na mimi angalau nikushauri kitu , nimejaribu kupitia comment almost zote na kila mtu kwa utashi wake na uzoefu amejaribu kukushauri .
mimi kwa upande wangu niseme tu wote mna makosa , wote mmekiuka viapo vya ndoa yenu hakuna mwenye haki ya kumhukumu mwenzake ilihali kila mtu ni mchafu mtenda dhambi mbele za mungu ,kiufupi ndoa yenu inanuka dhambi ya usaliti .
Pili ukisikia moja ya changamoto nyingi za ndoa, usaliti ni moja ya changamoto hizo , na kama kila aliekuwepo kwenye ndoa changamoto kama hii ikitokea suluhisho nikuachana basi dunia hii ingekuwa na mabachelor wengi na masingle mother wengi na pili watoto wangeumia zaidi .

Ushauri wangu kwako japo sio lazima kuufata , kwanza kabisa mheshimiwa kubali wewe ni mtenda dhambi , uliisaliti ndoa yako kabla hata ya hujagundua mkeo anachepuka hivyo basi hebu jichunguze wewe mwenyewe kama bado unajihisi wewe ni msafi na mkeo ni mchafu zaidi basi uamuzi unao .
sijui wewe ni dini gani , lakini ninachoamini hakuna dini inayokumbatia dhambi ikiwemo usaliti , iwe kwa mwanaume au kwa mwanamke kwa hio unapaswa kutubu .
Mwisho kabisa huyo ni mkeo bado na kama nilivyosema wote mna makosa kaeni chini kwa interest zenu ( kama mnapendana ) na za watoto kisha jadilianeni , mwisho kila mtu amsamehe mwenzake na muanze upya .
Lakini pia kama mmeshindwa kukubaliana , mnaweza jipeni muda , kila mtu ajitafakari , kwenda kwa mchepuko na kujipoza sio suluhisho la kudumu.
suluhisho ni kubaki njia kuu

Shukrana mkuu ulio sema ni kweli kabisa mkuu na kwa asilimi 100% ntakuwa nimechangia yeye kunisaliti pia
Nakumbuka wakati tumeanza mahusiano nilimpenda sana na mda wote tulikuwa wote hata show nilikuwa nafanya hata mara 5 kwa siku ni mda wote tu kufanya na ndio maana hata watoto wetu wamepatikana mapema sna

Ila baada ya kuwa na mtoto wa pili sikuwa na ham nae sna na show ni mara mojamoja tu kwa week hata mara moja na zile msg na kuchat marakwamara sikuwa namtumia na nikiona msg yake napotezea mpka iwe ya muhim

Kiufupi ndani kuanzia 2020 hakuwa na mvuto tena kwangu tulishi tu kawaida ila sio romantic km zaman mpka sometimes ananiuliza mbona namfanyia hivo but sikujali

Kuna mdada kazin kwetu ni mpya kwny kaz na ni mdogo ndio alinivutia so mapenz yangu nikahamishia kwa mchepuko kwahiyo

huyo jamaa alie chepuka nae jana nakumbuka since mwaka jana niliona msg yake lkn sikuzingatia kabisa nikajisemea tu sasa hiv analea huyu nan anaweza kumtaka kiufupi alikuwa bize na watoto ukiangalia wamefatana

Sasa jana ilivyo tokea ndio nakumbuka huyu mtu hakuanza juz na wife kumsifia ni km alikuwa akimpa faraja yale mambo nilio kuwa nikiyafanya kwa wife jamaa ndio alichukua nafas

Nimewaza mambo mengi sana why kitu kama hiki kimetokea kulingana na heshima yangu kwny jamii na watu wanavyotuona tunavyofurahia maisha na wife na watoto wetu kila mtu atatamani kuiga

But wife amekuja kuliwa na kijana mshinda gym tu na na kuvuta bangi.
 
Hii assumption ya kwamba ukigundua mwanamke ameliwa wewe hutakua na hisia nae mi hua naona haina uhalisia wowote, ni jinsi tu unavyoi-tune akili yako, unless kama huyo mwanamke ulimkuta bikra.

Mfano: Kabla hujamuoa huyo mwanamke, si alishakua na wanaume wengine? Tena ukute wakati unaanza kumtongoza alikuambia kabisa ana mtu wake wewe ukakomaa kubembeleza mpaka ukampata. Pengine ulianza kumla hata kabla hajaachana na mtu wake huku ukijua kabisa jamaa nae anamega.....! Mbona hukupoteza hisia ilihali ulijua kabisa ameshaliwa?

Mbona wanaume tunachepuka na wake za watu /mademu za watu ambao tunajua kabisa jioni akirudi home jamaa nae anamega? Mbona hisia zinakuepo kali tu na shoo za uhakika tunapiga?

Wanaume tunasamehe vizuri kabisa na maisha yanaendelea
Mkataba wa hawara sio sawa na wa mke! Functional relationship iko namna hii:

Hawara= One to many function!
Mke= One to One function!

Hawara mmoja anaweza kukazwa na watu zaidi ya mmoja!

Mke anatakiwa akazwe na mtu mmoja tu ambae ni mumewe! Kinyume na hapo mkataba wa ndoa umevunjika tayari
 
Back
Top Bottom