Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Dah nakuona unavyohamia kwa mchepuko leo jioni.
Mtu yeyote mchepukaji adhabu yake ni taraka awe mwanamke awe mwanaume.

Sasa mleta mada wewe mchepuko wako neema unaona ni sawa ila yeye kwa Livingstone sio sawa.life is not fair.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan ni ajabu San kwa kweli lol.
 
Hebu tulia huko muendeleze ndoa yenu, kiherehere chako cha kurudi bila taarifa tena baada ya maujinga yako kubuma ndio kimekuponza.
Anashangaza sana huyu kwa kweli, khaaaah
 
Ndio tumelala kitanda Kimoja sikuwa na hamu wala hisia nae na yy alikuwa akilia tu mara nyingi kuomba nimsamehe huku akisistiza yote nimesababisha mimi na hawez kunisaliti

kuhusu msg nilizoona kasema nikweli walitumiana na hata picha pia lakin hajawahi kumfanya sex nae na aliomba nimwangalie km kabadilika chochote huko chin,
Ukiangalia evidence na planning yote ni ngum sna kusema jamaa kamwacha hata chupi alio vaa jana

Nilinunua mimi ni mpya zile huwa hazivai marakwamara lakin jana alivaa , kweli mwizi hataakamatwe na kitu bado atabisha tu, kwahiyo dizain km mimi ndio nakosa tena.
Wee jamaa upo vizuri sanaaa kwenye hili jambo nakupongeza


Usiamini kilio cha mwanamke kusema tu wewe ndo chanzo ni ushahidi tosha kama kalipiza dah
 
Mke kuliwa inauma sna hata mtaani wakijua ni aibu kubwa tofaut na mimi na huyo mchepuko
Na mme kuchepuka inauma ukiwaza sasa hivi mme yupo kwa mchepuko akimuita majina yote. Mbaya zaidi unakuta na matumizi kwa mke yamepungua. Ndugu mleta mada maumivu,ni maumivu tu hakuna cha mme wala mke.

Mfano. Pale mwanamke akijua unachepuka haya ndio yanayojitokeza.

1: lazima apunguze kukupenda
2: lazima apunguze kukupa priority
3: mkilala hisia hapati tena maana anajua kuna unae mpenda zaidi yake.
4: kwenye maadalizi ya sex hawezi kukuandaa tena maana anajua wewe ni mchafu unayoa kule unachomeka kwake.
5: hata asipopika vizuri anajua utakula kwa mchepuko wako.

Sitetei umalaya wa mkeo ila wewe ndo chanzo. Yaani una mchepuko hadi mkeo anajua? Hii ni dhalau.

Kuna kaka mmoja alinambia kuwa yeye ana mchepuko zaidi ta 4yrs lakini mke wake hajui chochote.

Je imekuwaje mkeo anajua mchepuko wako?
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Huyo mwanamke ni pomole, zwazwa, kuku, jinga sana.
Mwanamke mwenye akili hawezi kuchepuka wakati hana uhakika na alipo mumewe.
 
Ndio shida ya vijana wa leo. Mnaanzisha mahusiano ya ngono bila kujitengenezea sheria zetu (KATIBA YA MAHUSIANO YENU).

Kwamba hamjui miiko, wajibu na majukumu. Kiasi kwamba mambo yakienda harijojo hamjui mfanyeje.

Mtaumia na kuumizana kila uchao. Jitengenezeeni utaratibu wa "kanuni na taratibu" za mahusiano yenu ya ngono. Mtafurahi!
Utaratibu huo ni upi? Naomba muongozo.
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
True Lies!
 
Utaratibu huo ni upi? Naomba muongozo.
Yaani mtu anaanza kuishi na mtu mwingine waliyekutana wakati wote vitovu vimekauka. Halafu haina kupeana miiko, kanuni na taratibu za mahusiano yao ya ngono?

Hilo ni tatizo kubwa mno.
 
Mke wangu alipiga simu sikusikia miss call 10+ alitaka ajue narudi au vipi nikarudi kimya kimya tu sikumkuta home SAA 5:30 usiku na aliporud akuamini apo nyuma nilishaanza muhisi vibaya alikataa sana Sikh iyo nikamshka vizur sana na alipoingia ndan akachukua ndoo aelekee bafuni nikamzuia aisee hatari sana siku moja nta eleza huu mkasa
Eleza IBRA wa PILI mkasa huo maana mikasa yako inafundisha, liza umeshamtafutia kazi?[emoji3][emoji3]
 
Mpe likizo ya miaka 2 na ww upate kutuliza akili yako utapata nyenzo ya kulitatua tatizo lako hilo
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Ningemf**la jamaa vibaya Sana mpaka anye
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Ningemf**la jamaa vibaya Sana mpaka anye
 
Usimuache mkeo ndugu yangu , kwa uliyoyasema inaonesha kweli kabisa tatizo lilianzia kwako , japo bado haikuwa sababu ya mwanamke. kuchepuka .

Pili inaonesha huyo living sijui nani , alikuwa akimsumbua mkeo kwa muda mrefu na huwenda Mkeo alikuwa akijitahidi kumkwepa , lakini hicho ndio kipindi ambacho na wewe haukumtamini , na kumuona wa kawaida .

Hivyo huenda kwa sasa una hasora bado , jope muda hasira zishuke then kaeni muongee Amini nakwambia kama wote mtakubali makosa yenu na kujirekebisha na mkasameheana hakika mtakuwa na furaha na ndoa yenu huenda zaidi ya ilivyokuwa mwanzo .

mngekuwa wapenzi tu ningekushauri vingine , lakini kwasababu mnawatoto na mpo kwenye ndoa hilo ni swala la kuvumiliana changamoto zenu , ukimuacha atakae athirika sio watoto tu hata wewe pia .

Mwisho kwa vijana kama livingstone ambao hamheshimu ndoa za watu , nyie ni wakupigwa mawe mpaka mfe .
NIKUTAKIE MAISHA MEMA

Asante
 
Evidence zipo clear kabisa wala huhitaji intervention ya VAR ila bado unayumba na kuja kuuliza huku? Hapo options ni:

1) Kumsamehe (kwa kuwa na wewe ni mchepukaji mzuri tu) ila uishi nae ukijua milele kuna masela wanamega kilaini tu when they feel like doing it
2) Kumpiga chini na kila mtu aendelee na maisha yake huku ukimsupport matumizi ya malezi ya watoto

Maamuzi kwenye eneo la kumegewa tunda ni binafsi sana na wala usisikilize any third party. Personally nisingepepesa macho na option #2 ingekuwa triggered with immediate effect.
 
Back
Top Bottom