Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Dah mkuu pole inauma sana,
Maana jana nilichelewa kulala kusubili kujua shemeji yutu tarudi saangapi. ilakusema suala la kuto kuzini na wake za watu sio kigezo cha kuziniwa mkeo.
Hapo wewe umesimama kama mzinifu ndio maana nawewe umeziniwa mkuu.
Kama unamuacha mkeo basi nawewe unatakiwa kuacha kutafuna wapenzi wa watu maana nawao wanataka kuwaoa lakini wewe unawavurugia.
Mkuu Mimi sijaoa lakini demu wangu nikijua kanisaliti tu napiga chini siwezi kumvumia kabisa.
Kutafuniwa inauma asikwambie mtu
Kama umeamua kumuacha naunga mkono Hoja kwa 100β„….
 
Inashangaza sana ila mkeo ni amezingua yani hakutakiwa kusaliti japo ulimtenga makusudi ni kitu kibaya sana ulifanya ila haiku justify uhuni wa kwenda kuliwa
Jamani kumbuka ke ni kiumbe dhaifu mno wanadanganyika kwa vitu vidogo mfano wewe unaweza hata siku moja baada ya ndoa hujawahi kumwambia tena alivomzuri na jinsi uzuri wake haukinai,hujawahi kumwambia kapendeza,au kummis hata kama ni uongo,hujawahi kumnunulia gauni kama ulivokuwa ukifanya hapo nyuma yaani unampa hela akajinunulie atajua mwenyewe (ila kipindi cha uchumba ulikuwa wa moto) ko unabaki kusema hayo yalikuwa mambo ya zamani (tena sa hivi amekuwa mama watano)kumbe wajuba kutwa wanamsifia alivo mzuri,sasa mwanamke anafanyeje kama siyo kuchukuliwa kirahisi,kiufupi wanaume wanashindwa vitu vidogo vidogo ndo maana play boys wanawawin sana wanawake
 
Tena aje hapa tumsunte yaaani anaona sawa yeye anachofanya ila mwenzie inamuuma
 
Kumbe na wewe unayo mchepuko??? Sasa si usamehe tu, sasa unahukumuje wakati wewe pia unachepukaga??
Kuchepuka ni kuchepuka tu regardless ni nani umechepuka naye
 
Una makosa na rekebisha msameheane
Kwanini unataka amsamehe wakati hata yeye ni mkosaji?
Kwa nini wasianze upya kila mtu kivyake?


Mbaya zaidi vijana wakijua ni mke wa mtu tu lazima wafumue rindaaa dah
 
Kwanini unataka amsamehe wakati hata yeye ni mkosaji?
Kwa nini wasianze upya kila mtu kivyake?


Mbaya zaidi vijana wakijua ni mke wa mtu tu lazima wafumue rindaaa dah
Ndio wasameheane wote
 
Huu ushauri mzuri, bila shaka mhusika ataufuata
 
Tatizo mkeo Ni kiburi, kwa vile we nae Ni msaliti angejishusha akakiri makosa yake ulivyo mtaratibu ungemsamehe ila kajitia jeuri sasa maana yake hatoacha kuchepuka,,

Kama Ni chai utajijua mwenyewe
 
Kweli ni jabali ushauli bora kabisa kazi kwake malaya habadiliki
 
Ngoma droo hiyo kaka sema mtese kipsychoLogy usilizungumzie tena kama kwamba hakuna kilichotokea atakuomba msamaha au yeye Ndio atasepa.Wote mmekutana wasaliti
 
Mtenda akitendewa hujihisi kaonewa, we utombe tu nje, sasa yamekukuta ya kutombewa unakuja kulia lia hapa..

Kuwa mpole mkuu,

Unapotaka kufanya jambo jiweke wewe katika nafasi ya mfanyiwa,ukiona inaumiza usitende.. Ni kweli hatujakamilika, tunakosea saana, ila kitu kibaya zaidi kwako ile thread ya kwanza ulionesha wewe kuchepuka ni jambo la kawaida kwako na huhisi kama unamkosea mwenzio ni kama vile haki yako.

Kisa.
Mtu mmoja alimfata mtume(s.a.w) akiomba apewe nafasi azini sababu, kichupa kishajaa, akaulizwa vipi wew ukikuta dada, mke, mama, hata shemejio akiziniwa akapanic na kujitia anaweza mkata mtu kichwa, akaambiwa jitulize sasa, huyo unaetaka kwendakumzini ni aidha mke wa mtu, dada(mdogo) wa mtu ama ni mama yake mtu..
Mchizi ikabidi awe mpole.

Mnajua kwanini adhabu ya mzinifu aliyeoa na asiyeoa duniani ni tofauti.. Nyie mliooa mnajiendekeza saana, utakuta una mke mzuri lakini unaendekeza tamaa.. Ofcz tamaa tumeumbiwa, ila ni mtihani kwetu inabidi tuzishinde tu kwa kila hali, moja wapo ndio hiyo kuoa, na nyinginezo.

Yote kwa yote, zinaa mbaya..

Pole ndugu yangu, majanga kama hayo yapo, hapo ni ww kuamua kusuka au kunyoa..
 
Umenena ukweli japo najua kuna wapumbavu flan tutakupinga
 
Pole sana kaka,Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu..Japo sijaoa but I feel your pain,pole sana
 
Msamehe ila msisitize asirudie tena ila hapo tatizo ni wewe kumbe ulikuwa na manzi ujue pia yeye aliumia roho ya kulipiza ikamuingia kama shetani alikuingia wewe kwanza sasa cha kufanya muende kanisani muwe watu wa ibada badili maisha yako kbsa yawe ya dua na sala hilo pepo litaondoka kbsa mapenzi yanauma sana kwenye usaliti si mke wala si.mume kumbukq ulianza wewe usaliti....maombi baba sala na dua halafu samehe kbsa mbona mtaisi vizuri kumbuka kutafuta mwingine unaibua tatzo kubwa zaidi kuliko unavyofikiri utaanza kuwa na watoto wasiopendana maana hawana mama mmoja yani vita hiyo usiombe ikupate bwana weee rudi kwa mkeo kanisani kuna majibu ya ndoa .
 
Braza pole hata hao watoto usikute sio wako..ni ngumu lakini hakuna namna chukua hatua
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we fala umenifanya nicheke kiboya sana japo inauma mno mwamba alivofanyiwa na mke wake aisee, najaribu kukivaa viatu vyake vinanipwaya aisee
Hana haki ya kulalamika maana na yeye mzinzi. Malipo ni hapa hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…