Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku


KizaZ cha nyoka hichi
 

Bi Faiza sijatunga hiki kisa sina huo mda wa kutunga stori nilicho eleza hapa ni cha kweli kabisa Allah ananiona mimi mwislam.
 
Acha mikwara ya kwenye batani za simu.. Na kama umewahi kumpga mikwara hyo mwanaume live basi ni wale wanaume ambao ili akigegede lazma umtie kidole kwanza..

Lakn nakusihi usije ukajichanganya utajikuta unaishi bila meno au unapata kilema ukubwani.. Chunga sana
 
Pole sana mkuu...

Nime quote hapo kwenye hoja zake hiyo nambari mbili ....

"

Mkuki mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu.... "
Hapo hapo nikitaka kuandika yaani mwanamme ana haki kuchepuka lkn mwananke hana haki kuchepuka ndio dini yetu Kiislamu umeruhusiwa kuoa hawa 4 hili ni kosa kubwa linalofanywa na wanaume wenzetu kujikimilisha haki ya kuchepuka kama unachofanya wewe na wewe utafanyiwa .Hilo ni kosa la mwanzo angalia watoto wako na kuna mengi mmefanya pamoja mm nakuomba usimuache na itakuwa adabu kwake hatafanya tena katika maisha yake ,yy sasa atakacho kifanya ni kurejesha trust kwako atabadilika vibaya mno kurejesha penzi lake kwako ,lakini inataka moyo sana .Mungu akusaidie Watoto ni baba na mama ikiwa unataka watoto wako wakue vizuri kama ni muislamu kaoe mke mwengine lkn usimuache.
 
Hivi wanaume kwnn huogopa sana kugongewa wake zao mwanaume bora umfilisi atakusamehe ila sio dhambi ya kumlala mkewe...lkn upande mwingine wanat...mbana huko nje vya kutosha mpaka p..mbu zinaomba poo ila wao wakigongewa ni kesi hasa mke why?sababu nini hasa?
 
Sikuwa na uvumilivu wa kiasi hicho nilitaka nimjuze kuwa ni mnafiki na nimemtambua na ndio ukawa mwisho! Alitumia uongo kufanikisha hilo ila still nilikuwa na machale zaidi nikagundua mpango muovu na kumfumania
Ungesubiri waanze kabisa ili ujifunze ulikuwa unakosea wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nacheka mno! Ndio ukajifunza ukauzu sasa.
Hamna kitu utaniambia kuhusu mwanamke! Nina uzoefu nao wa ndani sana kuanzia psychology yao na vitimbi vyote. Wala huwezi nidanganya au kunifanyia usanii ntakuangalia tu ila naijua akili yako
 
Mke kutombwa nje haikubaliki duniani mpaka mbinguni. Hivi unalielezaje hilo mkeo awe anatiwa mtaa mzima unajua wewe kama dume rijali unajisikiaje? Iwe kwa bahati mbaya au makusudi
 
Mimi niko kwenye ndoa mwaka wa 11 sasa. Ndoa zinazingua najua. Japo umeingilia maamuzi ya wajumbe tayari kwa kuwaambia busara inabidi itumike,sijui umefanya nae mambo mengi. Ktk hilo tayari una maamuzi yako. Ila kimsingi kosa la kucheat kwa mwanamke halisameheki. Na hapo trip zako za mkoani utaliwa sana mkeo na kama una watoto nae,endelea tu kuwalea ksbb kitanda hakizai haramu.Vinginevyo amua kuyazoea. Kabisa hapo mke huna
 
Yaani wanawake waliobarikkwa tako na sura utawajua tuu. Full konfidensi. Nimeipenda hii
 
Nyie wanawake mnajiona mna haki ya kuchepuka tu au sio
 
Tatizo mkeo Ni kiburi, kwa vile we nae Ni msaliti angejishusha akakiri makosa yake ulivyo mtaratibu ungemsamehe ila kajitia jeuri sasa maana yake hatoacha kuchepuka,,

Kama Ni chai utajijua mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa mkuu, ila haibadili ukweli kuwa mke wa jamaa kabanjuliwa na wahuni, na jamaa ana maumivu ya kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utamfanya jamaa afe kwa stress wallah, mweeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…