We unavokua juu ya kiuno kingine huaga unaona huruma? Tena mkeo mstaarab mimi nikigundua unacheat sikai kimya nakwambia kabisaaa nimejua na nalipiza tena mchana wa saa saba, na ukitaka tuachane fresh tu kafie mbele ya safari kwanza hasira yangu huaga haiishi hadi nilipize sasa kuliko nikufunike na mito usiku bora nikapate raha za dunia huko.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ingawa kwa kisa hicho ni kweli mke ainaweza kuwa kafanya dhambi kubwa ya uzinifu lakini binafasi naona kama kisa tu cha kutunga.
Kwa maana hiyo, kwa mapungufu yoyote ya mkeo inabidi kwanza ujitazame wewe una mapungufu yepi katika kuishi nae.
Kwanza tujulishe huyo ni mkeo wa ndoa au ni mke wa kukubaliana wenyewe tu na hamkufunga ndoa aina yoyote ile, iwe ya kidini au kiserikali?
Ulimtomasa tu! Yaani umempiga kibao na akaamka kwenda kazini?
Acha mikwara ya kwenye batani za simu.. Na kama umewahi kumpga mikwara hyo mwanaume live basi ni wale wanaume ambao ili akigegede lazma umtie kidole kwanza..Je wewe acha kutishia umma ingekuwa mimi unipige kudadadeki ningekufanyia maigizo ya kichina na kimeru na kiniger ningekufumua mpaka hicho kichaa kiishe shuwaini huyo mam anatakiwa akupeleke ustawi wakamii.
Wewe ni ngumi kabisa ,makofi seriously makofi ya mwanaume unayajua?
Wewe mwanamume ni muuwaji.
Kidudu mtu mkeo ameona unapenda Ksana .
Eti wanavuta bangi unatofauti gani na hao.
Unampiga mkeo .
Ex wangu alikuwa akijua unachepuka anakuita siku mko free mnakunjana mpaka ukisema umechoka anakuuliza huko hukuchoka acha hizo nataka usirudie tena.
Hapo hapo nikitaka kuandika yaani mwanamme ana haki kuchepuka lkn mwananke hana haki kuchepuka ndio dini yetu Kiislamu umeruhusiwa kuoa hawa 4 hili ni kosa kubwa linalofanywa na wanaume wenzetu kujikimilisha haki ya kuchepuka kama unachofanya wewe na wewe utafanyiwa .Hilo ni kosa la mwanzo angalia watoto wako na kuna mengi mmefanya pamoja mm nakuomba usimuache na itakuwa adabu kwake hatafanya tena katika maisha yake ,yy sasa atakacho kifanya ni kurejesha trust kwako atabadilika vibaya mno kurejesha penzi lake kwako ,lakini inataka moyo sana .Mungu akusaidie Watoto ni baba na mama ikiwa unataka watoto wako wakue vizuri kama ni muislamu kaoe mke mwengine lkn usimuache.Pole sana mkuu...
Nime quote hapo kwenye hoja zake hiyo nambari mbili ....
"
Mkuki mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu.... "
Ungesubiri waanze kabisa ili ujifunze ulikuwa unakosea wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna kitu utaniambia kuhusu mwanamke! Nina uzoefu nao wa ndani sana kuanzia psychology yao na vitimbi vyote. Wala huwezi nidanganya au kunifanyia usanii ntakuangalia tu ila naijua akili yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka mno! Ndio ukajifunza ukauzu sasa.
Mke kutombwa nje haikubaliki duniani mpaka mbinguni. Hivi unalielezaje hilo mkeo awe anatiwa mtaa mzima unajua wewe kama dume rijali unajisikiaje? Iwe kwa bahati mbaya au makusudiHivi wanaume kwnn huogopa sana kugongewa wake zao mwanaume bora umfilisi atakusamehe ila sio dhambi ya kumlala mkewe...lkn upande mwingine wanat...mbana huko nje vya kutosha mpaka p..mbu zinaomba poo ila wao wakigongewa ni kesi hasa mke why?sababu nini hasa?
Alee watoto wa Livingston?Pole ndugu hapo hakuna ndoa, kimeo hicho tafuta fedha walee watoto usikimbile kuoa kaa tulia tunza watoto jijenge upya
Usiombe kukutwa na bwana pepsi kuna wanawake hawana akili
Yaani wanawake waliobarikkwa tako na sura utawajua tuu. Full konfidensi. Nimeipenda hiiJamii imemfanya mwanamke aone kuwa ndoa ndo kila kitu, ukiachika unadharaulika...ung'ang'ane hapo hata Kama unateseka .
Mimi nionekane tu na kiburi lkn hata kama tuna miaka 40 ya ndoa huyu wangu ananijua kuwa nitasepa akinizingua. Narudi kwetu na aibu sioni.
Kukiwa hakuna amani na yeye haitafuti hiyo amani nabeba virago afanye jitihada za kunirudisha.
Kuwaendekeza hawa viumbe unaweza dharaulika hadi basi.
Nyie wanawake mnajiona mna haki ya kuchepuka tu au sioIngawa kwa kisa hicho ni kweli mke ainaweza kuwa kafanya dhambi kubwa ya uzinifu lakini binafasi naona kama kisa tu cha kutunga.
Kwa maana hiyo, kwa mapungufu yoyote ya mkeo inabidi kwanza ujitazame wewe una mapungufu yepi katika kuishi nae.
Kwanza tujulishe huyo ni mkeo wa ndoa au ni mke wa kukubaliana wenyewe tu na hamkufunga ndoa aina yoyote ile, iwe ya kidini au kiserikali?
Na iwe hivyo.Kumbe na wewe unayo mchepuko??? Sasa si usamehe tu, sasa unahukumuje wakati wewe pia unachepukaga??
Kuchepuka ni kuchepuka tu regardless ni nani umechepuka naye
Ukimfukuza tunamsubiria huku,komaa nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo mkeo Ni kiburi, kwa vile we nae Ni msaliti angejishusha akakiri makosa yake ulivyo mtaratibu ungemsamehe ila kajitia jeuri sasa maana yake hatoacha kuchepuka,,
Kama Ni chai utajijua mwenyewe
Mchaga mie tako nitoe wapi😀Yaani wanawake waliobarikkwa tako na sura utawajua tuu. Full konfidensi. Nimeiownda hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utamfanya jamaa afe kwa stress wallah, mweeeehSawa mkuu, ila haibadili ukweli kuwa mke wa jamaa kabanjuliwa na wahuni, na jamaa ana maumivu ya kutosha