- Thread starter
- #601
We unavokua juu ya kiuno kingine huaga unaona huruma? Tena mkeo mstaarab mimi nikigundua unacheat sikai kimya nakwambia kabisaaa nimejua na nalipiza tena mchana wa saa saba, na ukitaka tuachane fresh tu kafie mbele ya safari kwanza hasira yangu huaga haiishi hadi nilipize sasa kuliko nikufunike na mito usiku bora nikapate raha za dunia huko.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
KizaZ cha nyoka hichi