Mungu hawezi kukuokoa kwenye maamuzi ya kijinga! We ushaambiwa mke haachwi isipokuwa kwa uzinifu we unadhani Mungu ni mwehu kusema hivyo?Tatizo la mwanamke umelisabisha wewe. Mkuu wewe unatabia ya kuchepuka yeye amegundua na amekufanyia hivyo hivyo. Yale usiyopendwa kufanyiwa na wewe usifanye. Dawa yake nyie wote acheni sameheaneni anzeni kufwata imani nendeni ibadani Mungu atawasaidia.
haya mambo magumu sana, tutawaungisha wauza dildo tu au sio ExtrovertKaka mm ndio namhudumia sawa,
Lakini Kama na yeye anajiweza Basi hapo kila mtu ashike ustaarabu wake
Mwanzo wa binadam.
Mfano simba hata liwe na majike yake kumi dume lingine liki salandia mmoja tu litapigana kufa.
Tuvumilieni jamani msitulipize mtatuua kabla hamjui vile tunaumia.
sasa kama mnazingua tufanyeje?Pagumu sana hapo
Tutatumia hata mkongo tusasa kama mnazingua tufanyeje?
Nipo mtu wangu tunapishana tu 🙈😅Word!
Mekumichiiiii! long time no see
Unaposema aliboreka kukaa peke yake,wakati mna watoto wawili unamaanisha nini?
Bible inasema "mume atamuacha mke sababu ya uzinzi"
Mchaga
Na tukiwajua kama hivi ni kuwatema tu na kuanza kuwala kwa mafungu mluvyo wwngi sasa ni kuweka foleni ya kuwatafuna.Dawa yenu kuwalipizia tu [emoji23] ili na nyie musikie vile huwa inauma. Ubaya mtendee wenzenu, mkitendewa nyie mnaumi[emoji848] hivi mnafikiri wenzenu wana moyo ya chuma [emoji848] nyie yenu ndo ya nyama
Nimeshangaa!
Dawa yenu kuwalipizia tu [emoji23] ili na nyie musikie vile huwa inauma. Ubaya mtendee wenzenu, mkitendewa nyie mnaumi[emoji848] hivi mnafikiri wenzenu wana moyo ya chuma [emoji848] nyie yenu ndo ya nyama
Wanaume oyeee it will come to a point mtazoea tu itakuwa ukimwaga mboga mwenzako anamwaga ugali....tunaelekea huko hakuna wa peke yako kama wewe mwenyewe ni wa wengi
Mkuu nakuamini kwa msimamo wako na utulivu wako wanawake ni maua yetu tusumbuke kwa ajili yao lakini si wao watusumbue.Watoto walisafir kwa bibi yao
Na tukiwajua kama hivi ni kuwatema tu na kuanza kuwala kwa mafungu mluvyo wwngi sasa ni kuweka foleni ya kuwatafuna.
Habali ya watoto alieaikia uchungu ndo anatakiwa awe na huruma nao.
No majukumu hapo ni kuwavua tu
Mna dhalilika sana kushindana hamjui tu.
Mwanamke ikidhibitika kaachwa na michepuko yake ina mtema ila mechepuko ya mume inagombania kuingia alipotoka mwenzao.
Hamjiulizi?
Malaya atagongwa tu ndo nikakuambia tutawapanga foleni mana mmejipanga kama nyama tunachagua tu leo nikale wa bei gani.Hata unakoenda usipokua makini utagongewa tu na utakuja tena hapa jf kulia lia. Hata huo mchepuko ulio nao hauko peke yako, kuna muhuni anafanya yake , ipo siku utajua tu [emoji23]. Mbona wenzako hawagongewi, kwa nini ugongewe wewe tu? Jipange, hata ukioa tena mwendo ni ule ule tu, lazima wahuni wakusaidie, hamna namna [emoji23]. Ila pole mwayego
Dinia imekwisha kwa mfumo wanaume watalea sana watoto wasio wao .Mmeanza lini kulinganisha uchepukaji wa me na ke hamwoni mnakosea mwanaume hakuna tatizo akiwa na wake wa nne hii imeruhusiwa hata enzi na enzi kwa mwanaume Kuwa na wanawake wengi ni sawa tu kulingana na maumbile yake sasa nashangaa mnapotaka haki sawa hata ktk hili
Birds of the same flock fly together dear 😏Jf kuna watu WANAFIKI sijawahi ona popote. Eti mchepukaji anaona yuko sawa mke ndio mkosaji na baadhi ya wachangiaji wana saport.
Malaya atagongwa tu ndo nikakuambia tutawapanga foleni mana mmejipanga kama nyama tunachagua tu leo nikale wa bei gani.
Hakuna kuwekeza tena ha ha haaa