Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Tatizo la mwanamke umelisabisha wewe. Mkuu wewe unatabia ya kuchepuka yeye amegundua na amekufanyia hivyo hivyo. Yale usiyopendwa kufanyiwa na wewe usifanye. Dawa yake nyie wote acheni sameheaneni anzeni kufwata imani nendeni ibadani Mungu atawasaidia.
Mungu hawezi kukuokoa kwenye maamuzi ya kijinga! We ushaambiwa mke haachwi isipokuwa kwa uzinifu we unadhani Mungu ni mwehu kusema hivyo?
Hata kama unampenda kashakuwa disqualified, nullified! Heshimu principles za kiume na kiuongozi!
 
Mwanzo wa binadam.
Mfano simba hata liwe na majike yake kumi dume lingine liki salandia mmoja tu litapigana kufa.

Tuvumilieni jamani msitulipize mtatuua kabla hamjui vile tunaumia.

Dawa yenu kuwalipizia tu [emoji23] ili na nyie musikie vile huwa inauma. Ubaya mtendee wenzenu, mkitendewa nyie mnaumi[emoji848] hivi mnafikiri wenzenu wana moyo ya chuma [emoji848] nyie yenu ndo ya nyama
 
Dawa yenu kuwalipizia tu [emoji23] ili na nyie musikie vile huwa inauma. Ubaya mtendee wenzenu, mkitendewa nyie mnaumi[emoji848] hivi mnafikiri wenzenu wana moyo ya chuma [emoji848] nyie yenu ndo ya nyama
Na tukiwajua kama hivi ni kuwatema tu na kuanza kuwala kwa mafungu mluvyo wwngi sasa ni kuweka foleni ya kuwatafuna.

Habali ya watoto alieaikia uchungu ndo anatakiwa awe na huruma nao.
No majukumu hapo ni kuwavua tu

Mna dhalilika sana kushindana hamjui tu.
Mwanamke ikidhibitika kaachwa na michepuko yake ina mtema ila mechepuko ya mume inagombania kuingia alipotoka mwenzao.

Hamjiulizi?
 
Watoto walisafir kwa bibi yao
Mkuu nakuamini kwa msimamo wako na utulivu wako wanawake ni maua yetu tusumbuke kwa ajili yao lakini si wao watusumbue.

Kujiamini kote huko ukimtema tu heshima yote itamuondokea hamna kidume atawekeza apo zaidi ya kuchanuliwa na tu na kuachwa mpaka wewe ukitaka utamgonga na kumuacha
 
Na tukiwajua kama hivi ni kuwatema tu na kuanza kuwala kwa mafungu mluvyo wwngi sasa ni kuweka foleni ya kuwatafuna.

Habali ya watoto alieaikia uchungu ndo anatakiwa awe na huruma nao.
No majukumu hapo ni kuwavua tu

Mna dhalilika sana kushindana hamjui tu.
Mwanamke ikidhibitika kaachwa na michepuko yake ina mtema ila mechepuko ya mume inagombania kuingia alipotoka mwenzao.

Hamjiulizi?

Hata unakoenda usipokua makini utagongewa tu na utakuja tena hapa jf kulia lia. Hata huo mchepuko ulio nao hauko peke yako, kuna muhuni anafanya yake , ipo siku utajua tu [emoji23]. Mbona wenzako hawagongewi, kwa nini ugongewe wewe tu? Jipange, hata ukioa tena mwendo ni ule ule tu, lazima wahuni wakusaidie, hamna namna [emoji23]. Ila pole mwayego
 
Hata unakoenda usipokua makini utagongewa tu na utakuja tena hapa jf kulia lia. Hata huo mchepuko ulio nao hauko peke yako, kuna muhuni anafanya yake , ipo siku utajua tu [emoji23]. Mbona wenzako hawagongewi, kwa nini ugongewe wewe tu? Jipange, hata ukioa tena mwendo ni ule ule tu, lazima wahuni wakusaidie, hamna namna [emoji23]. Ila pole mwayego
Malaya atagongwa tu ndo nikakuambia tutawapanga foleni mana mmejipanga kama nyama tunachagua tu leo nikale wa bei gani.
Hakuna kuwekeza tena ha ha haaa
 
Mmeanza lini kulinganisha uchepukaji wa me na ke hamwoni mnakosea mwanaume hakuna tatizo akiwa na wake wa nne hii imeruhusiwa hata enzi na enzi kwa mwanaume Kuwa na wanawake wengi ni sawa tu kulingana na maumbile yake sasa nashangaa mnapotaka haki sawa hata ktk hili
Dinia imekwisha kwa mfumo wanaume watalea sana watoto wasio wao .
 
Malaya atagongwa tu ndo nikakuambia tutawapanga foleni mana mmejipanga kama nyama tunachagua tu leo nikale wa bei gani.
Hakuna kuwekeza tena ha ha haaa

Endelea kuwapanga wakati unalea watoto wa Livingstone hapo nyumbani [emoji23] na jana lazima mimba imeingia kwa wife [emoji23] another baby from Livingstone .
 
Back
Top Bottom