Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Nature nayozungumzia ni kua , ukitoa njiwa pekee, hakuna kiumbe kingine chochote Cha kiume chenye jike moja, hiyo ni nature tu , msipoteze muda kushindana nayo

Hutaki uke wenza busara ni kuondoka tu , wivu wa mwanaume ni fetal , utakuua , wewe ukimfuma utaishia kulia tu pengine na kutishia kuondoka, ila akakufuma yeye , kaburi Hili hapa

Kwann ubeti maisha yako kiasi hicho?
Mbishi mhaya sijui duuu,dawa yake unatatua na marinda ,Kama alishawahi pitia uanaume vile
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Hawaja wai kusexy, au kwa siku hiyo uliwakuta hawa anza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wabinafsi sana...

Hapo juu umekiri kabisa kuwa nawe wachepuka lakini mkeo kuchepuka imekuwa nongwa...

Huenda hata sababu ya mkeo kuchepuka ni baada ya kujua nawe una mipango ya kando, sasa ni kama yamemshinda kaamua kama mbwai na iwe mbwai
Umemaliza kila kitu.
 
Nature nayozungumzia ni kua , ukitoa njiwa pekee, hakuna kiumbe kingine chochote Cha kiume chenye jike moja, hiyo ni nature tu , msipoteze muda kushindana nayo

Hutaki uke wenza busara ni kuondoka tu , wivu wa mwanaume ni fetal , utakuua , wewe ukimfuma utaishia kulia tu pengine na kutishia kuondoka, ila akakufuma yeye , kaburi Hili hapa

Kwann ubeti maisha yako kiasi hicho?
Hahahah yaan vitu unavyo sema naona hata shida kukujibu, nwei baki na huo mtazamo wako, but jua Dunia haijasimama bado.
 
Pumbavu kabsa nyote ni wazinzi usimtafutie mwenzio sababu ya kumwacha kama una jeuri kweli mpe nawe simu yako kama hujaamka asubuhi umekatwa korodani.Wanaume mnatukoseaga sana sema tu makosa mnayaonaga kwetu.Hii ndo maana halisi ya kila muosha..huoshwaa.
 
Hawaja wai kusexy, au kwa siku hiyo uliwakuta hawa anza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika sababu nilitrack mawasiliano ya manzi na chats na calls zao na jamaa alikuwa anaashiria kuwa ndio siku ya kwanza anataka kuja kumpiga pumzi ila akawa kama anamuulizia sana juu ya usalama wake kwamba ni freshi nikija hapo hapo geto! By that time nilikuwa nakaa self moja tu!

Demu akanipanga mimi toka jana yake kuwa dadaake kesho atakuja kwa ajili ya graduation ya mtoto wa kaka yao! So kaomba alale pale kwetu alale na ndugu yake kwa kuwa mie sikuwa na hiana nikasema acha tu nimpishe sababu kwao walikuwa hawajui kuwa anakaa kwangu walijua kapanga kivyake.

Basi mie kwa kuwa na maseke kile kitu sikukielewa nikaamua nifanye ujasusi kumbe kweli ilikuwa ule usiku napigwa tukio la hatari kama ningejiachia huko niliko!

Nilichofanya nikampigia simu jioni kwasababu picha linaanza hakunipa feedback juu ya huyo mtu kafika au la! Toka asubuhi mpaka Saa 3 usiku mtu atoke Dar hajafika tu na gari ya mwisho kabla ya 2 inakuwaga ishatia timu!

Nikaanza kuhisi usanii ule! Kufungua database yangu kweli nakuta ni mwamba wanapangana kuwa aje amkaze maana mie sipo na alimdanganya yupo single nadhani! Nilichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana mahali nikawa nashuhudia kila kitu kummmk. Baada ya kuingia ndani tu sikufanya ajizi nikajongea mlangoni na kugonga kibabe! Alipofungua mlango hakuamini anachokiona!

Chumba ilinunuliwa spray sikuhio chumba kinanukia balaa na maji jamaa anachemshiwa aoge huku kashaagiziwa chipsi kuku! Kummmy wanawake hawa waoneni tu..ni kama akili ilipiga short nilifukuza yule jamaa nikabana mlango. Ilikuwa nafanya umafia wa ajabu siku ile maana nilishavua mkanda! Muuza chips alipoleta chips ndio kutoka azipokee akapata na upenyo hapo hapo wa kutoroka kifo!
 
Mbona unamlaumu anaehisiwa kuliko mwanaume aliekiri kuchepuka haya mambo hayajaanza leo
MKUU unataka hadi uone wamemwagia ndani ndy uthibitishe mke kaliwa?
Ushahidi wa SMS pamoja na mke kudanganya alipo huoni kama ameliwa?
Sasa hapo anahisiwa nn?

Fukuza hiyo takataka MKUU,,
 
Mwanamke akichepuka, ina maan mwanaume ameshindwa kutimiza majukumu yake kwa mkewe.
Majukumu gani labda? Yani kwamba wewe hutombwi au hulishwi? Ndio useme unachepuka wakati wanawake wanakaa kwenye mahekalu na magari ya gharama na bado wanaliwa na mafundi kushona tunawaona!

Mwanamke kuchepuka ni anafanya kusudi na adhabu yake anaijua kabisa!
 
Kama umenisoma vizuri mimi si mmojawao wanaohitaji security ya maisha economically, kwani hata hivi nimeolewa sijaona jipya la kunishangaza.

Nitarudi kwetu kiroho safi hata aibu sina.
ulitarajia lipi la kukushangaza?
 
kabla sijaoa enzi hizo ile wiki moja kabla ya ndoa tulikuwa tunafundishwa na shangazi bibi na babu na wajomba. Nakumbuka babu alisema

ukiwa unarudi safarini usiende moja kwa moja nyumbani bali pitia kwa rafiki wa mtaa wa tano au watatu au pitia kwenye bao halafu mpe koti au begi mtoto alipeleke nyumbani then wewe nenda home baada ya masaa mawili hii itapunguza matatizo yasiyo ya lazima kwako
Duh
 
Hamna kitu wanaume hatupendi kama kuchapiwa!
Vile nilivyo tu siku akifanya huo ujinga nikajua atakimbia mwenyewe wala sitomfukuza

Mkeo akiliwa ukaendelea kukaa nae ni sawa unaliwa wewe huku unaridhia
 
Sina hakika sababu nilitrack mawasiliano ya manzi na chats na calls zao na jamaa alikuwa anaashiria kuwa ndio siku ya kwanza anataka kuja kumpiga pumzi ila akawa kama anamuulizia sana juu ya usalama wake kwamba ni freshi nikija hapo hapo geto! By that time nilikuwa nakaa self moja tu!

Demu akanipanga mimi toka jana yake kuwa dadaake kesho atakuja kwa ajili ya graduation ya mtoto wa kaka yao! So kaomba alale pale kwetu alale na ndugu yake kwa kuwa mie sikuwa na hiana nikasema acha tu nimpishe sababu kwao walikuwa hawajui kuwa anakaa kwangu walijua kapanga kivyake.

Basi mie kwa kuwa na maseke kile kitu sikukielewa nikaamua nifanye ujasusi kumbe kweli ilikuwa ule usiku napigwa tukio la hatari kama ningejiachia huko niliko!

Nilichofanya nikampigia simu jioni kwasababu picha linaanza hakunipa feedback juu ya huyo mtu kafika au la! Toka asubuhi mpaka Saa 3 usiku mtu atoke Dar hajafika tu na gari ya mwisho kabla ya 2 inakuwaga ishatia timu!

Nikaanza kuhisi usanii ule! Kufungua database yangu kweli nakuta ni mwamba wanapangana kuwa aje amkaze maana mie sipo na alimdanganya yupo single nadhani! Nilichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana mahali nikawa nashuhudia kila kitu kummmk. Baada ya kuingia ndani tu sikufanya ajizi nikajongea mlangoni na kugonga kibabe! Alipofungua mlango hakuamini anachokiona!

Chumba ilinunuliwa spray sikuhio chumba kinanukia balaa na maji jamaa anachemshiwa aoge huku kashaagiziwa chipsi kuku! Kummmy wanawake hawa waoneni tu..ni kama akili ilipiga short nilifukuza yule jamaa nikabana mlango. Ilikuwa nafanya umafia wa ajabu siku ile maana nilishavua mkanda! Muuza chips alipoleta chips ndio kutoka azipokee akapata na upenyo hapo hapo wa kutoroka kifo!

Hahahahahaha mkuu hawa viumbe ni hatar sana anataka huku na huku
 
Mimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...😀😀😀, Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
Wewe 😲
 
Mijanaume mingine ni wapuuzi sana, ukute ana matukio ya kutosha yaliyomfanya mke wake achepuke halafu anakuja hapa apate ushauri na huruma kutoka kwa mabaharia wenzake.
Simtetei mke ila kuweka wazi kuwa na yeye ana mchepuko na wala hajutii ni ukosefu wa akili.
Amekomeshwa na hata akiachana na mke wake kidonda alichokipata hakitafutika kamwe. Wazinzi wote they deserve each other.
Mimi hizo dhambi ndio nazipenda
 
Mimi na jamaa tulienda kufumania tukiwa mtu sita, kufika jamaa aliyefumaniwa akapakiwa mkongo na kuliwa swaaafi kabisa na mtu tano [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilikaa mbali sana, sikushiriki ujinga ule.
Atawala viboga wangapi?tabia ni kma ngozi
 
Hahahah yaan vitu unavyo sema naona hata shida kukujibu, nwei baki na huo mtazamo wako, but jua Dunia haijasimama bado.
Sio mtazamo, au huna kuku? Mbuz? Basi nenda hata Serengeti utakuta hayo maisha, that is nature mama

Unaona haikufai, busara n kutundika daluga tu
 
Back
Top Bottom