[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan comments zako huwaga na mushkeli tyuuh lolKumchunga mtu mzima kazi sana. Jamaa kishaambiwa “mbona unamaliza haraka?” Si ajabu huyo mhuni anaipigiza K mpaka inatoka jasho [emoji23]kama kanogewa mhuni ni lazima apelekewe akamvue picchu.
Hahahah jaman mie Mr wangu hanaga mambo ya kushtukizan, na mie siwezi kumsaliti, japo akisaliti nikijua lazima nilipize kisasi, naye anafahamu hilo.Ww cocastic au ndio mtuhumiwa nini mbona mkali hivyo[emoji12]!?
Mmmmh kwenye kutulia hapo sidhan, ila sema ni wasiri mno tena mno, kwenye hasira mmejaliwa huhuhuh, maaan ni varangati tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wivu ninao wa kutosha aisee! Uzuri ni kuwa hatunaga tabia ya ukicheche tukiwa in serious relationships! Hasira ni asili kwetu wapare mie hasira zangu ni mbaya sana
Hamnaga ujinga unaoruhusiwaMmmmh kwenye kutulia hapo sidhan, ila sema ni wasiri mno tena mno, kwenye hasira mmejaliwa huhuhuh, maaan ni varangati tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakna kujirahisisha wala nn, ukiona mwanamke anachepuka jua mwanaume kuna sehemu anakwama lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fundi kushona si wanawala sababu mnajirahisisha kwao, amini kwamba usipojirahisisha kwa mtu hawezi kukula kizembe!
Sasa kama hela unapewa tatizo ni nini?Hakna kujirahisisha wala nn, ukiona mwanamke anachepuka jua mwanaume kuna sehemu anakwama lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tuache utani, tiba ya usaliti ni kisasi. Mie nilishamuambia nikijua ananisaliti lazima kisasi kiwepo, siwezi kusamehe bure sina huo moyo mie. KhaaaahHamnaga ujinga unaoruhusiwa
Sasa si bora uamue kuaga mahusiano tuIla tuache utani, tiba ya usaliti ni kisasi. Mie nilishamuambia nikijua ananisaliti lazima kisasi kiwepo, siwezi kusamehe bure sina huo moyo mie. Khaaaah
Kwani kwa mwanaume, mwanamke anafuata hela tyuu? [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama hela unapewa tatizo ni nini?
Mahusiano yanaagwa kirahisi tyuuh? Mbna yeye wakati ananisaliti hakuaga mahusiano? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si bora uamue kuaga mahusiano tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan comments zako huwaga na mushkeli tyuuh lol
Mie kuliko ufanye huo usenge ni aheri unikatae tu baada ya kugundua cheatingsMahusiano yanaagwa kirahisi tyuuh? Mbna yeye wakati ananisaliti hakuaga mahusiano? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mpare twende taratibu bas, lol
Hakna kujirahisisha wala nn, ukiona mwanamke anachepuka jua mwanaume kuna sehemu anakwama lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wanaume pia wakionja nyama ya slay queens na vidampa huko nje, wao sio hutaman ni kuzamia kabisa, ko ngoma draw hapo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]There is no need to HIDE THE TRUTH. Aliyeonja nyama ya mhuni hutamani kuonja tena. Hata kitaani nayaona haya na ndiyo sababu asilimia kubwa ya ndoa hazifikishi miaka mitano na ME wengi kuziogopa ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza hasiraUjue wanaofanya huu upuuzi uendelee ni wanawake wanaoabudu ndoa kama pumzi, aisee me nakerekwaga hadi rohoni unakuta mtu anapitishwa kwenye moto ila yumo tu,ki ukweli mme wangu ananijua vizuri nihesimu nikuheshimu,nifanyie ushenzi nikuonyeshe ushenzi plus kama tulioana kwa mapenzi na makubaliano vikiisha kila mtu achukue njia yake watoto atalea hata akiwa mbali,siteseki kwa upuuzi mimi, nivumilie shida za maisha na ujinga wa makusudi nehi!
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Na mie kuliko kufanya huo upuuzi, ni bora tu uniache kabla hujafanya cheatings.Mie kuliko ufanye huo usenge ni aheri unikatae tu baada ya kugundua cheatings
Na wanaume nao je?Wakati mwingine si kweli bali ni tamaa tu na umalaya.
Faiza umekuwa adimu sana humu jamviniIngawa kwa kisa hicho ni kweli mke ainaweza kuwa kafanya dhambi kubwa ya uzinifu lakini binafasi naona kama kisa tu cha kutunga.
Kwa maana hiyo, kwa mapungufu yoyote ya mkeo inabidi kwanza ujitazame wewe una mapungufu yepi katika kuishi nae.
Kwanza tujulishe huyo ni mkeo wa ndoa au ni mke wa kukubaliana wenyewe tu na hamkufunga ndoa aina yoyote ile, iwe ya kidini au kiserikali?
Na wanaume pia wakionja nyama ya slay queens na vidampa huko nje, wao sio hutaman ni kuzamia kabisa, ko ngoma draw hapo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi Ndoaaaaaaaaaaaaah? Mweeeeeh