Wilson Joseph
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 311
- 275
Manina zako 🤣🤣🤣🤣sawa nimeiona 🤣
Acha uboya.Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.
Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya
Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.
Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,
Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,
Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion
Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana
Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi
Jamaa:hey beautiful missed you
Mke: hey baby missing you more
Jamaa: missed your voice sana
Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.
Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa
Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena
Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa
Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza
Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata
Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa
Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu
Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,
Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,
Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .
Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo
Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan
Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?
Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,
Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone
Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,
Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu
Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.
Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimejikuta nachek kwa sauti kubwaIshawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Mama/mke akiwa mchepukaji baba/mume awe Mtu wa Maombi kuzikemea nguvu za shetani na kuiombea familia baraka na mafanikio. Hali kadhalika, mume akiwe mchepukaji mama awe Mtu wa Maombi hiyo ndio namna ya kusaidia. Lakini hii ya wote kulipiziana na kuchepuka kwa malipizi haiwezi kuwa suluhisho.Hana haki ya kulalamika maana na yeye mzinzi. Malipo ni hapa hapa duniani
Waache Mkuu. Mkuu pole kwa yaliyokukuta. Kimsingi upendo kwa mkeo uliisha kitambo ninahisi ulibaki kwenye ndoa kwa matakwa ya kiapo tu. Kama una mapenzi japo kwa mbali kwa mwenzio angalia option ya kumsamehe (sio rahisi) hii ni kama bado una hisia za mapenzi kwa mkeo. Na mpeane leave ya kutokuwa pamoja angalau kwa mwaka mmoja. Kama hauna hisia tena na mwenzio ni muda umefika sasa muachane.Ww unafurahia? Kweli nyny wadada unaeza mtu akafa ww unacheka tu
Hii meseji yako naifanyia lamination kabisa naibandika ukutaniSijaoa ila principles ni hizi.
Mke akikukosa risasi, ama akakupiga lakini isikuue ama akakupiga panga ya shingo lakini bahati nzuri ukapona, msamehe na ongeza upendo kua zaidi ya ule wa mwanzo.
Lakini mke akichepuka kwa sababu yoyote ile usimsamehe.
Madhara ya mwanamke kuamua kuchepuka ni makubwa hatari zaidi kwenye maisha ya mume kuliko hata angempiga risasi.
Take it or leave it.
kabunda88 muulize tatizo linalomfanya aende “kuangalia movie kwa jirani ninini”, siajabu kwako screen mbovu.
Mwanamke aliwe nje uniambie busara . Nyie sijui mnatoaga wapi izi akili .Pole.sana kaka!! Lakini kama ulivyosema, umefanya naye mambo mengi, na mna watoto wawili ambao ni wadogo, endelea kutumia busara ndugu yangu, Mungu akuongoze!!
Umenena vyemaMama/mke akiwa mchepukaji baba/mume awe Mtu wa Maombi kuzikemea nguvu za shetani na kuiombea familia baraka na mafanikio. Hali kadhalika, mume akiwe mchepukaji mama awe Mtu wa Maombi hiyo ndio namna ya kusaidia. Lakini hii ya wote kulipiziana na kuchepuka kwa malipizi haiwezi kuwa suluhisho.
Acha upumbavu na wewe yaan unaongea upupu tu hapa naludia tena acha ujingaJaman kwahiyo mwanamke, akilishwa, akitombwa, akiishi kwenye kasri, akiwa na ndinga kali, bas mwanaume ameshamaliza majukumu kwa mkewe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa inabidi ujiulize why fundi kushona au boda boda? Unakwama wapi yaan, [emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia kijana wangu kaa nae chini muulize sababu ya yeye kudenemka ni nini hasa? Huenda akatoa sababu ambazo wewe ndio chanzo.Nawaza sana ntawambia nini ndugu zangu,au ndugu zake kwa jinsi tulivyo pendana ni aibu kubwa sana kwangu kusema namwacha kwajili ya ametoka inje ya ndoa,lakin ntafanyaje?itabid iwe hivo nafsi yangu na moyo wangu unashindwa kuvumilia nikikumbuka msg zao nikiziweka hum mtashangaa kwann mpaka saiz yupo ndani kwangu
Ningumu sana kumuacha mwanamke ambaye tayari mmesha zaa nae watoto. Wakuu mtoto nikitu kinachopendwa sana (naamini kwa wengi iko hivi) na mtoto anafaa kulelewa na wazazi wote wawili ( naamini kila mwenye mtoto anatamani kuona hivo) hivo kumuacha mtoto wako alelewe na mtu mwingine inauma sana.Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.
Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba
Na wewe huko alishawahi kukwambia kwasababu unachepuka tukapime HIV?Niliisusa mpaka tupime HIV
Unamatatizo wewe na hutamuacha uyo mwanamke maana sio mda mrefu utampelekea moto tu na ukisha mpelekea moto tu umeshajiloga hutanuachaNawaza sana ntawambia nini ndugu zangu,au ndugu zake kwa jinsi tulivyo pendana ni aibu kubwa sana kwangu kusema namwacha kwajili ya ametoka inje ya ndoa,lakin ntafanyaje?itabid iwe hivo nafsi yangu na moyo wangu unashindwa kuvumilia nikikumbuka msg zao nikiziweka hum mtashangaa kwann mpaka saiz yupo ndani kwangu
Nawaza sana ntawambia nini ndugu zangu,au ndugu zake kwa jinsi tulivyo pendana ni aibu kubwa sana kwangu kusema namwacha kwajili ya ametoka inje ya ndoa,lakin ntafanyaje?itabid iwe hivo nafsi yangu na moyo wangu unashindwa kuvumilia nikikumbuka msg zao nikiziweka hum mtashangaa kwann mpaka saiz yupo ndani kwangu
mwenyeweManina zako 🤣🤣🤣🤣