Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Kaka nini unataka? Unajisikia kuendelea na ndoa?
Bado anampenda mke wake,sio vibaya kama inawezekana embu ampe nafasi nyingine walee watoto weo lakini wanaume mjue hili hadi mkeo anatoka nje ujue wewe ndo sababu kubwa hivyo wakae chini waongee kama inawezekana...sema na moyo wako pia
 
Yeye anaona sawa kuzini (hata kama siyo na mke wa mtu) lakini anasikia uchungu sana kwa mkewe kufanya kosa hilo.

Mmeanza lini kulinganisha uchepukaji wa me na ke hamwoni mnakosea mwanaume hakuna tatizo akiwa na wake wa nne hii imeruhusiwa hata enzi na enzi kwa mwanaume Kuwa na wanawake wengi ni sawa tu kulingana na maumbile yake sasa nashangaa mnapotaka haki sawa hata ktk hili
 
Jeuri kama hizi huwa mnazitoa wapi au Ww ndio unamlisha jamaa..Pesa ndio zinawapa jeuri wanawake mkizipata
Jeuri ipi umeona hapo ndugu?
Mimi nimlishe mwanaume nimerogwa?
Kulisha analisha yeye ni wajibu wake...mimi kapuku sina hata mia.
Ninaishi nae kwa mapenzi tu na si kingine. Muda wa kukimbizana Sina ..tupendane tuishi kwa amani, hanipendi/hanitaki kila la kheri silazimishi.

Kiufupi amani katika ndoa ipo mikononi mwake yeye aliyepropose ndoa.
Wajibu wangu ni kutekeleza majukumu yangu kama mke.
Akitetereka ndoa inakufa.
 
Tunaotembea na wake za watu tuache jamani tutakuja kupakuliwa ugali mchana kweupe jua linawaka
 
Mmeanza lini kulinganisha uchepukaji wa me na ke hamwoni mnakosea mwanaume hakuna tatizo akiwa na wake wa nne hii imeruhusiwa hata enzi na enzi kwa mwanaume Kuwa na wanawake wengi ni sawa tu kulingana na maumbile yake sasa nashangaa mnapotaka haki sawa hata ktk hili
Jikaririshe hivyo hivyo. Dunia haijasimama
 
Kwa vile wewe hajakubamba fukuza hiyo mbwa. Mwanamke ni golikipa akiachia goli tumefungwa. Mwanaume ni straika hata akipitwa sio issue.
Wanawake hakuna usawa kwenye sex jinga nyie.
 
Nimesoma yoote,shida hapo nahisi kwako huna TV,sababu kwanini aende kuangalia kwa rafiki yake,nakushauri ununue TV ili siku nyingine akose sababu ya kutoka!
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Niliapa maishani kama Kuna siku nitachepuka.. Basi hata nimfume mke wangu live.. Sina la kufanya.. Tutasameheana na kusonga mbele... Dhamiri yako ni kitu kikubwa. Never huwezi mhukumu mtu kwa dhambi ambayo hata wewe unaitenda utakuwa ujuha.
 
Hakuna cha kuoa mke wa pili wala waa saba, hapa suala ni kuwa wote wachepukaji, na je km huyo mkewe hataki mke mwenza
Unachepukaje wakati unatembea na mpenzi wako ?

Kama mwanamke hutaki uke wenza si uondoke tu , why risking your life kiasi hicho? Ukipigwa mapanga je?? Au kuchomwa moto ? Utasema ulikua unashindana na mwanaume? Cocastic eeh , kwann mnabishana na nature nyinyi?
Hakuna cha kuoa mke wa pili wala waa saba, hapa suala ni kuwa wote wachepukaji, na je km huyo mkewe hataki mke mwenza?
Sasa
 
Jeuri ipi umeona hapo ndugu?
Mimi nimlishe mwanaume nimerogwa?
Kulisha analisha yeye ni wajibu wake...mimi kapuku sina hata mia.
Ninaishi nae kwa mapenzi tu na si kingine. Muda wa kukimbizana Sina ..tupendane tuishi kwa amani, hanipendi/hanitaki kila la kheri silazimishi.

Kiufupi amani katika ndoa ipo mikononi mwake yeye aliyepropose ndoa.
Wajibu wangu ni kutekeleza majukumu yangu kama mke.
Akitetereka ndoa inakufa.

Kama kweli unachoandika hapa na matendo yako ndio yapo hivo,huchukii round utaachwa jamaa ni mvumilivu sna.

Kwahiyo ww ndoa huna shida nayo kwasababu jamaa ndio kapropose ndoa ww kwann ulikubali sasa? jinsi unavyocomments ndio inareflect mimi kukuita jeur nisamehe kama nimekosea
 
Kwa vile wewe hajakubamba fukuza hiyo mbwa. Mwanamke ni golikipa akiachia goli tumefungwa. Mwanaume ni straika hata akipitwa sio issue.
Wanawake hakuna usawa kwenye sex jinga nyie.

Hahahahahaha mkuu nimekuelewa inakuaje wanaleta usawa kwny Sex kwahiyo ukiwa na madem wakali 2 na yy awe na njemba 2 aisee
 
Demi but why [emoji3], sema mwamba imemuuma kinoma
Tena huyu mwamba ana stamina ya kutosha...na ujasiri wa kuandika uzi na kujibu koments za watu anao..

Wengine saa hizi tungekuwa tunahisi tupo sayari ya Mars....mchana si mchana, jioni si jioni, kula haviliki, kunywa havinyweki.....
Maumivu ya penzi achana nayo....
 
Shukrana mkuu ulio sema ni kweli kabisa mkuu na kwa asilimi 100% ntakuwa nimechangia yeye kunisaliti pia
Nakumbuka wakati tumeanza mahusiano nilimpenda sana na mda wote tulikuwa wote hata show nilikuwa nafanya hata mara 5 kwa siku ni mda wote tu kufanya na ndio maana hata watoto wetu wamepatikana mapema sna

Ila baada ya kuwa na mtoto wa pili sikuwa na ham nae sna na show ni mara mojamoja tu kwa week hata mara moja na zile msg na kuchat marakwamara sikuwa namtumia na nikiona msg yake napotezea mpka iwe ya muhim

Kiufupi ndani kuanzia 2020 hakuwa na mvuto tena kwangu tulishi tu kawaida ila sio romantic km zaman mpka sometimes ananiuliza mbona namfanyia hivo but sikujali

Kuna mdada kazin kwetu ni mpya kwny kaz na ni mdogo ndio alinivutia so mapenz yangu nikahamishia kwa mchepuko kwahiyo

huyo jamaa alie chepuka nae jana nakumbuka since mwaka jana niliona msg yake lkn sikuzingatia kabisa nikajisemea tu sasa hiv analea huyu nan anaweza kumtaka kiufupi alikuwa bize na watoto ukiangalia wamefatana

Sasa jana ilivyo tokea ndio nakumbuka huyu mtu hakuanza juz na wife kumsifia ni km alikuwa akimpa faraja yale mambo nilio kuwa nikiyafanya kwa wife jamaa ndio alichukua nafas

Nimewaza mambo mengi sana why kitu kama hiki kimetokea kulingana na heshima yangu kwny jamii na watu wanavyotuona tunavyofurahia maisha na wife na watoto wetu kila mtu atatamani kuiga

But wife amekuja kuliwa na kijana mshinda gym tu na na kuvuta bangi.
Wanawake tunajali hisia zaidi

Unaweza kuwa na fedha ila kama hukujali hisia zake usishangae mvuta bangi anayecare akagonga.


Narudia

Hakuna haja ya ghubu wala ngumi

Tokeni mahali mkae myajenge
 
Back
Top Bottom