Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

😀😀😀 Unasema tu, haya mapenzi yasikie hivi hivi
Hakuna wewe labda hana hasira nae ila wivu tu ndo anaweza dinda ukimla mdada uku unawivu nae unamla kibabe kwelikweli mana unajitahidi kumfanya uku unavuta hisia za alivyo fanywa
 
Nina shida na ndoa ambayo inafata misingi ya ndoa, otherwise ni bora nisiwe nayo. Haileti tofauti yoyote nikiwa nayo au nisipokuwa nayo.
Ndoa ambayo sipendwi mapenzi yamekufa sitakuwepo hapo.

Jukumu la mume ni kumpenda mke, na jukumu la mke ni kumtii mume.

No mapenzi no utii.

Na Kama unasubiri niachwe my friend itabidi usubiri sana. Miaka 13 now bado tunadunda, tumepita milima, mabonde, vita na kila aina ya swaga unazozifahamu and this time we are strong kuliko kipindi chochote.
No more dramas.

Na hata ikitokea nikaachwa it's fine, sina cha kupoteza maisha yataendelea.
Kuna comment umesema huna hata "mia"..akikuacha utaishi vipi? au utarudisha mpira kwa kipa"kwa wazazi nyumbani"?
 
So unadhani tunaolewa kwaajili ya njaa?
Hata hivyo basi kudinyana isiwe tuumachi sasa.
Ile nyama kuifanya ikaze baadhi ya masiku si jambo jepesi mjue.

Mana wengine msipoguswa wiki tu msha anza kununa ndo mnahribu mazima apo.
 
Je wewe acha kutishia umma ingekuwa mimi unipige kudadadeki ningekufanyia maigizo ya kichina na kimeru na kiniger ningekufumua mpaka hicho kichaa kiishe shuwaini huyo mam anatakiwa akupeleke ustawi wakamii.

Wewe ni ngumi kabisa ,makofi seriously makofi ya mwanaume unayajua?

Wewe mwanamume ni muuwaji.
Kidudu mtu mkeo ameona unapenda Ksana .

Eti wanavuta bangi unatofauti gani na hao.
Unampiga mkeo .

Ex wangu alikuwa akijua unachepuka anakuita siku mko free mnakunjana mpaka ukisema umechoka anakuuliza huko hukuchoka acha hizo nataka usirudie tena.
alielewa anieleweshe
Kunywa maji relax
 
Nimeuliza tu..kuna baadhi wanataka security ya maisha(economically).

Maana kuna baadhi ya wanawake hawana income hata wakipigwa matukio wanavumilia tu.
Kama umenisoma vizuri mimi si mmojawao wanaohitaji security ya maisha economically, kwani hata hivi nimeolewa sijaona jipya la kunishangaza.

Nitarudi kwetu kiroho safi hata aibu sina.
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Wake za watu wanatafwuna sana, alafu kirahisi sana kuliko malaya wa buku2
 
Kama umenisoma vizuri mimi si mmojawao wanaohitaji security ya maisha economically, kwani hata hivi nimeolewa sijaona jipya la kunishangaza.

Nitarudi kwetu kiroho safi hata aibu sina.
Okay

Sawa mrembo.
 
Kweli mpwa......vijana wengi wanamuona mke kama sanamu tu hivyo kufanya tendo kwa mazoea......sasa hawa vijana wanaopata hizi mambo kwa ngekewa hawafanyi makosa ya mume kwa kuwa wanajua huyo mke amefuata nini......
Hamna kitu mkuu....kama mwanamke alikua malaya kabla ya ndoa ataendelea hivyo siku zote,hawez akaridhika huyo
 

Hahahahahaha anaionea huruma K kwa kuigusa igusa kumbe wahuni wanapigiza kama wana ugomvi nayo hadi inapanda temp na kufikia 43 Celsius ya motoooooo!

Ni kumfahamisha hata kama wanaachana ajifunze kutokana na hili huko anakokwenda asirudie kosa. Si ajabu alikua ana pet pet kumbe bangi man anafanya kweli.
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Dooo pole ndugu
FB_IMG_16221355115496636.jpg
 
Huyo mke analiwa na jamaa tangu siku nyingi. Na yawezekana hata hao watoto unawaonea uchungu sio wako.

Ulifanya kosa kubwa Sana kumshtukiza.
Mwanaume mwenye akili sawa huwezi kufanya Hilo.

Huyo sio malaika.
Ni binadamu Kama binadamu wengine.
Mpe taarifa kuwa unarudi.

Tena Bora huyo kaenda huko mtaani.
Mwingine ungelikuta lijamaa humo ndani.
Babu yangu aliniambia mwanaume akitoka matembezi/ safari akifika kilometa 1 au zaidi kabla ya kufika nyumba lazima atamtuma mtoto nyumbani kwake kwa kumpa koti/ mboga au kitu chochote huyo mtoto akipeleke nyumbani na hiyo ni inshara kuwa baba mwenye nyumba yuko karibu anakuja na lengo lao kubwa ilikuwa kama mke anakichwa humo ndani ilikiweze kukimbia wasifumaniwe.
 
Mambo ya mwaka 47 haya. ME kwanini aogope kujua mkewe kama si mwaminifu? Ndiyo mambo ya kubambikiwa watoto kwa imani POTOFU eti kitanda hakizai haramu! Kwani kitanda ndiyo kilitia mimba?
Babu yangu aliniambia mwanaume akitoka matembezi/ safari akifika kilometa 1 au zaidi kabla ya kufika nyumba lazima atamtuma mtoto nyumbani kwake kwa kumpa koti/ mboga au kitu chochote huyo mtoto akipeleke nyumbani na hiyo ni inshara kuwa baba mwenye nyumba yuko karibu anakuja na lengo lao kubwa ilikuwa kama mke anakichwa humo ndani ilikiweze kukimbia wasifumaniwe.
 
Hii dunia imebadilika sna mwanamke unakuwa huna hata chembe ya huruma
We unavokua juu ya kiuno kingine huaga unaona huruma? Tena mkeo mstaarab mimi nikigundua unacheat sikai kimya nakwambia kabisaaa nimejua na nalipiza tena mchana wa saa saba, na ukitaka tuachane fresh tu kafie mbele ya safari kwanza hasira yangu huaga haiishi hadi nilipize sasa kuliko nikufunike na mito usiku bora nikapate raha za dunia huko.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nina shida na ndoa ambayo inafata misingi ya ndoa, otherwise ni bora nisiwe nayo. Haileti tofauti yoyote nikiwa nayo au nisipokuwa nayo.
Ndoa ambayo sipendwi mapenzi yamekufa sitakuwepo hapo.

Jukumu la mume ni kumpenda mke, na jukumu la mke ni kumtii mume.

No mapenzi no utii.

Na Kama unasubiri niachwe my friend itabidi usubiri sana. Miaka 13 now bado tunadunda, tumepita milima, mabonde, vita na kila aina ya swaga unazozifahamu and this time we are strong kuliko kipindi chochote.
No more dramas.

Na hata ikitokea nikaachwa it's fine, sina cha kupoteza maisha yataendelea.
Ujue wanaofanya huu upuuzi uendelee ni wanawake wanaoabudu ndoa kama pumzi, aisee me nakerekwaga hadi rohoni unakuta mtu anapitishwa kwenye moto ila yumo tu,ki ukweli mme wangu ananijua vizuri nihesimu nikuheshimu,nifanyie ushenzi nikuonyeshe ushenzi plus kama tulioana kwa mapenzi na makubaliano vikiisha kila mtu achukue njia yake watoto atalea hata akiwa mbali,siteseki kwa upuuzi mimi, nivumilie shida za maisha na ujinga wa makusudi nehi!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Mkuu wanawake wamekwisha?
Mimi nachukia sn mwanaume kushindwa kufanya maamuzi ya kiume kwa kisingizio cha watoto watateseka.

Hebu jiulize maswali haya.
1-- ukianguka Leo watoto wataishije?
2--huyo mwanamke aliyefikiria kugegedwa nje hakuwafikiria watoto?
 
Tatizo mkeo Ni kiburi, kwa vile we nae Ni msaliti angejishusha akakiri makosa yake ulivyo mtaratibu ungemsamehe ila kajitia jeuri sasa maana yake hatoacha kuchepuka,,

Kama Ni chai utajijua mwenyewe
Mbaya zaidi eti mwanamke amepata hadi nguvu za kwenda kazini, yani means hana hata chembe za uoga juu ya tukio alilolifanya usiku.
 
Back
Top Bottom