Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Shukrana mkuu ulio sema ni kweli kabisa mkuu na kwa asilimi 100% ntakuwa nimechangia yeye kunisaliti pia
Nakumbuka wakati tumeanza mahusiano nilimpenda sana na mda wote tulikuwa wote hata show nilikuwa nafanya hata mara 5 kwa siku ni mda wote tu kufanya na ndio maana hata watoto wetu wamepatikana mapema sna

Ila baada ya kuwa na mtoto wa pili sikuwa na ham nae sna na show ni mara mojamoja tu kwa week hata mara moja na zile msg na kuchat marakwamara sikuwa namtumia na nikiona msg yake napotezea mpka iwe ya muhim

Kiufupi ndani kuanzia 2020 hakuwa na mvuto tena kwangu tulishi tu kawaida ila sio romantic km zaman mpka sometimes ananiuliza mbona namfanyia hivo but sikujali

Kuna mdada kazin kwetu ni mpya kwny kaz na ni mdogo ndio alinivutia so mapenz yangu nikahamishia kwa mchepuko kwahiyo

huyo jamaa alie chepuka nae jana nakumbuka since mwaka jana niliona msg yake lkn sikuzingatia kabisa nikajisemea tu sasa hiv analea huyu nan anaweza kumtaka kiufupi alikuwa bize na watoto ukiangalia wamefatana

Sasa jana ilivyo tokea ndio nakumbuka huyu mtu hakuanza juz na wife kumsifia ni km alikuwa akimpa faraja yale mambo nilio kuwa nikiyafanya kwa wife jamaa ndio alichukua nafas

Nimewaza mambo mengi sana why kitu kama hiki kimetokea kulingana na heshima yangu kwny jamii na watu wanavyotuona tunavyofurahia maisha na wife na watoto wetu kila mtu atatamani kuiga

But wife amekuja kuliwa na kijana mshinda gym tu na na kuvuta bangi.
Ni vizuri unafunguka na kukiri makosa yako...wewe personally umechangia mkeo kuchepuka...haimati ameliwa na nani ila una makosa ya kutotimiza wajibu wako kama mume ulikuwa ukimnyima haki yake ya msingi kwenye ndoa.....na ukatafuta faraja nje.Kumbuka na yeye ameumbwa na mwili wa kibinaadamu kama wewe,anahisia na kutamani kama wewe.Wote mna makosa so acha kumhukumu mwenzio mno.
 
Yupo japo hatusemezan kila mtu na ratiba zake ,na nikama anaonyesha mimi ndio mkosaji wala hajakubali kosa,,bado nasubir utekelezaji wa plan zangu
Mmh hapo kazi unayo aisee. Na ukute yuko humu anasoma jinsi wanawake wenzie wanavomsapoti
 
Mmeanza lini kulinganisha uchepukaji wa me na ke hamwoni mnakosea mwanaume hakuna tatizo akiwa na wake wa nne hii imeruhusiwa hata enzi na enzi kwa mwanaume Kuwa na wanawake wengi ni sawa tu kulingana na maumbile yake sasa nashangaa mnapotaka haki sawa hata ktk hili
Nani anataka haki sawa katika kuzini! Ina maana mwanamme ameruhusiwa kuzini lakini mwanamke hakuruhusiwa? Sijui mwenzangu unasoma kitabu gani cha dini kilichoruhusu hivyo.
 
Asipomuacha amtenge no kushirikiana nae mapenzi kila mtu afanye yake! Ahakikishe tu familia inakula na kunywa na ada zinalipwa!

Kumu entertain ibilisi kama huyo ni ngumu kwa kweli! Ajutie tu hilo kosa lake always na aje awaambie na watoto kuwa alitombwa nje ya ndoa maana lazma wataona hamna ukaribu baina ya wazazi
@kabunda88 usimuache mkeo kwa maslahi mapana ya watoto wenu, bali chukua huu ushauri
 
Nature gani unayoizungumzia wee hapa? Dunia haijasimama bado poleeeeh.
Nature nayozungumzia ni kua , ukitoa njiwa pekee, hakuna kiumbe kingine chochote Cha kiume chenye jike moja, hiyo ni nature tu , msipoteze muda kushindana nayo

Hutaki uke wenza busara ni kuondoka tu , wivu wa mwanaume ni fetal , utakuua , wewe ukimfuma utaishia kulia tu pengine na kutishia kuondoka, ila akakufuma yeye , kaburi Hili hapa

Kwann ubeti maisha yako kiasi hicho?
 
Huyo mke analiwa na jamaa tangu siku nyingi. Na yawezekana hata hao watoto unawaonea uchungu sio wako.

Ulifanya kosa kubwa Sana kumshtukiza.
Mwanaume mwenye akili sawa huwezi kufanya Hilo.

Huyo sio malaika.
Ni binadamu Kama binadamu wengine.
Mpe taarifa kuwa unarudi.

Tena Bora huyo kaenda huko mtaani.
Mwingine ungelikuta lijamaa humo ndani.
Haushauri ila unaongeza tatizo unamtia zaidi huyu jamaa stress
 
Huyo mke analiwa na jamaa tangu siku nyingi. Na yawezekana hata hao watoto unawaonea uchungu sio wako.

Ulifanya kosa kubwa Sana kumshtukiza.
Mwanaume mwenye akili sawa huwezi kufanya Hilo.

Huyo sio malaika.
Ni binadamu Kama binadamu wengine.
Mpe taarifa kuwa unarudi.

Tena Bora huyo kaenda huko mtaani.
Mwingine ungelikuta lijamaa humo ndani.
Li bazazi limefunga taulo lako linacheki mpira sebuleni [emoji16]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Sijaoa ila principles ni hizi.

Mke akikukosa risasi, ama akakupiga lakini isikuue ama akakupiga panga ya shingo lakini bahati nzuri ukapona, msamehe na ongeza upendo kua zaidi ya ule wa mwanzo.

Lakini mke akichepuka kwa sababu yoyote ile usimsamehe.

Madhara ya mwanamke kuamua kuchepuka ni makubwa hatari zaidi kwenye maisha ya mume kuliko hata angempiga risasi.

Take it or leave it.
Umemaliza kila kitu
 
Pole.sana kaka!! Lakini kama ulivyosema, umefanya naye mambo mengi, na mna watoto wawili ambao ni wadogo, endelea kutumia busara ndugu yangu, Mungu akuongoze!!
Busara ni kuachana naye, mwanamke malaya hastahili kuwa mke.
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda klwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Kizuri kula na ndugu yako
 
Back
Top Bottom