Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mzee unatoka safari hujammiss mkeo unawaza mchepuko!!! Ndoa mmeshirikiana kuvunja we na mkeo. Mke kakuchoka na ww umemchoka... akili kichwan mwenu cha muhimu mjue jinsi gan issue zwnu mnazofikiria zisiwaumize au kuwadhuru watoto in anyway. Kuchepuka raha sana ila ukichapiwa mke NOUMAH sana!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Wake za watu wanatafwuna sana, alafu kirahisi sana kuliko malaya wa buku2
Shida ni uzinzi wao au huko ndani hawashibi?? Mlio oa tafuteni sababu au tatizo lipo wapi?
 
Mkubwa mambo yanaendeleaje hapo nyumbani?..

Umekubali yaishe nini?..If so,nipe location nikufanyie delivery ya Kasongo Mundende sasa..natania
 
Brother we msamehe,angeweza kugongwa na usijue tu,Cha msingi mueleweshe atakuelewa,hata ukioa mwingine ipo siku atajiachia,utaoa wangapi?
Uzuri hata yeye anachepuka na bila ya mchepuko kumuacha solemba naye angelala huko kwa mchepuko, na inawezekana wakati anahangaika na mchepuko na kuukosa na wenyewe utakuwa ulikuwa unagawa asali kwa mwingine
 
Mkubwa mambo yanaendeleaje hapo nyumbani?..

Umekubali yaishe nini?..If so,nipe location nikufanyie delivery ya Kasongo Mundende sasa..natania

Hahahahahaha mkuu maisha lazima yaendelee najaribu kumweka sawa tuplan jinsi gan tutalea watoto bila wao kuhis chochote kama tumetengana mwenzagu bado haamin kama namwacha
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Inakuaje anakuambia hivo? Mna uhusiano gani naye
 
Sina hakika sababu nilitrack mawasiliano ya manzi na chats na calls zao na jamaa alikuwa anaashiria kuwa ndio siku ya kwanza anataka kuja kumpiga pumzi ila akawa kama anamuulizia sana juu ya usalama wake kwamba ni freshi nikija hapo hapo geto! By that time nilikuwa nakaa self moja tu!

Demu akanipanga mimi toka jana yake kuwa dadaake kesho atakuja kwa ajili ya graduation ya mtoto wa kaka yao! So kaomba alale pale kwetu alale na ndugu yake kwa kuwa mie sikuwa na hiana nikasema acha tu nimpishe sababu kwao walikuwa hawajui kuwa anakaa kwangu walijua kapanga kivyake.

Basi mie kwa kuwa na maseke kile kitu sikukielewa nikaamua nifanye ujasusi kumbe kweli ilikuwa ule usiku napigwa tukio la hatari kama ningejiachia huko niliko!

Nilichofanya nikampigia simu jioni kwasababu picha linaanza hakunipa feedback juu ya huyo mtu kafika au la! Toka asubuhi mpaka Saa 3 usiku mtu atoke Dar hajafika tu na gari ya mwisho kabla ya 2 inakuwaga ishatia timu!

Nikaanza kuhisi usanii ule! Kufungua database yangu kweli nakuta ni mwamba wanapangana kuwa aje amkaze maana mie sipo na alimdanganya yupo single nadhani! Nilichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana mahali nikawa nashuhudia kila kitu kummmk. Baada ya kuingia ndani tu sikufanya ajizi nikajongea mlangoni na kugonga kibabe! Alipofungua mlango hakuamini anachokiona!

Chumba ilinunuliwa spray sikuhio chumba kinanukia balaa na maji jamaa anachemshiwa aoge huku kashaagiziwa chipsi kuku! Kummmy wanawake hawa waoneni tu..ni kama akili ilipiga short nilifukuza yule jamaa nikabana mlango. Ilikuwa nafanya umafia wa ajabu siku ile maana nilishavua mkanda! Muuza chips alipoleta chips ndio kutoka azipokee akapata na upenyo hapo hapo wa kutoroka kifo!

Kwa hiyo sa hz ungekua zako sege dansi, maana ungeutumia ule mkanda ungeua
 
Huwez kuoa mwanamke ambaye humpendi mwanzon mapenz yalikuwa matam zaid baada ya yy kuzaa na mimi kuanza michepuko ndio nikajisahau but haimaniishi simpend
Basi msamehe hii akirudia tena hiyo itakuwa makusudi sasa! Wewe ndiye chanzo unajua ukianza kuchepuka tu kuna vitu huwa vinabadilika
 
Hakukupa papuchi jana? Kama kukuliwaza?
Hahahahahaha mkuu maisha lazima yaendelee najaribu kumweka sawa tuplan jinsi gan tutalea watoto bila wao kuhis chochote kama tumetengana mwenzagu bado haamin kama namwacha
 
Mungu hawezi kukuokoa kwenye maamuzi ya kijinga! We ushaambiwa mke haachwi isipokuwa kwa uzinifu we unadhani Mungu ni mwehu kusema hivyo?
Hata kama unampenda kashakuwa disqualified, nullified! Heshimu principles za kiume na kiuongozi!
Mkuu hawa wote mume na mkewe wote ni wazinzi. Na uzinzi uwe wa mke au wa mume ni jambo lisolokubalika kwa hali ya kawaida na zaidi kwa wenye ndoa. Kuhusu Mungu alichosema sina hakika Mungu wako ndiye Mungu wangu lakini hakuna dini yoyote inakubali uzinzi hapa Tanzania. Uwe wa mume au wa mke.
 
Basi msamehe hii akirudia tena hiyo itakuwa makusudi sasa! Wewe ndiye chanzo unajua ukianza kuchepuka tu kuna vitu huwa vinabadilika

Mpaka dakika hii mtoa uzi haoni kosa lake, yani yeye yuko very innocent ila mwenye makosa ni mke [emoji3]. Safari bado ndefu
 
Basi msamehe hii akirudia tena hiyo itakuwa makusudi sasa! Wewe ndiye chanzo unajua ukianza kuchepuka tu kuna vitu huwa vinabadilika
Exactly hiyo Karma ya uzinzi i akurudia maana yale unayotendea watu ndiyo yatakayokurudia. Na hii ni kanuni. Mtenda kutendwa inakuwa kosa
 
Kumchunga mtu mzima kazi sana. Jamaa kishaambiwa “mbona unamaliza haraka?” Si ajabu huyo mhuni anaipigiza K mpaka inatoka jasho 😂kama kanogewa mhuni ni lazima apelekewe akamvue picchu.
Basi msamehe hii akirudia tena hiyo itakuwa makusudi sasa! Wewe ndiye chanzo unajua ukianza kuchepuka tu kuna vitu huwa vinabadilika
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Maumivu unayoyapitia ndio aliyoyapotia mkeo alipogundua una mchepuko, na inawezekana ameamua kukusaliti kama kulipiza(ingawa naona hii sio kumaliza tatizo ila ni kuongeza matatizo kwenye mahusiano)

Kwa haraka, nadhani jambo kubwa lililosababisha ndoa yenu imefika hapa ni kwamba hakuna mawasiliano ya karibu kati yako na mkeo, hapa namaanisha hakuna uwazi kati yenu katika kutatua matatizo yenu, pengine mkeo alikua na maumivu ambayo hakuweza kushare na wewe na labda sababu ni kwamba haumpi attention ya kutosha au haumpi sikio la kumsikiliza au hata haujali sana kuhusu hisia zake au pengine upo bize sana

Unapokua na mahusiano ni muhimu kuwa na uwazi wa kuongea mambo hasa mnapookoseana au u apohisi mwenzi wako ana jambo linalomtatiza ni muhimu kumuuliza kwa upendo, wengine akikuta mke amenuna au ana huzuni nae anaendelea na mambo yake, hawezi hata kuuliza shida ipo wapi, kuzungumza inasaidia kuondoa vinyongo na hasira pamoja na visa vya hapa na pale katika maisha ya kila siku

Pole sana ndugu, Mungu akupe busara na hekima ya kutatua hili jambo maana bado watoto wenu ni wadogo na kama mama mwenyewe ndio huyo anatoroka kwenda kubanduliwa usiku, ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom