Mrejesho kuhusu kesi yangu na app za mikopo

Mrejesho kuhusu kesi yangu na app za mikopo

Mimi si mkopaji, kuna mtu alikopa lkn hawa watu wa hizi App wanaingia kwenye phone book ya mkopaji kwa kutumia hiyo APP, wanachukuwa taarifa za mkopaji, kwa maana ya contacts list, sms, photos nk. Hivo wakishachukuwa hizo details na ikiwa mkopaji amechelewa kulipa hizo hela wanatuma sms kwa namba zote zilizoko kwenye Simu ya mkopaji.
Kifupi mimi ni Mhanga kutokana na kwamba ni miongoni mwa wale wenye namba ambazo ziko kwenye phone book ya mkopaji. Sijakopa, sijawahi kuulizwa ikiwa namfaham mkopaji, na kama niko tayari kumdhamini. Natumaini nimekujibu.
Nadhani hapo mkopaji anatakiwa asi allow hiyo app husika kuwa na access ya contacts list na device husika hivyo unapo pakua nenda kwenye settings an disallow hapo hautaweza kupata contacts zako
 
TcRA wanashugulika na mawasiliano sio app ila ukitukana mtandaoni wanakutafuta kwenye hizo app
Mitandao ya simu wanayotumia kuliwa hela zao na wateja yanasimamiwa na nani kama sio TCRA?

Kwa maneno mengine, TCRA hawawezi kuyabana makampuni ya simu ambayo kwenye menu zao kuna option ya kulipa marejesho ya haya makampuni ya mitandaoni?
 
They appear to have many address, each of their apps, even though owned by the same people, have different addresses and the companies such as MR. FINANCE which they are impersonating and stealing their name. It’s very absurd. I’m sure MR. FINANCE is a victim, that’s why our CFO will be meeting them personally on Friday for questioning.

Also, we got some of our guys who are working in cybersecurity in the United States who have access to cameras in India and routers using Zero-Day Vulnerabilities. We are gonna see if they have anything relevant to that company in India so we can access the cameras and surveil their activities.
Hey boss how it ended????
 
Back
Top Bottom