mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Una internal conflict ndani yako haya muombe mkeo na wanao msamaha Kwa ulichokifanya Kwa kuwa na hisia mbaya za kiuongo
Mbona kama haujiamini?Kati ya mambo sitokuja fanya maishani mwangu ni kujaribu kupima DNA kutafuta uhalali wa mtoto wangu kama ndie au sie..
Kipimo Cha kwanza Cha DNA ni macho yako Kama hakuna mfanano wa kitu chochote kwa Mtoto wako jua sio wako,hivyo vipimo kibongo bongo ni fake tu,Kama wewe ni Kidume chukua specimen kapime Nje but sio Bongo.Pole na Hongera.Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Pole..Ndio haijatokea.tuzungumze matokeo yaliyopo
Ila kumbuka sheria ya DNA inasisitiza majibu yazingatie ustawi wa mtoto/Watoto.Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Nimepagawa na lips zako neneUngekuta sio wako ungefanyaje?
Kweli kabsa,mtoto wako utamjua tuu no need of DNA ata mdomo mtafananaKuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
SijakuelewaKwa wote mnaopinga hii issue ngoja niwapeni summary ya mbinu nlotumia. Huwa natoa mbinu kama hizi mara chache saaaana ila kwa kuwa mnaendelea kukataa ngojeni niwapeni siri ya mafanikio, hii itawasaidia wengine pia
Nilitaka kupima watoto wawili, mkubwa ana miaka mitano mwingine ana miaka miwili. Nikaingiza mmoja katikati asie wangu bila hata wakili wangu kujua, huyo dogo ana miaka minne. Hivyo sampuli zikapelekwa za watoto watatu. Majibu yakaja wale wawili ni wangu lkn huyu mwingine sio wangu.
Mnaweza kujiuliza kwa umri huo kwa nn nisiangalie kufanana, watoto ni wa kike na wamechukua kwa mama zao copy right kabisa (mama zao ni tofauti).
Siwezi jibu comment moja moja Cc mama D dronedrake Upepo wa Pesa na wengine mnaoendelea kupinga.
DNA inakupa ukweli 99.99999%, hiyo 0.000001% wanamwachia binadamu anayeweza kukudanganya, maana tuliwahi kushuhudia mapapai yanaumwa covidUna uhakika ni wakwako kweli!?
Wacha nisikuondolee raha zako🤣🤣🤣
Sasa huu ni Uchochezi kabisa!![emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Usijihakikishie ushnd...narudia tena usijihakikishie ushnd...DNA isiyo na magumashi ni ile ukipata kaz USA xo if utaenda na watt wenye title yako lazma mpime DNA..wale jamaaa wapo real ila kwa bongo mhhhhhhhhMiezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Uusiongee kwa ujasiri wakati hapo ulipo ukiambiwa yule ulieambiwa ni baba yako na mama yako waweza dhibitisha kweli ni baba yakoAcha kuhalalisha upumbavu kama ningetaka kulea mtoto asiye wa kwangu ningeenda vituo vya mayatima nikachukua mmoja nikalea.
Yaani nikuoe uniletee dharau ya kufanya uchafu wa uzinzi na bado unauleta nyumbani kwangu alafu nikuache eti nisonekane mbinafisi?
Mwana mke yeyote anaye enda kubebeshwa mimba na mwanaume mwingine hali ya kuwa ameolewa na mme wake ana uwezo wa kuzalisha huyo ni mwana mke mpumbavu na hana akili.
Na wanawake wote walio fanya upuuzi huo mwenyezi mungu ameahidi kuwapa adhabu kali sana na yenye kudhalilisha.
Nadhani wajichanganya pale unapoendaa baa nakujua wote waliomo baa niwaleviNdio mimi ni mbinafsi mkuu.
Hebu jiulize wewe sio mbinafsi? (Usinijibu, jijibu wewe mwenyewe)
Kma umefanya DNA kweny hospital zetu za Tanzania sikuungi mkonoMiezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao