Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetu😅😅😅
 
don't trust human beings, sasa wangekuambia sio wa kwako ili walelewe na nani na ulienda sura imekomaa. ingekuwa majuu ningekubaliana na hilo ,ila hapa bongo, hahaha. pole. lea tu watoto mkuu.
 
Utaratibu mmojawapo kwenye utoaji wa majibu ya DNA ni;
Kuzingatia maslahi mapana ya kukua na kuendelea kwa watoto.
Pole Sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…