Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
usjali utapelekwa milembeNimepagawa na lips zako nene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usjali utapelekwa milembeNimepagawa na lips zako nene
Jibuzu.liusjali utapelekwa milembe
Kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetu😅😅😅Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
don't trust human beings, sasa wangekuambia sio wa kwako ili walelewe na nani na ulienda sura imekomaa. ingekuwa majuu ningekubaliana na hilo ,ila hapa bongo, hahaha. pole. lea tu watoto mkuu.Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
dronedrakeKataa ndoa, Ndoa ni utapeli !! Fullstop.
Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu wengi sana.Kati ya mambo sitokuja fanya maishani mwangu ni kujaribu kupima DNA kutafuta uhalali wa mtoto wangu kama ndie au sie..