Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kila rakheri mkuu,afu ni wife material huyo, just hope utaenjoy duniani na akhera[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye hela hutaki nkupe connection kwa Kiduku LiloHabari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ushindwe mwenyewe carlosLady Your wish is my Order just command me .
The servant is here to serve you My Queen and ready to be used by you anytime, anywhere!!
Just like an Armour to protect you from harm
Aweke ata picha afiche na emoj mnaitaa vijanaHahaha yes yes nimeona hata Mimi, ni aina ya wanawake wale ambao kila mwanaume atapiga magoti nakuomba kua naye.
Mumekalia kuwakatisha tamaa wenzako.Kama uliweka na bado umekosa mpaka sahivi my dia angalia na hao wa huko mtaani kwenu.
Check na Ex zako
Check na co workers
Kacheck pia na huko unakoenda kuamia "Dodoma
Check na wakanisani
Btw kila la kheri
Unakaribisha wageni sana na wewe....
Hapana mkuu.Huyo mpangaji aliyepo ndihe wewe? Unasubiri ahamie ule tunda kimasihara,?
Kama ni hivo usisahau kuleta mrejesho kwenye uzi wetu pendwa...
katangaze kanisani mkuuHabari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).
Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya
Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)
Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi
Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika
Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)
Hayo nafikiri yanatosha
Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wageni wengine ni vichaa babe, sio mbaya nikiwa karibisha Milembe...teh[emoji23]Unakaribisha wageni sana na wewe....
Fanya kuunga mkono hoja inatosha.
Naunga ule mkono hun.Wageni wengine ni vichaa babe, sio mbaya nikiwa karibisha Milembe...teh[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lady Your wish is my Order just command me .
The servant is here to serve you My Queen and ready to be used by you anytime, anywhere!!
Just like an Armour to protect you from harm
Usijali babe, huo mkono ndio hasa msingi wa huu muungano wetu.Naunga ule mkono hun.