Mkuu nina uwezo kukulisha na familia yako ndani ya miaka 20 bila ww kufanya kazi,kwa mavazi,chakula,usafiri pamoja na matibabuENDELEA KILISHWA NA KAKA!
hadi kifanyio kamandeti kang'oa duhJamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu,ila wengine wanasema mi ni mbeya acha niwe mbeya kwa ndugu yanguUmefanya jambo la kishujaa sana
Umemuokoa kaka yako
Huenda angeathirika
Huenda angelea watoto wasio wake
Kwangu mimi wewe ni shujaa kama walivyo kina mirambo, na mkwawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanya jambo jema,mtu anayegonga mke wa mtu dawa yake akatwe mashine au atiwe uhanithi
Beautiful ones are not yet born
hawajawahi kupatwa na mshike mshike wa kugongewa hao.Asante mkuu,ila wengine wanasema mi ni mbeya acha niwe mbeya kwa ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
UTAGEUKA MPISHA NA DOBI HAPO KWA KAKA YAKOMkuu nina uwezo kukulisha na familia yako ndani ya miaka 20 bila ww kufanya kazi,kwa mavazi,chakula,usafiri pamoja na matibabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa ,nakutamani siku moja ujichanganye kwangu kwa mke wangu nikutoe marindaUTAGEUKA MPISHA NA DOBI HAPO KWA KAKA YAKO
MWANAUME UNAKUAJE MMBEYA HUNA KOROMEO???
SHENZI TYPE!!
Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona kama unajisemesha mwenyewe kwenye branket?Hii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
SEMA DEMU MKE UMTOE WAPI NA UNAISHI KWA KAKAAKOHahahaaaa ,nakutamani siku moja ujichanganye kwangu kwa mke wangu nikutoe marinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna,yule ni rafiki yake ila siyo mjedaWanajeshi na Wake zao huwa wanashindana kuchepuka, usikute shemeji yako alikuwa anamegwa na mjeda ambaye ni rafikiwa kaka yako.
SEMA DEMU MKE UMTOE WAPI NA UNAISHI KWA KAKAAKO
Mkuu mimi sikai kwa kakangu,najitengemea mwenyewe,nilianza kujitegemea baada tu kumaliza chuo,na wala hakuna anayejua kama mi ndo nilimtonya brother,na mpaka sasa hivi shemeji amenipigia simu yupo hotel fulani na kaka ameniambia nimwambie arudi nyumbani na tayari nimeshazungumza na brother,na hawezi kumpiga mke wake,maana mwanaume ndo alimshawishi shemeji na brother yuko njiani kuelekea kwenye majukumu yake,nimemwambia shem nitakupitia hapo jioni nikupeleke home.tunafanya mambo kwa akili.Upuuzi kama ni kweli uhame kwa kaka yako la sivyo utapoteza uhai kama panya kwa sumu.Unazani shemeji yako ni bongolala kwakuwa umemsetup.