HANA KABISA AU KIKO CHA MWANAMKE.. SASA ANAKOJOA AJE
Mbona ujamalizia mkuu vp yule bodaboda aliyekuwa anamla mke wa kaka yako kafumuliwa malinda au imekuwaje embu tuambie kamandaHii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh kumbe jamaa kavunjwa vunjwa ivyooJamaa amevunjwa mikono yote miwili na miguu yake ila jamaa amekutwa hana penis,na cha ajabu alivyovunjwa ndo imewaacha watu hoi yaani hatujui ametumia nini kumvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna bodaboda,amevunjwa miguu yote na mikono na uume hanaMbona ujamalizia mkuu vp yule bodaboda aliyekuwa anamla mke wa kaka yako kafumuliwa malinda au imekuwaje embu tuambie kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh nimekusoma mkuu ila mke wa mtu sumu jamani na usiombe ufumaniwe na mke wa mtu utajuta kuzaliwa hakuna mtetezi hapo
Kwani kakangu unamfahamu mkuu,picha siwezi kuweka humu,unataka nifungwe
Hapana mkuu.sitaki ufungwe.Kwani kakangu unamfahamu mkuu,picha siwezi kuweka humu,unataka nifungwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sichepukiUmbea utakuuua,,, unaonekana una mdomo mrefu, unasherekea kuvunjika kwa ndoa za watu ? Amna asiechepuka kwenye dunia hii !
Jitu zima Bado unakaa kwa kaka ? Lini utakuwa mwanaume ? Ondoka hapo kapambane kivyako
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaana ame katwa
Haya sasa subiri kaka yako akuoe wewe maana siyo Kwa kufurahi huko
Alafu na mimi nimuoe mamakoHaya sasa subiri kaka yako akuoe wewe maana siyo Kwa kufurahi huko
Sent from my Iphone using Tapatalk
Kama ni ujinga basi mmojawapo ni huu... KWANGU MIMI KAMA UNGEKUWA KWELI UNAPENDA AMANI, UNGEMWENDEA SHEMEJI KUMWELEZA, HAYO ULIYOYAFANYA UNGEFANYA KAMA SHEMEJI ANGEENDELEZA UCHAFU WAKEHii iwe fundisho kwa wengine wapenda wake za watu,
Ni kweli nilimpigia simu kakangu ,kakangu ni mmoja wa makanda hapa nchini wanaolinda amani nchi za wenzetu,
Alinishukuru sana kwa upendo niliyoonyesha kwake kama ndugu.
Mpaka naandika uzi huu,kakangu jana alikuja bila taarifa yoyote,na alifanya tukio moja hatari sana,(commandor siyo mtu mzuri)
Leo nipo kazini napigiwa simu njoo nyumbani kwa kakako,nikasema kuna nini,kwa brother,kwenda kushudia ........ni aibu kusema...
Niwaambia tu nyie mnaocheza na wake za watu acheni hiyo tabia ,nawaambieni acheni jamani
Ni hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wezi wa wake za watu huwa mnajulikana upesiUlichokifanya ni wambea pekee watakifurahia.
Grow up, learn and observe the way unaweza solve matatizo bila kusababisha matatizo zaidi huo ndio utu wa mtu.
Unaweza furahia shemeji yako kuachwa lkn ukasahau kuwa kaka ako kwa tukio hilo anaweza okota changudoa mwenye wire!!
Sent using Jamii Forums mobile app