Mrejesho: Nimepata mke kupitia jukwaa hili la Love Connect

Mrejesho: Nimepata mke kupitia jukwaa hili la Love Connect

Habari za jioni wakuu,

Napenda kuwashukuru wote kwa maoni na mawazo yenu kwa kile nilichokiandka siku za nyuma kidogo.

Niliandika; Natafuta mwanamke wa kuoa

Niliandika nahitaji mke na kweli, Mungu kanipa kupitia jukwaa hili la JF sasa nafurahia maisha ya uchumba.

Kupitia jukwaa hili nimempata mtu ambaye ana kila sifa ya kuitwa mke na ambaye anajua thamani ya upendo kiukwli mbarikiwe sana wapendwa na Mungu awe nanyi mwaka ujao kuanzia kesho.
Mkuu badilisha "heading". Mchumba si mke. Mchumba hana mkataba na wewe.
Sema unashukuru kupata mchumba na huenda msifikie malengo tarajiwa, maana kuna michakato mingi kabla ya kufikia ndoa.
 
Mkuu badilisha "heading". Mchumba si mke. Mchumba hana mkataba na wewe.
Sema unashukuru kupata mchumba na huenda msifikie malengo tarajiwa, maana kuna michakato mingi kabla ya kufikia ndoa.
Asante kwa taarifa mkuu ila michakato yote nimefanya na sasa nipo kwa bus from moshi kwa ajili hiyo mkuu
 
Habari za jioni wakuu,

Napenda kuwashukuru wote kwa maoni na mawazo yenu kwa kile nilichokiandka siku za nyuma kidogo.

Niliandika; Natafuta mwanamke wa kuoa

Niliandika nahitaji mke na kweli, Mungu kanipa kupitia jukwaa hili la JF sasa nafurahia maisha ya uchumba.

Kupitia jukwaa hili nimempata mtu ambaye ana kila sifa ya kuitwa mke na ambaye anajua thamani ya upendo kiukwli mbarikiwe sana wapendwa na Mungu awe nanyi mwaka ujao kuanzia kesho.
hongera sana mkuu
 
Back
Top Bottom